CCM imesema itajenga Chuo Kikuu cha Uongozi

MPIGA ZEZE

JF-Expert Member
May 16, 2011
2,539
2,296


Tunawashauri CHADEMA na CUF nanyi kupanga kujenga vyuo vyenu vikuu vya uongozi. Tutachangia. Jino kwa jino!
 


Tunawashauri CHADEMA na CUF nanyi kupanga kujenga vyuo vyenu vikuu vya uongozi. Tutachangia. Jino kwa jino!

Kama wataproduce viongozi kama walionao sasa, itakuwa ni kupoteza rasirimali zao. Kwani Kivukoni kimekuwa kikifanya nini miaka yote?
 
Kama wataproduce viongozi kama walionao sasa, itakuwa ni kupoteza rasirimali zao. Kwani Kivukoni kimekuwa kikifanya nini miaka yote?
Ulimbukeni pia - kwa nini kiwe chuo kikuu cha chama badala ya chuo cha chama. Hii ni kupotosha na kubaka dhana nzima ya 'chuo kikuu'. Lakini iwapo kitapewa baraka na serikali, basi mkondo uwe huo huo kwa vyama vingine.
 
Taaluma ya uongozi inatolewa na vyuo vingi hapa nchini tangu enzi za Mzumbe, na wahitimu wamejaa mitaani. Kama lengo ni kuwapeleka wanafunzi wanaojua kusoma na kuandika( hata kuhesabu imeondolewa kama kigezo!) wapewe digrii, ni vema.
 
Hawa CCM inaelekea hangover ya ujamaa haijawatoka. Bado tu wanaendelea na zile siasa zao .... tutafikiri Tanzania ni North Korea au Cuba!!
 
Bora wafanye hivyo hima maana wamekua wakituletea watu wa ajabu ajabu at nao ndo viongoz wanao waaminia
 
Ukishaona kijana ana sura na akili ya kizamani basi ujue huyo akizeeka lazima atakuwa mchawi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom