tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Watanzania tumeishahamishwa kutoka kwenye focus.Hivi kila kitu ni siasa, hata uhai wa binadamu ni siasa? Ukiwa mwanachama wa CCM ukalaani waliomuua Daud Mwangosi utaonekana wa maana, otherwise utakuwa mnafiki wa kutupwa.