leo nmehudhuria kampen za ccm ktk kata ya mbuguni kwa kweli ccm haina sera bali matusi ambayo matusi hayo yanaongozwa na lusinde na olesendeka.wazee wambuguni wamekasilishwa na matusi yenu.ntawa2mia crip ya matusi niliyoirekodi
hawa wote ni wahuni!
eti anasema ccm wamewatia mimba cdm hvyo wasubili kuzaa april 1