Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
-wapeleka tuhuma zake ccm na takukuru akuna kilichofwata
waanika ufisadi mzima wa viwanja
wasimulia kwa data anavyouza viwanja
watoboa anavyopata mamilion kwenye zabunu
wadai alinunua maua kwa milion 34
mwenye we ataka kupigana na diwani kwa muanika
awatishia mwenye kumtoa ajaribu
wakamwambie rais kikwete wakiona awaridhiki na yeye
'''
'''kauli mbiu yao"""bila kumuondoa londa ufisadi wa viwanja na zabuni autaisha maisha......
Jamani kikwete alishasema maisha bora kwa kila mtanzania alisahau kusema inategemea uko post gani ....sasa hili tena
madiwani wa kinondoni wamewasha moto kwa kuanika uchafu mzima waliokuwa wakifanya na madiwani wengine baada ya mmoja wa watuhumiwa kuanza kuwataaja mapapa waliotuuzia viwanja vya kuchezea watoto zetu kwa mafisadi,,wakiongea kwa jazaba wanasema wamepleka malamiko kwa ccm ,takukuru akuna anaefwatilia pamoja na kuwapa data zote na anaoshirikiana
wakiwa na simanzi baadhi walioonyesha jinsi nyaraka za halmashauri zinavyogushiwa ..mfano alisema kikao cha bajeti 2007 jun walipitisha bajeti ya sh mil 8 yaani 8,000,000 kwa kila trela la kuzolea taka..watendaji kwa ksuhirkiana na londa wanadaiwa kughushi na kuwa sh miliion 12,000 kila trela.ktk hilo aliweza kujipatia million 100 ambapo hata mkaguzi cag alisema kuna mllion 100 azionekani zimepitia wapi...
Mstahiki meya londa alishiriiki kuuza kiwanja no 695 na 696 vya kawe kwa taassis ya ishik huku yeyena washirika wake wakinufaika bianfsi na uzwaji huo wa kwa kumega shule ya msingi ya kawe hata mbunge wa chadema alisema bungen akuna aliefwtilia
kamati ya maadili ngazi za wilaya na mkoa zilimshauri ajiuzulu kwa kushytukiwa ubadhirifu aliishia kusema mwenye kumshauri ni ras kikwete nenden kwa kikwete,,hali heshima y chama akufanya hivyo
aidha meya londa alilazimisha kuiuzia manispaa komputa zake 20 kwa sh million 3 kila moja na kujipatia sh milion 60 kinyume na bei halali ya komputa mpya
meya londa alisaini mkataaba wa kampuni ya perlician heart wa kukusanya kodi za mabango kwa kata za kawe na kinondon mchanganuo unaonyesha zitakuwa azikikusanywa sh mil20 na kinondoni mill 70 barua hiyo inaeleza manispaa imelipwa sh mil 25 tu tangu wapewe mkataba kinyume na matarajio ya liokubaliwa...na kila diwani akiuliza hili londa anawalipukia na kutishia kumfukuza mtu....
Meya londa amehuusika kumega kiwanja cha bustan ya afrikanaa garden mbezi beach kilichotengwa kwa ajili ya michezo na kuviuza vingine amejigawia mwenyewe kwa kutumia majina bandia na ushahidi upo tkukuru wanao
waanika ufisadi mzima wa viwanja
wasimulia kwa data anavyouza viwanja
watoboa anavyopata mamilion kwenye zabunu
wadai alinunua maua kwa milion 34
mwenye we ataka kupigana na diwani kwa muanika
awatishia mwenye kumtoa ajaribu
wakamwambie rais kikwete wakiona awaridhiki na yeye
'''
'''kauli mbiu yao"""bila kumuondoa londa ufisadi wa viwanja na zabuni autaisha maisha......
Jamani kikwete alishasema maisha bora kwa kila mtanzania alisahau kusema inategemea uko post gani ....sasa hili tena
madiwani wa kinondoni wamewasha moto kwa kuanika uchafu mzima waliokuwa wakifanya na madiwani wengine baada ya mmoja wa watuhumiwa kuanza kuwataaja mapapa waliotuuzia viwanja vya kuchezea watoto zetu kwa mafisadi,,wakiongea kwa jazaba wanasema wamepleka malamiko kwa ccm ,takukuru akuna anaefwatilia pamoja na kuwapa data zote na anaoshirikiana
wakiwa na simanzi baadhi walioonyesha jinsi nyaraka za halmashauri zinavyogushiwa ..mfano alisema kikao cha bajeti 2007 jun walipitisha bajeti ya sh mil 8 yaani 8,000,000 kwa kila trela la kuzolea taka..watendaji kwa ksuhirkiana na londa wanadaiwa kughushi na kuwa sh miliion 12,000 kila trela.ktk hilo aliweza kujipatia million 100 ambapo hata mkaguzi cag alisema kuna mllion 100 azionekani zimepitia wapi...
Mstahiki meya londa alishiriiki kuuza kiwanja no 695 na 696 vya kawe kwa taassis ya ishik huku yeyena washirika wake wakinufaika bianfsi na uzwaji huo wa kwa kumega shule ya msingi ya kawe hata mbunge wa chadema alisema bungen akuna aliefwtilia
kamati ya maadili ngazi za wilaya na mkoa zilimshauri ajiuzulu kwa kushytukiwa ubadhirifu aliishia kusema mwenye kumshauri ni ras kikwete nenden kwa kikwete,,hali heshima y chama akufanya hivyo
aidha meya londa alilazimisha kuiuzia manispaa komputa zake 20 kwa sh million 3 kila moja na kujipatia sh milion 60 kinyume na bei halali ya komputa mpya
meya londa alisaini mkataaba wa kampuni ya perlician heart wa kukusanya kodi za mabango kwa kata za kawe na kinondon mchanganuo unaonyesha zitakuwa azikikusanywa sh mil20 na kinondoni mill 70 barua hiyo inaeleza manispaa imelipwa sh mil 25 tu tangu wapewe mkataba kinyume na matarajio ya liokubaliwa...na kila diwani akiuliza hili londa anawalipukia na kutishia kumfukuza mtu....
Meya londa amehuusika kumega kiwanja cha bustan ya afrikanaa garden mbezi beach kilichotengwa kwa ajili ya michezo na kuviuza vingine amejigawia mwenyewe kwa kutumia majina bandia na ushahidi upo tkukuru wanao