measkron
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,782
- 2,406
Wana bodi kuna Kikao cha CC ya CHADEMA Leo jijini Dar es salaam. Nani anayejua kinachojiri katika Kikao hicho atujuze? Tumesikia rais kuvunja baraza la
Mawaziri baada ya kushauriwa na CC ya CCM ambayo nayo ilikutana leo, je maandamano ya kutokuwa
na imani na waziri mkuu na kuwataka mawaziri kujiuzulu bado yatakuwepo?
Mawaziri baada ya kushauriwa na CC ya CCM ambayo nayo ilikutana leo, je maandamano ya kutokuwa
na imani na waziri mkuu na kuwataka mawaziri kujiuzulu bado yatakuwepo?