....,............., na kwa kuongezea tu ni kwamba, wengi wa mashabiki wenu wenye sifa za kupiga kura watakuwa wamekufa by 2015.
Bonge la point.nakupa tano kiongozi!
unasifia ujinga
....,............., na kwa kuongezea tu ni kwamba, wengi wa mashabiki wenu wenye sifa za kupiga kura watakuwa wamekufa by 2015.
Bonge la point.nakupa tano kiongozi!
Anaepandikiza udini ni cha..de..ma,sio ccm kwa sababu tangu 1977 ccm ilipoanzishwa ipo madarakani hadi leo hatujaliona wala kuliskia hilo,iweje leo ktk uwepo wa magwanda?ni wenye akili timamu ndio wanaweza kujiuliza na kupata jibu sahihi juu ya hili.
Anaepandikiza udini ni cha..de..ma,sio ccm kwa sababu tangu 1977 ccm ilipoanzishwa ipo madarakani hadi leo hatujaliona wala kuliskia hilo,iweje leo ktk uwepo wa magwanda?ni wenye akili timamu ndio wanaweza kujiuliza na kupata jibu sahihi juu ya hili.
Anaepandikiza udini ni cha..de..ma,sio ccm kwa sababu tangu 1977 ccm ilipoanzishwa ipo madarakani hadi leo hatujaliona wala kuliskia hilo,iweje leo ktk uwepo wa magwanda?ni wenye akili timamu ndio wanaweza kujiuliza na kupata jibu sahihi juu ya hili.
Mch. Rwakatare, mch. Mwanjale, Mch. Kulola, Mch. Gamanywa, Mch. Gwajima na Padre Kilaini - hawa ni wangapi vile?.. Chama cha mabwepande kinao wangapi?.Ni chama gani cha siasa hapa tanzania chenye wachungaji na mapadre wengi
Anaepandikiza udini ni cha..de..ma,sio ccm kwa sababu tangu 1977 ccm ilipoanzishwa ipo madarakani hadi leo hatujaliona wala kuliskia hilo,iweje leo ktk uwepo wa magwanda?ni wenye akili timamu ndio wanaweza kujiuliza na kupata jibu sahihi juu ya hili.
namba ya simu ya nape huna? Email yake je? Ofisi ndogo za ccm hujui zilipo? Sio kila ***** utuwekee hapa hata kama unamhusu mtu binafsi