Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
...MOD tafadhali unganisha ...threads za uchafuzi..ili tupate mtiririko.....
Tetesi ni kitu kisicho na ushahidi, kama wanazushiwa waende mahakamani... na huu ni mpango mmoja tu mwingine unahusisha watu wasomi zaidi na very senior na una angle ile ile.. huo utaibuka wiki ijayo Inshallah..
wiki iliyopita nilidokeza kuhusu "mgongano" utakaotokea mwishoni mwa juma. Namalizia kuandika ripoti yangu na nitawawekea hapa muda si mrefu ujao kama "Exclusive News".. majina yatatajwa... stay tuned..
Hii habari imekaa kiuda daku hivi. Waislam wanakaa kumkataa Kiongozi wa kichaga ilhali kuna wachaga waislamu wengi tu this doesnt add up...
Habari ina mkanganyiko na mgoloko mwingi, mara ukabila mara udini muradi kukidhi haja ya kuchochea watanzania. Huu ni mzuka wa OIC na Kadhi utatuletea habari nyingi watu wasipokuwa makini na kummeza nzima nzima kuna hatari mbeleni huko.
udaku ni pale unapofikiri kila kitu ni udaku. Ukiona ni udaku unatakiwa ujimege tu taratibu waachie watu wajadili issue hata kama ni udaku.
Sawa mkuu nafuata ushauri wako naelekea kule kwa Obama haya nakuachieni wenyewe....
kuna mkakati wa kikundi flani cha imani kuwachafua wale wote kwenye jamii yetu wanaopingana nao katika ishu yao ya imani nzito, hapo kwenye luninga ilikuwa inapagwa mkakati ya kutaka kutekeleza azma yao, lakini wakanaswa, anayehusika sana na huu mkakati ni kijana mmoja mdogo sana, anayeitwa Marwa, ambaye alibadili dini siku za nyuma ili kumuoa mtoto wa Mang'enya RIP, aliyewahi kuwa balozi wetu UN, na kiongozi wa zamani wa taifa, ni rafiki wa karibu sana na Kinje, maana na yeye ni mtoto wa Meja General Marwa RIP,
Ant Kikwete au wanamtandao wanaoasi wanaweza sana haya mambo. Haya endeleeni kupinga ufisadi na muwadondoshe mafisadi enyi wanafiki prosisiemu