Bahati Risiki
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 530
- 93
Hiyo CCM imeshakufa wala usipoteze muda wako kuitetea. Angalia tu vijana, wenye umri wa kati, na wakongwe wanavyoikimbia.Hakuna mtanzania alie radhi kupoteza maisha yake kwaajili ya CDM, hata viongozi wao wenyewe ni waoga wakubwa, wanahamasisha fujo halafu wao ndio wa kwanza kuruka ukuta. Tabia ya kuwapa pesa vijana wafanye fujo ndio sera ya M4C.