Lawrence Luanda
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 703
- 75
Kuvunjwa baraza ilikuwa dhahiri ili kujinusuru na presha ya political tsunami ambayo Chadema waliitangaza bungeni, tatizo tutaendelea na style hii hadi lini???????
Duh! Mkuu huu mtihani unampa ****** hawezi hata kujaribu. Labda aanze na Kagoda!Huyu jamaa aliyeleta hii thread ni mbeya, pili hoja zake hazina mashiko. Kama baba Ritz kidume basi awapeleke mahakamani then awafilisi hao wezi.
watanzania jana wamekenua meno baada ya kipenzi chao mheshimiwa rais kikwete kukidhi kiu yao ya kuvunjwa baraza la mawaziri na kusudio la kuwafikisha katika vyombo vya sheria waliohusika kufisadi mali za umma.
Hatua hiyo imezidi kukipaisha ccm na wakati huo huo kukiporomosha chama pinzani chadema huku tukielekea 2015. Watanzania kutoka mashariki hadi magharibi, kaskazini mpaka kusini jana jioni walikuwa katika makundi wakisherekea hatua ya jk na kuipongeza cc ya ccm kuwa ina wapenda tanzania na manufaa kwa watanzania.
Poleni chadema, tafuteni hoja nyingine, ya kuvunja baraza la mawaziri haina mshiko tena!
Watanzania jana wamekenua meno baada ya kipenzi chao Mheshimiwa Rais Kikwete kukidhi kiu yao ya kuvunjwa baraza la mawaziri na kusudio la kuwafikisha katika vyombo vya sheria waliohusika kufisadi mali za umma.
Hatua hiyo imezidi kukipaisha CCM na wakati huo huo kukiporomosha chama pinzani CHADEMA huku tukielekea 2015. Watanzania kutoka mashariki hadi magharibi, kaskazini mpaka kusini jana jioni walikuwa katika makundi wakisherekea hatua ya JK na kuipongeza CC ya CCM kuwa ina wapenda Tanzania na manufaa kwa Watanzania.
Poleni CHADEMA, tafuteni hoja nyingine, ya kuvunja baraza la mawaziri haina mshiko tena!
Watanzania jana wamekenua meno baada ya kipenzi chao Mheshimiwa Rais Kikwete kukidhi kiu yao ya kuvunjwa baraza la mawaziri na kusudio la kuwafikisha katika vyombo vya sheria waliohusika kufisadi mali za umma.
Hatua hiyo imezidi kukipaisha CCM na wakati huo huo kukiporomosha chama pinzani CHADEMA huku tukielekea 2015. Watanzania kutoka mashariki hadi magharibi, kaskazini mpaka kusini jana jioni walikuwa katika makundi wakisherekea hatua ya JK na kuipongeza CC ya CCM kuwa ina wapenda Tanzania na manufaa kwa Watanzania.
Poleni CHADEMA, tafuteni hoja nyingine, ya kuvunja baraza la mawaziri haina mshiko tena!
are you done?anything more?Dr Slaa anakula kodi zetu kupitia ruzuku inayopata CDM kutoka hazina; analipwa posho ya kukosa urais mil. 12, kila mwezi, mchumba wake kamtengezea deal ya kuratibu mifumo ya habari CDM HQ, kapewa kazi kifisadi pasipo kushindanishwa
umemsahau na Ritz, japo malaria sugu siku hizi simuonihii thread yako haina mshiko tafuta wakina rejao wachangie huu umbea wako
Watanzania jana wamekenua meno baada ya kipenzi chao Mheshimiwa Rais Kikwete kukidhi kiu yao ya kuvunjwa baraza la mawaziri na kusudio la kuwafikisha katika vyombo vya sheria waliohusika kufisadi mali za umma.
Hatua hiyo imezidi kukipaisha CCM na wakati huo huo kukiporomosha chama pinzani CHADEMA huku tukielekea 2015. Watanzania kutoka mashariki hadi magharibi, kaskazini mpaka kusini jana jioni walikuwa katika makundi wakisherekea hatua ya JK na kuipongeza CC ya CCM kuwa ina wape
Yani hicho unachokiongea ni uzushi hakuna mwananchi anayemsifia kikwete zaidi wananchi wengi wanaisikitikia ccm na kujuta kuichagua sasa we endelea kunywa panadol ccm inakufa hivyo.
Mafilili = ni sawa na fisi kikwetu , sasa tutegemee nini toka kwa fisi
Nimegundua wafuasi wa CDM mwapenda kusifiwa TU, mnakuwa vipofu serikali ya CCM inapofanya mambo mazuri kwa manufaa ya watanzania walio wengi
MAFILILI, pole sana ndugu yangu. Hebu tukumbushane tu kidogo;Watanzania kutoka mashariki hadi magharibi, kaskazini mpaka kusini jana jioni walikuwa katika makundi wakisherekea hatua ya JK na kuipongeza CC ya CCM kuwa ina wapenda Tanzania na manufaa kwa Watanzania.
