Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Wale walio karibu na Kawe
Jamani au kama mna waandishi wa habri kuna picha ya bure hapa wanakaya wa kata ya Kawe wanachapaa makofi live karibu na shell ya KOBIL.
Ni moto, sakata halisi lilikuwa kama ifuatavyo...ilibidi nisimame nikaangalie nini tena ...
Mmoja wa wanachama mwanamama akiwa anang'aka kama amenyimwa unyumba mwezi anasema haiwezekani kabisa huyu Londa anatufanyia mambo ya kihuni akuna anaemtaka hata afanye uhuni gani.....
Wakiongea kwa hasira wanasema wamekuja kupiga kura gafla wakati wanasubiri majina yao ndipo waliokuwa wameshikilia daftari wakadai majina yameisha weee...wakaanza kuuliza mbona mjumbe wetu huyu hapa iweeje atupo na tumeandika majina yetu moto ukaanza hapo yule mwenye daftari akaanza kujibu ovyo kabla ya mmoja wa mpiga kura ambae nilionyeshwa alikuwaakiwasha moto wa ngumi kama rashid matumla enzi zake kwa wanaume si wanawake..akachukua daftari akafungua akakuta katikati kuna karatasi mbili za majina zimechanwa alipotoka nje na kuwaambia wenzake ilikuwa balaa
....nimeacha saga linaendeleawenye vyombo vya habari mnakaribishwa mkaone picha za bure ;;;naona ccm wamemshindwa huyu londa kabisa kabisa walipomhoji mmoja wa waliokuwa na daftari wanasema wamepigiwa simu na mwenyekiti na wachane ukurasa wa kadhaa na kadhaa...wakaulizwa kwa mamlaka yapi wakadai Londa kawaamuru....haya nimeadnika jana ssiemu mkipanda bangi mtavuna bangi tusileeteane lawama tu ....
Jamani au kama mna waandishi wa habri kuna picha ya bure hapa wanakaya wa kata ya Kawe wanachapaa makofi live karibu na shell ya KOBIL.
Ni moto, sakata halisi lilikuwa kama ifuatavyo...ilibidi nisimame nikaangalie nini tena ...
Mmoja wa wanachama mwanamama akiwa anang'aka kama amenyimwa unyumba mwezi anasema haiwezekani kabisa huyu Londa anatufanyia mambo ya kihuni akuna anaemtaka hata afanye uhuni gani.....
Wakiongea kwa hasira wanasema wamekuja kupiga kura gafla wakati wanasubiri majina yao ndipo waliokuwa wameshikilia daftari wakadai majina yameisha weee...wakaanza kuuliza mbona mjumbe wetu huyu hapa iweeje atupo na tumeandika majina yetu moto ukaanza hapo yule mwenye daftari akaanza kujibu ovyo kabla ya mmoja wa mpiga kura ambae nilionyeshwa alikuwaakiwasha moto wa ngumi kama rashid matumla enzi zake kwa wanaume si wanawake..akachukua daftari akafungua akakuta katikati kuna karatasi mbili za majina zimechanwa alipotoka nje na kuwaambia wenzake ilikuwa balaa
....nimeacha saga linaendeleawenye vyombo vya habari mnakaribishwa mkaone picha za bure ;;;naona ccm wamemshindwa huyu londa kabisa kabisa walipomhoji mmoja wa waliokuwa na daftari wanasema wamepigiwa simu na mwenyekiti na wachane ukurasa wa kadhaa na kadhaa...wakaulizwa kwa mamlaka yapi wakadai Londa kawaamuru....haya nimeadnika jana ssiemu mkipanda bangi mtavuna bangi tusileeteane lawama tu ....