William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Wakuu wote JF heshima mbele sana,
- According to the dataz nilizozipata sasa hivi ni kwamba Kamati Kuu ya CCM itakutana kwa kikao cha dharura kuanzia tarehe 11, September 2009. Ni hivi majuzi tu kamati hiyo na NEC yake walikutana na kuleta kizaa zaa ambacho mpaka leo bado wananchi hatujamaliza kutafakari yaliyojiri, baadaye yakaja ya Chadema na sasa CCM kukutana tena, kuna nini hasa? Na je kuna uhusiano wowote wa hivi vikao?
- Anyways, sasa naomba kuwaomba wakulu wangu kumradhi, maana niko safarini na mpiganaji mmoja kati ya wapiganaji 11, hata hizi dataz nimezinasa kwa bahati na haraka sana, nimekwua out of access yoyote toka majuzi ni leo tu kwa bahati hapa nimeomba mtandao wa msamaria mwema, hata hivyo baada ya kumaliza hii post sitakuwa na access tena ya mtandao wala dataz mpaka nitakaporudi mjini tena, na itachukua muda sana maana huku kuna shughuli nzito sana za masilahi ya taifa.
Salaam kwa wote!
Respect and Out!
Field Marshall Es! ni Wazee wa Sauti ya Umeme!
- According to the dataz nilizozipata sasa hivi ni kwamba Kamati Kuu ya CCM itakutana kwa kikao cha dharura kuanzia tarehe 11, September 2009. Ni hivi majuzi tu kamati hiyo na NEC yake walikutana na kuleta kizaa zaa ambacho mpaka leo bado wananchi hatujamaliza kutafakari yaliyojiri, baadaye yakaja ya Chadema na sasa CCM kukutana tena, kuna nini hasa? Na je kuna uhusiano wowote wa hivi vikao?
- Anyways, sasa naomba kuwaomba wakulu wangu kumradhi, maana niko safarini na mpiganaji mmoja kati ya wapiganaji 11, hata hizi dataz nimezinasa kwa bahati na haraka sana, nimekwua out of access yoyote toka majuzi ni leo tu kwa bahati hapa nimeomba mtandao wa msamaria mwema, hata hivyo baada ya kumaliza hii post sitakuwa na access tena ya mtandao wala dataz mpaka nitakaporudi mjini tena, na itachukua muda sana maana huku kuna shughuli nzito sana za masilahi ya taifa.
Salaam kwa wote!
Respect and Out!
Field Marshall Es! ni Wazee wa Sauti ya Umeme!