Twasubiri miujiza ya mwenyezi mungu ili tupate okoka katika lundo la kashfa na tuhuma mitaani na bungeni. Mie leo nimepata taabu kusikiliza mazungumzo ndani ya daladala toka Gongo la Mboto hadi Posta; njia yote ni kukisema vibaya chama chetu tukipendacho CCM. Ilikuwa ni kushindana kutoa msururu wa kashfa dhidi ya CCM kana kwamba chama chetu hakijafanya jambo lolote la maana kwa watanzania. Ilibidi Tazara nishuke katika lile daladala nichukue bodaboda kwani uvumilivu ulikuwa mdogo, wasafiri hawana na neno zuri kwa CCM niipendayo.
WENYEVITI wa mitaa ya Ilemi na Ilolo Kati, Wilaya ya Mbeya Mjini wa Chama cha Mapinduzi (CCM), wamejiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Wanasiasa hao Ngamba Ngamba wa Ilolo Kati na Joseph Mbele wa Ilemi, walirudisha kadi za CCM na kujiunga na CHADEMA jana katika mkutano uliofanyika katika Kata ya Sinde jijini hapa. Mbali na wenyeviti hao makada wengine watatu wa chama hicho akiwamo Atusekelege Asubisye, ambaye ni balozi katika Mtaa wa Ilolo Kati nao walijiunga na CHADEMA, kwa kile walichodai ni kuchoshwa na CCM yenye ahadi nyingi zisizotekelezeka.
.Mwananchi said:Kitendo cha Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Mkoa wa Arusha, James Millya kukihama ghafla chama hicho na kujiunga na Chadema kimekitikisa chama hicho tawala na jana kwa nyakati tofauti, viongozi wake walitoa matamko mbalimbali kumkejeli
Lowassa aonja nguvu ya Chadema - Mji wa Tunduma jana ulichafuka baada ya Waziri mkuu aliyejiuzulu Edward Lowassa kulakiwa na umati mkubwa wa wafuasi wa CDM waliokuwa wamejipanga kando kando ya barabara.Wananchi hao walikuwa wakipiga miluzi kwa sauti kubwa na kuonyesha alama ya vidole viwili juu ishara ya chama hicho.
Chadema yakamata ngome ya CCM Kyaka - CDM kimeshinda uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji cha Burifani, Kata ya Kyaka, wilaya ya Misenyi, ambacho ni makazi ya Mbunge wa Nkenge, Asumpter Mshana. Mgombea wa CDM, Deogratias Laurian, alipata kura 401 dhidi ya kura 129 za Mathias Kibarwiga wa CCM. Placid Vedasto wa TLP alipata kura 2.
CCM imeonja joto la jiwe kwa wimbi kubwa ambalo limetikisa si umoja wa vijana tu, ila hata vikongwe ambao walikuwa damudamu na CCM kuanza kuikimbia Jembe na nyumba na kujiunga na Chadema.
Mbunge wa CCM Jimbo la Geita amenusurika kichapo leo hii baada ya kutuhumiwa kulinda ubadhirifu katika baadhi ya kata Jimboni humo. Amezomewa na wananchi na mkutano umevunjika na wananchi wanasema hawamtaki Mbunge huyo wala diwani. Source: ITV News.
wapenzi na wanachama wa chadema napenda niwape nilicho kishuhudia hapa arusha muda huu kwenye bar moja maarufu inaitwa picnic hakika inatia moyo ni pale mmachinga aliyetokea ghafla kwenye hii bar usiku huu akiwa tisheti na baadhi ya kofia ndipo alipojitokeza mtu na pesa zake na kununua kofia zote na skafu na tisheti na kuwagawia watu ambao ni wapenzi wa chadema. Hakika ilikuwa ni furaha sana na mimi nimeshawishika kurudi dar nihamasishe wapenzi na wanachama wa chadema waonyeshe moyo walionao na mapenzi ya kweli kwa hiki chama
MAFILILI kwa kujisahau...! Kwa unafiki unasikitisha, unaudhi na unatia huruma! Eti CCM mwendo mdundo! Chadema yaanguka...kweli CCM ni Chama Cha Mazezeta!Mwananchi said:KAULI ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (UVCCM) Mkoa wa Arusha, James Ole Millya kwamba idadi kubwa ya wanaCCM watamfuata baada ya kuhamia Chadema imeanza kujidhihirisha baada ya Diwani wa Kata ya Sombetini, Alphonce Mawazo na Katibu wa Uhamasishaji wa UVCCM Wilaya ya Longido, Yohana Laizer kutangaza kuondoka chama hicho tawala jana.
Watanzania jana wamekenua meno baada ya kipenzi chao Mheshimiwa Rais Kikwete kukidhi kiu yao ya kuvunjwa baraza la mawaziri na kusudio la kuwafikisha katika vyombo vya sheria waliohusika kufisadi mali za umma.
Hatua hiyo imezidi kukipaisha CCM na wakati huo huo kukiporomosha chama pinzani CHADEMA huku tukielekea 2015. Watanzania kutoka mashariki hadi magharibi, kaskazini mpaka kusini jana jioni walikuwa katika makundi wakisherekea hatua ya JK na kuipongeza CC ya CCM kuwa ina wapenda Tanzania na manufaa kwa Watanzania.
Poleni CHADEMA, tafuteni hoja nyingine, ya kuvunja baraza la mawaziri haina mshiko tena!
Wewe ni mgeni humu JF? soma thread ya Kigangwala aliirusha jana humu jamvini ndio utaona hoja ya Zitto ilikuwa ya kukurupuka vibaya sana na haina mashiko na isinge fanikiwa