Mkubwa na ndevu
Member
- Feb 10, 2023
- 40
- 27
Wanampiga jamaa kisa kalewa huku usiku wanaenda kufirwa. Mapuuzi kabisa. Kwanza quran haijakataza pombe.
Kama kuna kifungu quran imekataza pombe, mtuwekee hapa. Huyo Mungu anayewakataza pombe mkiea na miili ya nyama huku ahera kawahaidi mito ya pombe atakuwa mungu mwehu.
Umekatazwa kuzini ila ukioa inakua tendo la ndoa