Wazee wenye elimu wametujuvya ya kuwa mara hii CCM inaanguka na sehemu ambayo itapigwa na chini ni Zanzibar ni baada ya kutokea tetemeko la ardhi baharini hivi majuzi, wazee hao walienda mbali zaidi na kusema hii sio dalili nzuri kwa CCM na kwa ishara hizi halina dawa wakubali tu bora nusu shari maana hata upande wa pili akikusudiya Tanganyika nako pia inagaragizwa.
Dalili ya mvua ni mawingu na upepo mkali tumeona Zanzibar na jana kwenye ufunguzi wa kampeni za CCM chini ya mwevuli wa uzinduzi wa nyimbo za CCM, kijana polepole alisahau kuwakataza wasanii wasiseme CCM oyee au ,pigeni makofi na kwa kweli waliohudhuria kila ikitajwa CCM oyee, Mheshimiwa Magufuli hoyee kwa uwazi zaidi hakuna mtu alijibu salamu hizo ni wachache sana sana, mwishi wasanii wakiuliza mara moja tu, msio amini angalieni mtaliona hilo, inamaanisha watu hawakuendea kuisikia CCM, walichoendea wamekiona.
Wala hawakuwa wanafiki kuishangilia CCM waliikataa hapo hapo,na pole pole hakuonekana tena mpaka mwisho tena baada ya kutakiwa aende kutoa salamu za kufunga.
Tumeona namna shughuli ilivyofungwa au hamkuona? Je ndivyo shughuli zinavyofungwa haswa ikiwa zimetayarishwa na Chama kwa gharama kubwa na majilabu ya aina yake, mwisho walevi wanapigana.
Mwananchi mwanaccm kura ni siri yako endeleeni kupumbaa na CCM kadiri wanavyotaka, siku ya siku ikifika unaitupa mkono.
Dalili ya mvua ni mawingu na upepo mkali tumeona Zanzibar na jana kwenye ufunguzi wa kampeni za CCM chini ya mwevuli wa uzinduzi wa nyimbo za CCM, kijana polepole alisahau kuwakataza wasanii wasiseme CCM oyee au ,pigeni makofi na kwa kweli waliohudhuria kila ikitajwa CCM oyee, Mheshimiwa Magufuli hoyee kwa uwazi zaidi hakuna mtu alijibu salamu hizo ni wachache sana sana, mwishi wasanii wakiuliza mara moja tu, msio amini angalieni mtaliona hilo, inamaanisha watu hawakuendea kuisikia CCM, walichoendea wamekiona.
Wala hawakuwa wanafiki kuishangilia CCM waliikataa hapo hapo,na pole pole hakuonekana tena mpaka mwisho tena baada ya kutakiwa aende kutoa salamu za kufunga.
Tumeona namna shughuli ilivyofungwa au hamkuona? Je ndivyo shughuli zinavyofungwa haswa ikiwa zimetayarishwa na Chama kwa gharama kubwa na majilabu ya aina yake, mwisho walevi wanapigana.
Mwananchi mwanaccm kura ni siri yako endeleeni kupumbaa na CCM kadiri wanavyotaka, siku ya siku ikifika unaitupa mkono.