MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
tamu sana, tena huwa hazipikwi, ni kuchoma tu, lainiii kama mayai.
tamu sana, tena huwa hazipikwi, ni kuchoma tu, lainiii kama mayai.
teh teh teh...yana test kama mayai hayo.
Duuuh! Binadamu walafi!
Khaaa.......huu sasa ulafi jamani lol
Yanapendwa mnoEwaaaa....kule kwetu yanapendwa sana hususan yale ya mbuzi!
Kwa ambao si wafugaji hawawezi jua, ni kama mie navyomwogopa pweza hata kumtizama tuUmeona eeeh...watu wanakula supu ya pweza tu.
Yanapendwa mno
Afu wanawake hamna kula, yanachomwa na kuliwa huko huko wakati wanachinja na 'ndisani' na ile damu ya kukaanga, nimeisahau jina
Kwa ambao si wafugaji hawawezi jua, ni kama mie navyomwogopa pweza hata kumtizama tu
sweetlady...hayo ni matamu kuliko yale unayoyaona yananing'inia...have a test you will have a better story to tell
Yanapendwa mno
Afu wanawake hamna kula, yanachomwa na kuliwa huko huko wakati wanachinja na 'ndisani' na ile damu ya kukaanga, nimeisahau jina