CCM kubebwa na Benard Membe uchaguzi mkuu 2015

Ukana Shilungo

JF-Expert Member
Apr 17, 2012
3,041
2,422
Wanajamji heshima kwenu! Mpaka sasa hatima ya CCM iko kwa candidate Benard Membe,ipo sababu kubwa ya kusema hilii.

  1. Membe hajawahi kutangaza nia ya Urais ila vyombo vya habari vinamtaja mno kuwa huenda akatangaza nia.kwa hiyo vinahiriki kumjenga pasipo kukusudia.

  2. Kila linapotajwa jina la Membe kuhusishwa na Urais,watu wanaweweseka kwa woga kumuhofia.hiyo ni dalili kuwa ni material candidate.
  3. Membe ni mwanadiplomasia aliyetukuka,na mwenye weledi mbaye amefanya kazi nje ya nchi kwa mda mrefu,kama taifa linahitaji mtu wa namna hiyo,mintarafu suala la uhusiano wa kimataifa.

  4. Membe alishinda ujumbe wa kamati kuu ccm Nec kupitia kundi la kifo ,Membe alishinda alishinda pasipo kuzunguka mikoani,mbali ya kampeni chafu za akina Hussein Bashe kumchafua.

  5. Membe ni mtu mwenye rekodi safi kwa maisha yake kisiasa.Hiyo inamfanya pia awe bora ukilinganisha na wengine wanaotamani urais.
  6. Kura za 2015 zinaenda kupigwa kwa misingi ya candidate ni nani na sio anatoka chama gani,ukitaka kuona hili angalia issue ya kuchomwa makanisa,mauji ya wachungaji hasa Zanzibar padre Mushi, kutaja machache,hivyo watu wanaenda kupiga kura kwa misingi hiyo .............malizia.
  7. Membe ni mtu anayeonekana kuaminika mbele ya mkulu,kwani mamvi akiingia darakani hatatabilika aweza kuyafanya ya aliyofabnyiwa Chiluba Zambia.
  8. Amewahi kumwakilisha Mkuu wa Nchi na akahutubia UN badala ya mkulu.
  9. Sasa hivi ni mtu wenye cheo kikubwa ndandi Jumuiya ya Madola,hivyo Moto wa Membe haukamatiki ndani nje ya nchi,baadhi ya watu hudiriki kumwita mnafiki,lakini hakuna hata mmoja aliyefaulu kueleza unafiki wake upo katika lipi. KWA HIYO MEMBE ENDAPO ATASIMAMISHWA NA CHAMA CHAKE 2015 INAWEZA KUWA NAFUU,KULIKO KUMSIMAMISHA laigwani,AMBAPO Chadema itaingia kirahisi. Nawasilisha, Ukana Shilungo.
 
Haya naona mpasuko unahamia CCM toka CHADEMA kufuatia matamko ya sherehe za mwaka mpya? Ukana Shilungo umemsindanisha Membe na Lowasa, Hon. S Sitta vipi kajitoa?
 
Last edited by a moderator:
Kadri ya tathmini yangu nimevutwa na membe,ila sita naye yuko vizuri,ni base moja na Membe kimtazamo wangu!
 
Wanajamji heshima kwenu! Mpaka sasa hatima ya CCM iko kwa candidate Benard Membe,ipo sababu kubwa ya kusema hilii.

  1. Membe hajawahi kutangaza nia ya Urais ila vyombo vya habari vinamtaja mno kuwa huenda akatangaza nia.kwa hiyo vinahiriki kumjenga pasipo kukusudia.

  2. Kila linapotajwa jina la Membe kuhusishwa na Urais,watu wanaweweseka kwa woga kumuhofia.hiyo ni dalili kuwa ni material candidate.
  3. Membe ni mwanadiplomasia aliyetukuka,na mwenye weledi mbaye amefanya kazi nje ya nchi kwa mda mrefu,kama taifa linahitaji mtu wa namna hiyo,mintarafu suala la uhusiano wa kimataifa.

  4. Membe alishinda ujumbe wa kamati kuu ccm Nec kupitia kundi la kifo ,Membe alishinda alishinda pasipo kuzunguka mikoani,mbali ya kampeni chafu za akina Hussein Bashe kumchafua.

