CCM Arusha yakosa mgombea udiwani kata ya Sombetini

Ritz chama HAMY-D na hata Rejao maji yakoje yanazamisha hayazamishi? Hebu zungukeni huku na mawazo yenu ya utumwa tuwasikie! Maji ukiyavulia nguo huna budi kuyaoga. Kudadeki kumekucha tena! Tunakaba mpaka kieleweke!
kazi unayo unalipwa nini na macho kumchuzi? au huwa unaingia bills bule??? Upinzani bado sanaaa
 
Last edited by a moderator:
Kwa hali hii inavyoendelea sitoshangaa uchaguzi ujao wakakosa hata mgombea wa urais
 
tusubiri kwanza tume ya uchaguzi kupitia Mkurugenzi mtendaji (w) kutangaza wagombea kupitia vyama vyao kuchukua fomu ya uchaguzi ndipo hapo tutajua kama mgombea amekosekana
 
Back
Top Bottom