Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Huyo mama Chatanda si salama hata kwa CCM yenyewe; Wana-Arusha, makao makuu ya ukombozi nchini, nashukuru kwamba mmetabua hilo mapema.
Chatanda ni mwanamke hatari sana kwa ustawi mzuri na umoja wa ki-Tanzania hakika nawaambieni. Eti kwa namna ya ajabu sana tu alidiriki kutukana Maaskofu na Mashehe hapo Arusha eti tu kwa kutetea njemba mmoja anayekumbatia ufisadi nchini kwa jina la Jakaya Kikwete????
Chatanda, hangaika nalo hilo laana la kutukana viongozi wetu wa kiimani mpaka siku utakaposema mwenyewe sala ya toba!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Chatanda ni mwanamke hatari sana kwa ustawi mzuri na umoja wa ki-Tanzania hakika nawaambieni. Eti kwa namna ya ajabu sana tu alidiriki kutukana Maaskofu na Mashehe hapo Arusha eti tu kwa kutetea njemba mmoja anayekumbatia ufisadi nchini kwa jina la Jakaya Kikwete????
Chatanda, hangaika nalo hilo laana la kutukana viongozi wetu wa kiimani mpaka siku utakaposema mwenyewe sala ya toba!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ccm mkoa wa Arusha,wamepigana,wakimpinga katibu wao Mary Chitanda,katika ugomvi huo chitanda amejeruhiwa,wapo kwenye hapa ccm mkoa