Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,209
- 42,071
Sio Dr tu na Mwana mwabepande nae ata somesha mmoja!
Mkuu watoto wa marehemu watasomeshwa na Dr Slaa? Ebu tujuze mkuu.
Mkuu watoto wa marehemu watasomeshwa na Dr Slaa? Ebu tujuze mkuu.
ama kweli we ni tutusa...
Pro-Chadema kila siku mnapiga kelele kuwa JK anapenda kwenda kujipendekeza kwenye misiba, vipi tena Dr Slaa anavamiia msiba wa watu au marehemu alikuwa kada wa Chadema...RIP Mwangosi.
Je dk.slaa angeacha kwenda wangesemaje?
Mkuu Ritz,
Dr. Slaa kapagawa dhambi ya unafiki inamsuta, mbona hakwenda Tanga kumzika Ally (R.I.P)? mbona hakwenda Singida si anadai msiba hauna dini wala kabila? hivi huyu haponi kweli? kauli zake anaezielewa mwenyewe.
Chama
Gongo la mboto DSM- safarini Brussels
Huu nao ni upuuzi mwingine.... linapokuja suala la msiba hakunaga itikadi, kama wanachadema walishirIki msiba walishiriki kama watanzania wengine walioguswa na msiba huo mambo ya kubaguana msibani huo ni upuuzi uliokomaa kama watanzania bado hatujafika huko ndo maana hata CDM walipofiwa na mbunge wao wana CCM walikuwepo kama watanzania wengine walioguswa na msiba huo.
Pro-Chadema kila siku mnapiga kelele kuwa JK anapenda kwenda kujipendekeza kwenye misiba, vipi tena Dr Slaa anavamiia msiba wa watu au marehemu alikuwa kada wa Chadema...RIP Mwangosi.
Huwezi kuusafiria msiba ambao una uhusiano nao kama Dr Slaa anapenda kuzika mbona Dar kuna misiba mingi kaicha kaenda huko mbali.
huwezi kuusafiria msiba ambao una uhusiano nao kama dr slaa anapenda kuzika mbona dar kuna misiba mingi kaicha kaenda huko mbali.
Mkuu chama,
Hivi kutoka Dar es Salaam mpaka Iringa, au kutoka Dar es Salaam mpaka Tanga wapi mbali?