mbota
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 1,040
- 559
JF
Hapa ifm hali inakuwa inasikitisha sana maana nikianza na vifaa sahani tunafanya kusubiri kwenye misururu mirefu haya ukipata chakula inakuja ishu ya vijiko yani mnaanza kugombania mpaka basi
ukimaliza hapo kwenye ishu ya msosi wenyewe unakula wali maharage wakati umenunua wali nyama. Mchuzi hamna , mboga za majani hamna. Yani balaa
ifmso wamefuatilia ila urasimu. Nawasilisha
Hapa ifm hali inakuwa inasikitisha sana maana nikianza na vifaa sahani tunafanya kusubiri kwenye misururu mirefu haya ukipata chakula inakuja ishu ya vijiko yani mnaanza kugombania mpaka basi
ukimaliza hapo kwenye ishu ya msosi wenyewe unakula wali maharage wakati umenunua wali nyama. Mchuzi hamna , mboga za majani hamna. Yani balaa
ifmso wamefuatilia ila urasimu. Nawasilisha