  5. Membe ni mtu mwenye rekodi safi kwa maisha yake kisiasa.Hiyo inamfanya pia awe bora ukilinganisha na wengine wanaotamani urais.
  6. Kura za 2015 zinaenda kupigwa kwa misingi ya candidate ni nani na sio anatoka chama gani,ukitaka kuona hili angalia issue ya kuchomwa makanisa,mauji ya wachungaji hasa Zanzibar padre Mushi, kutaja machache,hivyo watu wanaenda kupiga kura kwa misingi hiyo .............malizia.
  7. Membe ni mtu anayeonekana kuaminika mbele ya mkulu,kwani mamvi akiingia darakani hatatabilika aweza kuyafanya ya aliyofabnyiwa Chiluba Zambia.
  8. Amewahi kumwakilisha Mkuu wa Nchi na akahutubia UN badala ya mkulu.
  9. Sasa hivi ni mtu wenye cheo kikubwa ndandi Jumuiya ya Madola,hivyo Moto wa Membe haukamatiki ndani nje ya nchi,baadhi ya watu hudiriki kumwita mnafiki,lakini hakuna hata mmoja aliyefaulu kueleza unafiki wake upo katika lipi. KWA HIYO MEMBE ENDAPO ATASIMAMISHWA NA CHAMA CHAKE 2015 INAWEZA KUWA NAFUU,KULIKO KUMSIMAMISHA laigwani,AMBAPO Chadema itaingia kirahisi. Nawasilisha, Ukana Shilungo.


Pole; You seem to know the words BUT you miss their meaning!
 
''Membe ni mwanadiplomasia aliyetukuka''

Una hatari wewe. Ungeweka pembeni ushabiki halafu ukaeleza sifa zake kwa ufasaha ungemsaidia sana Mh.Membe ila kwa njia hii unamharibia.
 
Kadri ya tathmini yangu nimevutwa na membe,ila sita naye yuko vizuri,ni base moja na Membe kimtazamo wangu!

hamna kitu hapo, kitu lowasa bana..membe ana nini, amefanya nn for 10 years za kuwa waziri? hata huko jimboni kwake tu kachokwa itakuwa uraisi?
uraisi uanmtaka mtu mwenye kufanya maamuzi na kuyasimamia utekelezaji wake..hii kitu anayo lowasa tu, wengine hamna labda na magufuli..lkn si membe wala sita
 
Haya naona mpasuko unahamia CCM toka CHADEMA kufuatia matamko ya sherehe za mwaka mpya? Ukana Shilungo umemsindanisha Membe na Lowasa, Hon. S Sitta vipi kajitoa?

Mpasuko CCm is the matter of time ...................... Hata hii mizunguko ya Kinana, Nape na Asha-Rose siyo ya bure tu, lazima ni ya kundi fulani. Ingawa siaamini kama Asha-Rose atasimama.
 
Wanajamji heshima kwenu! Mpaka sasa hatima ya CCM iko kwa candidate Benard Membe,ipo sababu kubwa ya kusema hilii.

  1. Membe hajawahi kutangaza nia ya Urais ila vyombo vya habari vinamtaja mno kuwa huenda akatangaza nia.kwa hiyo vinahiriki kumjenga pasipo kukusudia.

  2. Kila linapotajwa jina la Membe kuhusishwa na Urais,watu wanaweweseka kwa woga kumuhofia.hiyo ni dalili kuwa ni material candidate.
  3. Membe ni mwanadiplomasia aliyetukuka,na mwenye weledi mbaye amefanya kazi nje ya nchi kwa mda mrefu,kama taifa linahitaji mtu wa namna hiyo,mintarafu suala la uhusiano wa kimataifa.

  4. Membe alishinda ujumbe wa kamati kuu ccm Nec kupitia kundi la kifo ,Membe alishinda alishinda pasipo kuzunguka mikoani,mbali ya kampeni chafu za akina Hussein Bashe kumchafua.

