kanyelele
Senior Member
- Oct 10, 2013
- 115
- 31
kujua kuwa CCM ni ugonjwa hatari ya ebola huitaji kuwa daktari bingwa. Mwanachama yeyote ni mgonjwa mahututi wa ugonjwa uitwao ccm
Ukimsikiliza mtu huyo hakika lazima utamhurumia sana anavyo toa vihoja na sio hoja ,kazi yao ni kuleta hadithi za nchi ya kusadikika, hakika hawa watu hawajajitambua kabisa.
Wanajaribu kuwaghiribu wanachi kuamini kuwa amana iko mbeleni na sio leo, kilimo ni uti wa mgongo wakati sio, tanzania imesonga mbele kimaendeleo kisa uwepo wa umeme usio kuwa na tija.
CCM hawajajua tofauti ya huduma za jamii za msingi na maendeleo ya jamii, kama kuna mtu anabisha alete hoja.
Bora kuumwa ugonjwa wote ule maana pengine madaktari wanaweza kuja na tiba mbadala kuliko kuumwa ugonjwa hatari uitwao ccm ,huu ugonjwa hauna tiba wala kinga .
Ukimsikiliza mtu huyo hakika lazima utamhurumia sana anavyo toa vihoja na sio hoja ,kazi yao ni kuleta hadithi za nchi ya kusadikika, hakika hawa watu hawajajitambua kabisa.
Wanajaribu kuwaghiribu wanachi kuamini kuwa amana iko mbeleni na sio leo, kilimo ni uti wa mgongo wakati sio, tanzania imesonga mbele kimaendeleo kisa uwepo wa umeme usio kuwa na tija.
CCM hawajajua tofauti ya huduma za jamii za msingi na maendeleo ya jamii, kama kuna mtu anabisha alete hoja.
Bora kuumwa ugonjwa wote ule maana pengine madaktari wanaweza kuja na tiba mbadala kuliko kuumwa ugonjwa hatari uitwao ccm ,huu ugonjwa hauna tiba wala kinga .