Mh.........labda ntajaribu lol
Utajaribu kula MAPUMBU?
Mh.........labda ntajaribu lol
Ha ha ha, ndio hiyo hiyo lolIle damu inaitwa kibhulanga....(nadhani huko Kaskazini ndo inaitwa kisusio)
Watoto wa sasa hawajui hata mti wa mahindi.teh teh teh...watu wa kileo tumezidi uthungu...kila kitu kinaonekana buchani tu.Hatusogei machinjioni