Wana jf kuna mtandao wa siri inasemekana umeanzishwa ili kumsaka mgombea uraisi kwa tiketi ya ccm!
Source:jambo leo!
Swali langu:
je ni mbinu nzuri?je kuna aliyefichika ndan ya ccm ambaye watz hawamfahamu?
Wana jf kuna mtandao wa siri inasemekana umeanzishwa ili kumsaka mgombea uraisi kwa tiketi ya ccm!
Source:jambo leo!
Swali langu:
je ni mbinu nzuri?je kuna aliyefichika ndan ya ccm ambaye watz hawamfahamu?
Dah! Jamani hilo gazeti la jambo leo ni la magamba.
Kwa nini asimfahamu ilihali 2010 alimwibia kura zake?Mbona ilishatamkwa kuwa rais ajaye JK anamfahamu!!,labda mchakato wenyewe ndiyo huo ili kuwazuga watu,lakini wakae wakijua kuwa kadri miaka inavyosonga ndivyo wanavyozidi kupoteza mwelekeo.
Kwa nini asimfahamu ilihali 2010 alimwibia kura zake?