Kwa mfano kodi na mrahaba serikali ya CCM inayokusanya kutoka kwa uwekezaji haswa wa mali asili zetu, inawafadishaje watanzania?
Nasisitizia vitu ambavyo vinaweza kutumika hapa Tanzania kwa manufaa ya watanzania.
Angalia Natural gas ya Songosongo. Kwa nini Watanzania wasipate Nishati mbadala ya bei rahisi.
Sasa kama gesi inapatikana bure kutoka kwa Mungu, sisi/wawekezaji wameweka tu gharama za uchimbaji, inakuaje bei ya gesi isiwe bei rahisi??
Nini kinasababisha gesi iwe bei ghali?
Pia kwa nini makaa ya mawe pia yakatengenezwa katika mfumo wa kutumika ili kuokoa misitu yetu.
Jamani ni recycle ni obvious kabisa. Angalieni wajameni Misitu ndo inahifadhi maji, na maji ndo tunayataka kwa hydro electric generation.
Sasa kama tunamaliza misitu ya asili kwa mkaa, umeme huo utakuwa historia Tanzania.
Haya Kilimo Kwanza. Mbolea ya Minjingu inachimbwa pale Minjingu barabara ya Babati.
Hiyo phosphate si bure tumepewa na Mungu, kwa nini mbolea iuzwe ghali hivyo??
na mengi mengi Wana JF na watanzania kwa ujumla mnaweza kuongezea.
TATIZO Ni Upopompo wa Viongozi katika CCM.
Ubinafsi na u.pum.bafu, kwa nini utelekeze watanzania na mabilioni kwa ajili ya 10%??
hao wasaliti wanyongwe, ni akina nani jamani
Nasisitizia vitu ambavyo vinaweza kutumika hapa Tanzania kwa manufaa ya watanzania.
Angalia Natural gas ya Songosongo. Kwa nini Watanzania wasipate Nishati mbadala ya bei rahisi.
Sasa kama gesi inapatikana bure kutoka kwa Mungu, sisi/wawekezaji wameweka tu gharama za uchimbaji, inakuaje bei ya gesi isiwe bei rahisi??
Nini kinasababisha gesi iwe bei ghali?
Pia kwa nini makaa ya mawe pia yakatengenezwa katika mfumo wa kutumika ili kuokoa misitu yetu.
Jamani ni recycle ni obvious kabisa. Angalieni wajameni Misitu ndo inahifadhi maji, na maji ndo tunayataka kwa hydro electric generation.
Sasa kama tunamaliza misitu ya asili kwa mkaa, umeme huo utakuwa historia Tanzania.
Haya Kilimo Kwanza. Mbolea ya Minjingu inachimbwa pale Minjingu barabara ya Babati.
Hiyo phosphate si bure tumepewa na Mungu, kwa nini mbolea iuzwe ghali hivyo??
na mengi mengi Wana JF na watanzania kwa ujumla mnaweza kuongezea.
TATIZO Ni Upopompo wa Viongozi katika CCM.
Ubinafsi na u.pum.bafu, kwa nini utelekeze watanzania na mabilioni kwa ajili ya 10%??
hao wasaliti wanyongwe, ni akina nani jamani