Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
CCM walipoambiwa ni chma cha mafisadi waling'aka na kusema kwamba ufisadi ni wa mtu mmoja mmoja sio CCM yote. But the truth is wajumbe wa kamati kuu (kikao kikubwa kabisa cha chama) zaidi ya watano ni watuhumiwa wa ufisadi mkubwa. Hivyo ni halali kuita chma hicho ni cha mafisadi.
Tuje CHADEMA, mauaji ya Maswa ambapo hakuwepo mjumbe yeyote wa kamati kuu ya chama, wala viongozi wa kitaifa wa chama na hata Mbunge mtarajiwa imethibitika hana hatia na hilo tayari JK na Bilal wameshatamka hadharani kwamba CHADEMA ni chama cha wauaji, niaje CCM mbona hamueleweki???????
Tuje CHADEMA, mauaji ya Maswa ambapo hakuwepo mjumbe yeyote wa kamati kuu ya chama, wala viongozi wa kitaifa wa chama na hata Mbunge mtarajiwa imethibitika hana hatia na hilo tayari JK na Bilal wameshatamka hadharani kwamba CHADEMA ni chama cha wauaji, niaje CCM mbona hamueleweki???????