nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
huu ni ukiukwaji mkubwa wa sheria, taratibu na kanuni za utumishi wa umma, ccm inalazimisha wafanyakazi kuhudhuria mikutano yao! Chadema kupitia wabunge wenu, hakikisheni jambo hili mnalipeleka bungeni!