  5. Membe ni mtu mwenye rekodi safi kwa maisha yake kisiasa.Hiyo inamfanya pia awe bora ukilinganisha na wengine wanaotamani urais.
  6. Kura za 2015 zinaenda kupigwa kwa misingi ya candidate ni nani na sio anatoka chama gani,ukitaka kuona hili angalia issue ya kuchomwa makanisa,mauji ya wachungaji hasa Zanzibar padre Mushi, kutaja machache,hivyo watu wanaenda kupiga kura kwa misingi hiyo .............malizia.
  7. Membe ni mtu anayeonekana kuaminika mbele ya mkulu,kwani mamvi akiingia darakani hatatabilika aweza kuyafanya ya aliyofabnyiwa Chiluba Zambia.
  8. Amewahi kumwakilisha Mkuu wa Nchi na akahutubia UN badala ya mkulu.
  9. Sasa hivi ni mtu wenye cheo kikubwa ndandi Jumuiya ya Madola,hivyo Moto wa Membe haukamatiki ndani nje ya nchi,baadhi ya watu hudiriki kumwita mnafiki,lakini hakuna hata mmoja aliyefaulu kueleza unafiki wake upo katika lipi. KWA HIYO MEMBE ENDAPO ATASIMAMISHWA NA CHAMA CHAKE 2015 INAWEZA KUWA NAFUU,KULIKO KUMSIMAMISHA laigwani,AMBAPO Chadema itaingia kirahisi. Nawasilisha, Ukana Shilungo.
mwene sifa ya kugombea urais 2015 kwa tiketi ya ccm ni Salim Salim peke yake wengune wote ni sawasawa kuipa chadema penati ya bure
 

PHP:
  .[Membe ni mwanadiplomasia aliyetukuka,na mwenye weledi mbaye amefanya kazi nje ya nchi kwa mda mrefu,kama taifa linahitaji mtu wa namna hiyo,mintarafu suala la uhusiano wa kimataifa.
]Nawaogoga sana hawa madiplomasia wa kutoka wizara ya nje kua marais. So far, wengi wamepruvu kua ni wazee wa itifak na sio wapambanaji. Labda BWM, kiasi. Nadhani siku hiz wanajifunza mambo ya touring zaidi ya Int. economy etc.
Code:
.[[SIZE=2][I][B]Kura za 2015 zinaenda kupigwa kwa misingi ya candidate ni nani na sio anatoka chama gani,ukitaka kuona hili angalia issue ya kuchomwa makanisa,mauji ya wachungaji hasa Zanzibar padre Mushi, kutaja machache,hivyo watu wanaenda kupiga kura kwa misingi hiyo .............malizia[/B][/I][/SIZE]
. Huyu ni miongoni wa viongozi waliotoa ahadi tata kuhusu mambo haya. Na bado haijatekelezwa. Imekua ni donda la chuki baina ya jamii hizi mbili.
PHP:
.[Membe ni mtu anayeonekana kuaminika mbele ya mkulu,kwani mamvi akiingia darakani hatatabilika aweza kuyafanya ya aliyofabnyiwa Chiluba Zambia.   ]
Mie si fan wa hawa wawili; lakini hii ni credit kwa EL, na ni flop kwa Membe. Tunahitaji mtu atakae ufumua mfumo, sio kulinda familia za waovu.
 
Akili za mama Salma hizo, tusubiri Chimwaga ndo wajumbe wataamua, walai membe akishinda nahama Nchi akawe kiongozi wa mama salma
 
wazir alyeishi nje mda mwng kama membe hafai kupewa yadhafa za urais, sina maana hyo bt membe hafai na endapo akapta urais mm nachukua uraia kenya cwez kuja ona kama mkimbiz, mkimpa yule tour(safar za njee) ztakuwa nyng na hko nje hwez jua anachofuata nn nisiongee sana
mm naona lowassa ndo mwenye msmamo na ana maauz magumu xana pia ana changamoto ya maendeleo
 
membe for presidency

Wana JF tuwe makini sana na kauli zetu kwa kuwa tutakuja kusutwa na Historia mbeleni. Niwape mfano, tukiwa pale Mlimani (UDSM) mwaka 1995 Mh. Ben Mkapa alipochukua Fomu kugombea Urais TAHLISO kwa kauli moja ilikutana Mlimani na kutoa kauli kwamba Mkapa hafai kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano kwa kuwa eti ameshindwa kuongoza Wizara ya Sayansi, Teknolojia na Elimu ya Juu. TAHLISO ilitumia jazba ya kupinga uchangiaji wa Elimu ambao ndio ulikuwa umeingia mwaka wa pili wa utekelezaji wake.

Hatimaye, Mh.Mkapa akawa Rais na mnajua kazi alizozifanya!

Kwa wakati huu kila mtu anayo nafasi ya kuwa Rais baina ya hao mnaowataja. Tuepuke sana sweeping statements za fulani hawezi kuwa Rais!
 
EL naye hafai maana amechoka kiafya na hana jipya,nafikiri tumekuwa wavivu wa kufikiri na kushindwa kuelewa mahitaji yetu.
Watanzania wa sasa wanahitaji mabadiliko,sasa unaowataja wataendeleza yaleyale yaliyotufikisha tulipo.ji stretch zaidi ndugu kichwa kitafunguka.

Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom