Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 302
Wako tayari kuua ili kulinda maslahi yao, wamesababisha vifo vya watu wasio na hatia kama huyu ndugu kwa kulazimisha kanuni zikiukwe, still hata baada ya mauaji kutokea hawaonyeshi kushtushwa badala yake Makamba anadai jengo lao limevunjwa vioo inasikitisha sana, hawa ndio viongozi wa kitaifa tulionao ndio maana nimefikia uamuzi wa kuwaita Exis of Evil yes they are Exis of Evil.