Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Wapenda mabadiliko, hebu pia tuangalie Ilani ya CCM 2010 - 2015 kuhusu wafanyakazi. Inasema hivi: Karibuni kusoma kipengele hiki na zaidi kwa maoni yenu.
Wafanyakazi
79. Katika kipindi cha 2010-2015, CCM itaendelea kuwa karibu na wafanyakazi na
kuhakikisha kuwa Serikali zinayatambua na kuyashughulikia kwa ukamilifu na
kwa wakati muafaka matatizo yao. Miongoni mwa hatua zitakazochukuliwa na
Serikali zitakuwa pamoja na hizi zifuatazo:-
(a) Kuendelea kuboresha mishahara ya wafanyakazi kwa kadri hali ya uchumi
wa nchi utakavyoruhusu.
(b) Kuimarisha na kufanya kaguzi za kazi, ikiwa ni pamoja na masuala ya afya
na usalama mahali pa kazi.
50
(c) Kusuluhisha na kuamua kwa wakati migogoro yote ya kikazi na kuimarisha
ushiriki na ushirikishwaji wa wafanyakazi mahali pa kazi.
(d) Kuhakikisha kwamba mishahara ya wataalamu wa ndani na nje wenye sifa
na kazi zinazofanana wanalipwa mishahara inayolingana.
(e) Serikali kuanzisha mchakato utakaohakikisha kwamba pamoja na
kuthamini mchango wa kila mfanyakazi na kufanya kazi katika taaluma
zao na kuziheshimu ni muhimu ione tofauti kubwa iliyopo kati ya malipo
ya wafanyakazi wa ngazi za juu na wale wa ngazi za chini.
Kwa maoni yangu ukisoma maandiko hayo hapo juu utaona kuwa ni blaa bla tupu. H
Wafanyakazi
79. Katika kipindi cha 2010-2015, CCM itaendelea kuwa karibu na wafanyakazi na
kuhakikisha kuwa Serikali zinayatambua na kuyashughulikia kwa ukamilifu na
kwa wakati muafaka matatizo yao. Miongoni mwa hatua zitakazochukuliwa na
Serikali zitakuwa pamoja na hizi zifuatazo:-
(a) Kuendelea kuboresha mishahara ya wafanyakazi kwa kadri hali ya uchumi
wa nchi utakavyoruhusu.
(b) Kuimarisha na kufanya kaguzi za kazi, ikiwa ni pamoja na masuala ya afya
na usalama mahali pa kazi.
50
(c) Kusuluhisha na kuamua kwa wakati migogoro yote ya kikazi na kuimarisha
ushiriki na ushirikishwaji wa wafanyakazi mahali pa kazi.
(d) Kuhakikisha kwamba mishahara ya wataalamu wa ndani na nje wenye sifa
na kazi zinazofanana wanalipwa mishahara inayolingana.
(e) Serikali kuanzisha mchakato utakaohakikisha kwamba pamoja na
kuthamini mchango wa kila mfanyakazi na kufanya kazi katika taaluma
zao na kuziheshimu ni muhimu ione tofauti kubwa iliyopo kati ya malipo
ya wafanyakazi wa ngazi za juu na wale wa ngazi za chini.
Kwa maoni yangu ukisoma maandiko hayo hapo juu utaona kuwa ni blaa bla tupu. H