Hii inabidi kusoma na sintaandika zaidi. Zitto Kabwe una kazi huko kwenu Kigoma.
View attachment 10380
Hii inabidi kusoma na sintaandika zaidi. Zitto Kabwe una kazi huko kwenu Kigoma.
View attachment 10380
Wanaokubali kutawaliwa na vilaza nao unawaitaje?Ccm ni chama cha watu wasio na akili hata chembe, woote ni vilaza wa fikra.
Sio kweli hii ni sanaa tu na ukichaa wa wana shina hili
Zito upo wapo? haya yanatisha, ngoja kesho na mimi nikatafute kadi ya ccm nipate mchele bure
Uzuri wananchi wa Kigoma wanazo nyingi mukichwa hawadanganyiki kirahisi walimbebea Jeneza Kaborou mpaka leo hii huwa na soni kila akirudi nyumbani kwa kuwatosa na kukimbilia CCM
Hapo CCM wamekuwa rediculed mbaya kabisa!!!!
Yaani ni kwamba, if you think having a valid and active CCM card is a big deal, go use it in the market and see if it will get you a free mchele na maharage. OR it will get you electricity!!
Duh!! mambo hadharani kiivo!!