ndo maana huwa nawashangaaga eti slaa alishinda urais akiwa na wabunge 20 na kikwete alishingwa akiwa na wabunge zaidi ya 200. umewahi kuona wapi duniani ushindi wa aina hiyo. machizi ni wengi sana tanzania, sema huwezi kuwatambua kwa sababu nao wanavaa na kufanya kazi kama watu wengine.Nguvu ya umma wabunge 24 hebu wacheni matani.
hila zilizo baki kwa ccm ni mbili tu,ya kwanza kuiba kura waziwazi wakati wa uchaguzi,ya pili ni kutumia vitu vyenye ncha kali kwa viongozi wa chademaChama cha mapinduzi kimegeukiwa na wananchi dhidi ya ubabe kwa wananchi wake pale wanapokosa hoja au kuonekana hawana future ya Tanzania ya baadae na wapinzani kuongoza kwa kila hoja na ccm kujikuta kutaka kuzuia ruzuku kwa vyama vya upinzani kutumia polisi kuzuia wapinzani kuzuia tbc kuonesha matukio ya wapinzani kutumia mamluki kuua upinzani kutumia spika kuzima hoja zinazohusu watanzania na kuwanyima wananchi kuona umahiri wa upinzani bungeni wa kuisimamia serikali na Mali ya watanzania. Kama walivyofanikiwa kuiua CUF basi wanajaribu kwa Chadema iliyojidhatiti tangu 1995
Nguvu ya umma wabunge 24 hebu wacheni matani.
wabunge 24 wana kigeuza CCM kua chama cha upinzani 2015
Nguvu ya umma wabunge 24 hebu wacheni matani.
majibu ya kichaga marahisi kwasababu wakujibu ni mzee mtei
ndo maana huwa nawashangaaga eti slaa alishinda urais akiwa na wabunge 20 na kikwete alishingwa akiwa na wabunge zaidi ya 200. umewahi kuona wapi duniani ushindi wa aina hiyo. machizi ni wengi sana tanzania, sema huwezi kuwatambua kwa sababu nao wanavaa na kufanya kazi kama watu wengine.
Nipenda hii mkuu, 90% ya wabunge wa magamba ni hasara kwa taifa hili!
HII SI NGUVU YA CHADEMA KAMA WENGINE WENYE MAWAZO FINYU wanavyofikiri.HII NI NGUVU YA UMMA WA WATANZANIA AMBAO UMEICHOKA CCM na UFISADI WAKE.Chama cha mapinduzi kimegeukiwa na wananchi dhidi ya ubabe kwa wananchi wake pale wanapokosa hoja au kuonekana hawana future ya Tanzania ya baadae na wapinzani kuongoza kwa kila hoja na ccm kujikuta kutaka kuzuia ruzuku kwa vyama vya upinzani kutumia polisi kuzuia wapinzani kuzuia tbc kuonesha matukio ya wapinzani kutumia mamluki kuua upinzani kutumia spika kuzima hoja zinazohusu watanzania na kuwanyima wananchi kuona umahiri wa upinzani bungeni wa kuisimamia serikali na Mali ya watanzania. Kama walivyofanikiwa kuiua CUF basi wanajaribu kwa Chadema iliyojidhatiti tangu 1995
Nguvu ya umma wabunge 24 hebu wacheni matani.
je mkuu ni kwa ratio ya wabunge 20 kwa zaidi ya 200? kwa nini tunapindisha ukweli jamani?Rais wa sasa wa Zambia mbona ameshinda kiti cha urais akiwa na wabunge wachache kuliko chama kilicho kuwa kinatawala