Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Kwa Muda mrefu nimekuwa nikisikia mbiu hii kwamba ''CCM NI NAMBARI ONE''.
Yaani CCM NI NAMBA MOJA.
Baada ya kufikiri sana, nimegundua kuwa sijui maana ya SLOGAN hii.
Naamini hapa jamvini huenda mwaweza kunijulisha kuwa ,
CCM NI NAMBARI ONE katika nini hasa?
Au ni msemo tu wana JF?
Yaani CCM NI NAMBA MOJA.
Baada ya kufikiri sana, nimegundua kuwa sijui maana ya SLOGAN hii.
Naamini hapa jamvini huenda mwaweza kunijulisha kuwa ,
CCM NI NAMBARI ONE katika nini hasa?
Au ni msemo tu wana JF?