Nani anafaa kuongoza kampeni za CCM Igunga kati ya January Makamba na Mwigulu Nchemba?
My take: January ni mtu makii na smart lakini ana damu ya kunguni ya kuchukiwa tu bila sababu za msingi hivyo si sahihi kwa chama kumpeleka Igunga. Mwigulu ni very smart na machachari na hana kashfa yoyote, anaweza kukisadia sana chama chake huko Igunga.
My take: January ni mtu makii na smart lakini ana damu ya kunguni ya kuchukiwa tu bila sababu za msingi hivyo si sahihi kwa chama kumpeleka Igunga. Mwigulu ni very smart na machachari na hana kashfa yoyote, anaweza kukisadia sana chama chake huko Igunga.