Kosa la Makamba ni kuwa 5 Bora Uchaguzi wa ndani CCM 2015

Idofu

Senior Member
Oct 24, 2022
108
187
Nawakumbusha tu walioingia tano bora kwenye Uchaguzi wa ndani ya CCM 2015 ni hawa wafuatao;

  • Cammilius Membe
  • January Makamba
  • Asha Rose Migiro
  • Amina Salum Ali
  • John Pombe Magufuri

Ukiangalia kwa umakini kutoka katika orodha hiyo utagundua Mgombea wa kiume aliyebaki ni January Makamba baada ya Hayati Magufuli na Membe kufariki!

Kwa hiyo kelele zote tunazoziona, ni kutokana na hofu hii kwa mwaka 2030!

January Makamba ana turufu kubwa ya kuibuka kidedea ndani ya CCM na kuwa Mgombea Urais kwa mwaka 2030!
 
Nawakumbusha tu walioingia tano bora kwenye uchaguzi wa ndani ya CCM 2015 ni hawa wafuatao;-

Cammilius Membe
January Makamba
Asha Rose Migiro
Amina Salum Ali
John Pombe Magufuri

Ukiangalia kwa umakini kutoka katika orodha hiyo utagundua Mgombea wa Kiume aliyebaki ni January Makamba baada ya JPM na Membe Kufariki!!

Kwa hiyo Kelele zote tunazoziona,ni kutokana na hofu hii kwa Mwaka 2030!!

January Makamba ana turufu kubwa ya kuibuka kidedea ndani ya CCM na kuwa Mgombea Urais kwa mwaka 2030!!
safari hii ata tano bora aingii, hatumtaki kabisa. Akiwekwa yeye tutampinga na atafanya kampeni ngumu haijawahi tokea
 
Nawakumbusha tu walioingia tano bora kwenye uchaguzi wa ndani ya CCM 2015 ni hawa wafuatao;-

Cammilius Membe
January Makamba
Asha Rose Migiro
Amina Salum Ali
John Pombe Magufuri

Ukiangalia kwa umakini kutoka katika orodha hiyo utagundua Mgombea wa Kiume aliyebaki ni January Makamba baada ya JPM na Membe Kufariki!!

Kwa hiyo Kelele zote tunazoziona,ni kutokana na hofu hii kwa Mwaka 2030!!

January Makamba ana turufu kubwa ya kuibuka kidedea ndani ya CCM na kuwa Mgombea Urais kwa mwaka 2030!!
Huyo hafai,anapenda vyeo sana
 
Hakuna ukweli hapo.

Ni aina ya kijana ambaye anaamini anamiliki kipande cha Tanzania.
 
Hamna kitu pale ufanisi wake ni mdogo pia ana roho mbaya

Kwa Nini amepandisha gharama za kuunga umeme vijijini kutoka elfu 27 Hadi milioni Moja ? Wakati pesa za REA bado zinakusanywa ,pesa za REA zinafanya kazi gani Kwa Sasa
 
Nawakumbusha tu walioingia tano bora kwenye Uchaguzi wa ndani ya CCM 2015 ni hawa wafuatao;

  • Cammilius Membe
  • January Makamba
  • Asha Rose Migiro
  • Amina Salum Ali
  • John Pombe Magufuri

Ukiangalia kwa umakini kutoka katika orodha hiyo utagundua Mgombea wa kiume aliyebaki ni January Makamba baada ya Hayati Magufuli na Membe kufariki!

Kwa hiyo kelele zote tunazoziona, ni kutokana na hofu hii kwa mwaka 2030!

January Makamba ana turufu kubwa ya kuibuka kidedea ndani ya CCM na kuwa Mgombea Urais kwa mwaka 2030!
Najiuliza kwanini watu wanamchukia Januari Makamba bila sababu za msingi?

Pamoja na mengine ikiwa na ulilolisema, nadhani sababu ni;

1. Wivu wivu wivu wivu wa kwanini atuzidi sisi.

2. Wengi exposure zero. Tukiona fulani anaserereka kimaisha, roho mbaya makasiriko huongezeka.

3. Amezaliwa na kukulia mazingira yenye advantage kwake. Sio rahisi kuwa sawa kimaisha na sie tuliokulia Lukumbule-Tunduru.

Tubadilike na kupunguza chuki kwa watu bila sababu.
 
Hamna kitu pale ufanisi wake ni mdogo pia ana roho mbaya

Kwa Nini amepandisha gharama za kuunga umeme vijijini kutoka elfu 27 Hadi milioni Moja ? Wakati pesa za REA bado zinakusanywa ,pesa za REA zinafanya kazi gani Kwa Sasa
Wewe huelewi chochote ni bora ungenyamaza mbele ya watu wenye uelewa humu jamvini.
 
