REMSA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,579
- 947
Kweli mkuu, hata mimi sijawahi kuona kadi za mwaliko wa msiba. Huyu Godwin naye anajivunjia heshima, kama anayo lakini.
Heshima yenyewe si mpaka awe nayo!!!hiyo adabu tu hana, ndiyo maana anabanagua watu wa kuhudhuria
msiba.