CCM Arusha yakosa mgombea udiwani kata ya Sombetini

misisiemu ni wabaya sana. mambo yao yanampendeza shetani na ndio maana shetani ameshawaandalia vitalu vyao jehanamu.
 
Ccm wanatamani polis wawe wa kwao, usalama wa taifa uwe wao, tume ya uchaguzi iwe yao, hata katiba wanataka iwe yao! Hakuna chama linalopenda kukumbatia hata kisicho chao! Shame on ccm!
 
Ritz chama HAMY-D na hata Rejao maji yakoje yanazamisha hayazamishi?

Hebu zungukeni huku na mawazo yenu ya utumwa tuwasikie!
Maji ukiyavulia nguo huna budi kuyaoga.
Kudadeki kumekucha tena! Tunakaba mpaka kieleweke!
 
Last edited by a moderator:
Hivi kweli kwa nini Nape asiende kugombea pale? Ingekuwa kipimo cha kukubalika kwake katika Jamii. Nadhani anapaswa kukiwakilisha chama katika kinyanganyiro hicho.
 
Tume ya uchaguzi acheni kuwalea magamba,tuna hamu nao sana tuwapige bao moja tu la nguvu mpaka senta bolti ikatike....kudadeki zenu!!mtajampa!!
 
Msemaji wa CCM kutokea CDM...hatua zote walizochukua kumfuata mwalimu fulani(hana jina) akakataa, wakamfuata mchungaji(hana jina) akagoma zote hizi msemaji unazipata mpaka wamehaha wamesogeza tarehe ati kwa kumuogopa Bananga...Mashallah...mwana CDM huachi asili yenu...UONGO UZUSHI...
Wakuu,
Ni miezi yapata mitatu sasa imepita tokea Mkurugenzi wa Uchaguzi atangaze kwamba Uchaguzi wa Sombeti ungefanyika mwezi September.
Kwa ufupi ni kwamba CCM baada ya kupata taarifa ya uchaguzi wa Sombetini walianza kuhaha kutafuta mgombea atakayesimama kwa tiketi ya chama chao. Mwezi moja uliopita walikwenda kwa Mwalimu moja wa shule ya Secondary Sombetini baada ya kuona ana ushawishi, lakini yule mwalimu akawaambia ni kweli anafundisha Sombetini lakini anaishi nje ya Sombetini. Baada ya kugonga mwamba kwa mwalimu ccm walikimbilia kwa Mchungaji wa kanisa wakampigia magoti agombee kwa tiketi ya ccm, Mchungaji akawajibu kuwa ingelikuwa chama kingine sawa, lakini kwa hii nitakuwa nimewasaliti wanasombetini ambao miaka na miaka wamekuwa wakilalamikia utawala mbovu wa serikali ya ccm. Akawaambia CCM siyo chama cha mabadiliko, bali yeye ni mwanabadiliko wanisamehe sana.

CCM walichanganyikiwa zaidi baada ya kupata tetesi kuwa CHADEMA wanamtaja taja Kamanda Ally Bananga kuwa ndiye atakayegombea kata ya Sombetini. Baada ya kupata hizo tetesi na hasa walipogundua kuwa watu wamekataa kugombea kwa tiketi ya CCM, ilibidi wachomekee kwa Tume ya Uchaguzi kuweka kapuni tarehe ya uchaguzi kata ya Sombetini.

Onyo:
Tume ya Uchaguzi kuweni makini msiendeshwe kwa hisia za kisiasa. Taarifa ya kuwa kata ya Sombetini ipo wazi Tume walipewa na Ofisi ya Mkurugenzi mwaka umepita.
 
Msomali au in short alshaabab. Kiongozi wa alshaabab anaitwa rage. Ndugu yake Aden nini?
 
hivi cdm bado wapo arusha na siku nyingi nimepaona kupoa sana,wapi kamanda wangu lema?
 
Back
Top Bottom