CCM waanza mchakato wa kumshughulikia Luhanga Mpina, awasili mbele ya kamati ya maadili CCM

Kweeli CCM imekaribia...........................
Yaani mtu anaewasaidia kujirekebisha mnamfukuza!?!
Yaani wanataka machawa ya kusifia tu!
Ukiwa na akili ndani ya ccm wewe huwafai, hawana tofauti na kanisani, ukianza kuhoji mambo ya mbinguni utafukuzwa kanisa, umeelewa hujaelewa we nenda utaelewa jpili ijayo.
 
Ni Msema kweli na mpenda haki. Hizo sifa CCM HAZIHITAJIKI na HAZIPO, Yeyote aliye nazo anitwa muongo, na mchonganishi. Luhaga Mpina aliitwa na kamati ya maadili ya bunge akawapa shule na Spika Tulia aktangaza kwamba mashauri yote aliyoitiwa Luhaga Mpina kayajibu na ushahidi aliupeleka ukapokelewa na kuthibitisha alichokisema hakikuwa uongo, na akawa huru.
Hata hili hawatamuweza, atawashinda mapema sana.
Hapa lazima kuna kikundi cha mafisadi kinatumiwa na chawa kumuandama kwa maslahi ya matumbo yao mapana kama mapakacha yasiyoshiba kamwe.
 
Mpina hana cha maana kakosa Uwaziri ndio maana ana hasira sio kwamba ni mtu bora kivile.

Watu wameishi nae huko akiwa na cheo wanamfahamu ni mtu wa hovyo pia
Una ushahidi mkuu? Hata kama yupo hivyo ndio akose uhuru wa kutoa maoni yake kutetea rasimali za taifa zinazotafunwa na machawa na mafisadi?
 
Back
Top Bottom