matapishi yanaliwa tena! Sababu zitakuwepo tena nyingi sana..! Lakini mwisho wa yote hiyo October leteni matokeo yenu ya kifedhuli muone mziki
Mkuu shughuli itakuwa pevu inaonekana wameshaandaa Janjaweed 500 wanaowaita polisi. Kulikuwa hakuna haja ya maandalizi haya kama uchaguzi utakuwa huru na haki. Ninaamini kabisa kuwa haki si tu inapotendeka bali inapoonekana kutendeka kwa pande zote, huwa ni polisi namba 1 wa kulinda amani.
Last edited by a moderator: