Kamende
JF-Expert Member
- Mar 1, 2008
- 416
- 45
Wakuu habari za jioni
NInawaletea habari zilizotua kwenye meza yangu kutoka kwenye source ya ndani kabisa ya CCM anayehusishwa mipango muhimu lakini asiyependa kutekelezwa kwa hila hizo za Chama Cha Mafisadi.
CCM wameorodhesha mikoa ambayo hawawezi kushinda na tayari wamekwishapeleka vijana wa kazi katika mikoa hiyo. Vijana hawa ni wale waliopewa mafunzo kule Iringa na Msinga mkoani Kilimanjaro. Kazi yao ni pamoja na kuingia kwenye vituo vya kupigia kura wakijifanya viongozi wa Tume ya Uchaguzi.
Mwanzoni watapita wakiuliza hali ya vituo na baadaye watakuja kutoa maagizo vituo hivyo vifungwe kwa sababu mbalimbali. Lengo la magizo haya ni kusababisha fujo ambayo itahalalisha kufungwa kwa vituo ukweli na hivyo kuharibu uchaguzi.
NIna taarifa kuwa mikoa ya Arusha, Dar es salaam, Kilimanjaro na Mwanza vijana hawa wamekwisha kufikishwa kwenye wilaya ambazo watafanya kazi. Mathalan katika mkoa wa Kilimanjaro vijana hawa wamekwishawasili katika majimbo ya Rombo, Mshi Mjini, Hai, Siha Same zote na Moshi Vijijini.
Kama hawatadhibitiwa mapema kwa hakika uchaguzi utaharibika na Kikwete atanusurika kipigo cha aibu.
Wajameni tutoe habari hii kwa umma ili kuivujisha isitekelezeke.
CCM!!!
TUACHIENI AMANI YETU!!!!!!!!!!!!
NInawaletea habari zilizotua kwenye meza yangu kutoka kwenye source ya ndani kabisa ya CCM anayehusishwa mipango muhimu lakini asiyependa kutekelezwa kwa hila hizo za Chama Cha Mafisadi.
CCM wameorodhesha mikoa ambayo hawawezi kushinda na tayari wamekwishapeleka vijana wa kazi katika mikoa hiyo. Vijana hawa ni wale waliopewa mafunzo kule Iringa na Msinga mkoani Kilimanjaro. Kazi yao ni pamoja na kuingia kwenye vituo vya kupigia kura wakijifanya viongozi wa Tume ya Uchaguzi.
Mwanzoni watapita wakiuliza hali ya vituo na baadaye watakuja kutoa maagizo vituo hivyo vifungwe kwa sababu mbalimbali. Lengo la magizo haya ni kusababisha fujo ambayo itahalalisha kufungwa kwa vituo ukweli na hivyo kuharibu uchaguzi.
NIna taarifa kuwa mikoa ya Arusha, Dar es salaam, Kilimanjaro na Mwanza vijana hawa wamekwisha kufikishwa kwenye wilaya ambazo watafanya kazi. Mathalan katika mkoa wa Kilimanjaro vijana hawa wamekwishawasili katika majimbo ya Rombo, Mshi Mjini, Hai, Siha Same zote na Moshi Vijijini.
Kama hawatadhibitiwa mapema kwa hakika uchaguzi utaharibika na Kikwete atanusurika kipigo cha aibu.
Wajameni tutoe habari hii kwa umma ili kuivujisha isitekelezeke.
CCM!!!
TUACHIENI AMANI YETU!!!!!!!!!!!!