Nawakumbusha tu walioingia tano bora kwenye Uchaguzi wa ndani ya CCM 2015 ni hawa wafuatao;

  • Cammilius Membe
  • January Makamba
  • Asha Rose Migiro
  • Amina Salum Ali
  • John Pombe Magufuri

Ukiangalia kwa umakini kutoka katika orodha hiyo utagundua Mgombea wa kiume aliyebaki ni January Makamba baada ya Hayati Magufuli na Membe kufariki!

Kwa hiyo kelele zote tunazoziona, ni kutokana na hofu hii kwa mwaka 2030!

January Makamba ana turufu kubwa ya kuibuka kidedea ndani ya CCM na kuwa Mgombea Urais kwa mwaka 2030!
Atagombea na kuupata Urais wa nyumbani kwake Bumbuli.
 
Nawakumbusha tu walioingia tano bora kwenye Uchaguzi wa ndani ya CCM 2015 ni hawa wafuatao;

  • Cammilius Membe
  • January Makamba
  • Asha Rose Migiro
  • Amina Salum Ali
  • John Pombe Magufuri

Ukiangalia kwa umakini kutoka katika orodha hiyo utagundua Mgombea wa kiume aliyebaki ni January Makamba baada ya Hayati Magufuli na Membe kufariki!

Kwa hiyo kelele zote tunazoziona, ni kutokana na hofu hii kwa mwaka 2030!

January Makamba ana turufu kubwa ya kuibuka kidedea ndani ya CCM na kuwa Mgombea Urais kwa mwaka 2030!
Jizi na jambazi. Limemharibia Dkt Samia ili ashindwe uchaguzi 2025
 
Najiuliza kwanini watu wanamchukia Januari Makamba bila sababu za msingi?

Pamoja na mengine ikiwa na ulilolisema, nadhani sababu ni;

1. Wivu wivu wivu wivu wa kwanini atuzidi sisi.

2. Wengi exposure zero. Tukiona fulani anaserereka kimaisha, roho mbaya makasiriko huongezeka.

3. Amezaliwa na kukulia mazingira yenye advantage kwake. Sio rahisi kuwa sawa kimaisha na sie tuliokulia Lukumbule-Tunduru.

Tubadilike na kupunguza chuki kwa watu bila sababu.
Wala siyo wivu, Makamba ana akili sana ila huo upigaji wa dili ndiyo tatizo. Ni very creative
 

Nyakati za hivi karibuni ndani ya vyama vyote vya siasa kumekosekana aina ya watu ambao ukiwatazama tu unaona wanafaa kwa nafasi ya urais.

Hili la watu kumuangalia January kama mtu anayefaa kuwa rais ni kiashiria tosha kwamba, watu wanaofaa kwa nafasi ya urais wameisha ndani ya CCM.

Urais sio nafasi ya kupeana kama pongezi.
 
Nawakumbusha tu walioingia tano bora kwenye Uchaguzi wa ndani ya CCM 2015 ni hawa wafuatao;

  • Cammilius Membe
  • January Makamba
  • Asha Rose Migiro
  • Amina Salum Ali
  • John Pombe Magufuri

Ukiangalia kwa umakini kutoka katika orodha hiyo utagundua Mgombea wa kiume aliyebaki ni January Makamba baada ya Hayati Magufuli na Membe kufariki!

Kwa hiyo kelele zote tunazoziona, ni kutokana na hofu hii kwa mwaka 2030!

January Makamba ana turufu kubwa ya kuibuka kidedea ndani ya CCM na kuwa Mgombea Urais kwa mwaka 2030!
Ni failure.
 
Najiuliza kwanini watu wanamchukia Januari Makamba bila sababu za msingi?

Pamoja na mengine ikiwa na ulilolisema, nadhani sababu ni;

1. Wivu wivu wivu wivu wa kwanini atuzidi sisi.

2. Wengi exposure zero. Tukiona fulani anaserereka kimaisha, roho mbaya makasiriko huongezeka.

3. Amezaliwa na kukulia mazingira yenye advantage kwake. Sio rahisi kuwa sawa kimaisha na sie tuliokulia Lukumbule-Tunduru.

Tubadilike na kupunguza chuki kwa watu bila sababu.
Walau wewe umesema ukweli. January alichukiwa tangu siku ya kwanza ya uteuzi wake. Hoja ya waliomchukia eti ufisadi, ukiwauliza alifanya ufisadi gani kabla ya uteuzi, wanabaki wanatoa macho. Waliomjengea chuki ni walioumizwa na kitendo cha ndugu yao Kalemani kutolewa pale. Na hata leo ukiwauliza kuhusu ufisadi wake bado hawana majibu.

 
Back
Top Bottom