MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
CCM is the land of opportunity. Wapi pengine mmeona kiongozi ovyo aka panda mpaka kuwa raisi au mtu asiye na ujuzi wowote akapewa kitengo maalumu? Wapi pengine mmeona mtu ana tajirika ndani ya mwaka mmoja? Wapi pengine mtu asiye na upeo wowote aka pata zali kupewa "Kiti maalumu"? Wapi pengine mtu anaiba mchana kweupe lakini bado anaendelea kuitwa muheshimiwa, kupewa security detail na kuendelea kutunzwa na pesa za watu aliyo waibia?