Ni kweli kuwa vita vya panzi ni furaha ya kunguru.
Hata hivyo kwa mustakabala wetu wakiwamo watoto wa wajukuu zetu, tusiache mbachao kwa msala upitao.
Haina shaka kuwa nyongeza ya kwenye "boom" haina tofauti na punje ya mchele na punje ya almasi kwa jogoo.
Mengine haya ni yale yale:
Tusiache kujiuliza kwani mpango mzuri kama huu uanzie wapi?
"Vijana watakapo hitimu au kwa wahitimu walioko mitaani tayari bila ajira?"
Inafahamika tutasikia mengi sana kwa kadri homa ya siasa itakavyoendelea kupanda.
Hata hivyo kama wenye akili zetu ni muhimu kuhoji.
Zaidi mno tutambue ndo ndo ndo si chururu.
Hata hivyo kwa mustakabala wetu wakiwamo watoto wa wajukuu zetu, tusiache mbachao kwa msala upitao.
Haina shaka kuwa nyongeza ya kwenye "boom" haina tofauti na punje ya mchele na punje ya almasi kwa jogoo.
Mengine haya ni yale yale:
Tusiache kujiuliza kwani mpango mzuri kama huu uanzie wapi?
"Vijana watakapo hitimu au kwa wahitimu walioko mitaani tayari bila ajira?"
Inafahamika tutasikia mengi sana kwa kadri homa ya siasa itakavyoendelea kupanda.
Hata hivyo kama wenye akili zetu ni muhimu kuhoji.
Zaidi mno tutambue ndo ndo ndo si chururu.