Gerald
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 290
- 46
haahaa. inawezekana hata babu yako ni kada wa ccm
kaka kabisa enzi za mababu ccm ilikua juu sasa wameingia watotot wa mjini so kimjinimjini nakushauri tuu nape awezi kitu wee subiri utakuja kusema mwenyewe kama ulivyojipa matumaini ya kujivua gamba ukaja juu juu na kujipa jina gamba jipya so?
Nape mbona kaache mziki wape wa siku 90 za mafisadi? kumbuka hapa baada ya baba yenu kufokewa na tajiri kuba nae kafyata na kumwonya nape atafute mziki mwingine na sasa anakuja eti slaa ni fisadi kweli?
Embu atupe kwanza ni kwanini walijivua gamba?
Je watu gani waliosababisha? na wameshachukuliwa hatua? ukipata jibu njoo hapa jf utuhabarishe
Ila mwenyekiti wako ndio kabanwa tena yeye alikua anasign tuu akujua mazara yake sasa ngoma ngumu