Tena rais wao wa kwanza marehemu Leopold Cedar Sengor alikuwa ni mkristo na hata huyu wa sasa Macky Sall.ndugu nenda senegal waislamu ni 99% lakini wakristo wapo na amani kabisa
Tena rais wao wa kwanza marehemu Leopold Cedar Sengor alikuwa ni mkristo na hata huyu wa sasa Macky Sall.ndugu nenda senegal waislamu ni 99% lakini wakristo wapo na amani kabisa
Jehova ni Mungu wa kiyahudi,tafuteni Mungu wenuAllah na Jehova ni ngumu sana kukaa pamoja,lakini Allah ndio huwa anaungua vibaya Jehova akiwepo.
Ukifuatilia, kusoma na kutafiti jinsi uislamu ulivyoanzishwa hutashangaa kuona kwa nini waislamu wako hivyoUzi huu sio tuhuma au tetesi, ni uhalisia wenye shahidi / evidence za kutosha
Kwa lugha nyepesi, Ni kwanini nchi ikijaa wakristo huwa kuna uhuru wa kiimani kwa waislam lakini ikiwa kinyume kunakuwa hakuna tolerance kwa ukristo ?
Nchi inaweza kuwa majority wakristo lakini waislam wakapewa uhuru wa kiimani kuanzia kujenga misikiti bila figisu, kuweka spika za adhana, kuvaa hijab, kufunga barabara wakisali, n.k.
mifano tunaweza kuzitizama nchi jirani Ghana na Nigeria, kwa upande wa Ghana wakristo ni wengi imani za waislam, zinaheshimiwa lakini nchi jirani ya Nigeria waislam wapo 53% lakini kumekuwa na matukio ya kuukandamiza ukristo, pia hapa kwetu Tanzania Bara wakristo ni wengi zaidi huku imani za kiislam zikishimiwa lakini hapo jirani Zanzibar hali ni tofauti
Nchi zilizojaa uislam ni kawaida sana kusikia makanisa yamechomwa, yamebomolewa, n.k. wala sio jambo la kushangaza
Mfano ni hapo Zanzibar mwaka 2022 Kanisa pamoja na makazi ya Mchungaji wake, yalibomolewa kwa kisingizio cha hali ya hewa
View attachment 2909299
Hii ni juzi tu hapo jumamosi iliyopita kanisa la katoliki lilishambuliwa.
View attachment 2909578
Nchi hizi nyingi kikifika kipindi cha mfungo, huwa hakuna kula hadharani, ukikamatwa unaweza kufungwa, kupigwa, n.k. hakuna uhuru kabisa wa kiimani. Cha ajabu ni kwamba wanashindwa kufata sheria zilizoainishwa kwenye Quran kwamba mfungo ni wa watu maalum tu, sio kila mtu inabidi afunge,
Kwa Zanizbar mfungo wa Ramadhani ukikutwa unakula hadharani utapigwa na hata kufungwa rumande wiki kadhaa, Pichani ni wakristo wakipigwa baada ya kukutwa wanakula mchana huko Pemba.
View attachment 2909283
Biashara za pombe zinaminywa sana tena kwa maksudi kabisa, mfano Zanzibar wanaofungua Bar huwa wanafanyiwa figisu za kutosha, sheria ya nchi inakuruhusu lakini itapuuzwa
Huko Nigeria kuna maeneo yana mpaka askari wa kiislam, ukikutwa unauza bia ni tatizo, hapa wanazivunja vunja
View attachment 2909277
Eneo likijaa waislam kuna uwezekano mkubwa watataka watu wa eneo hilo hata wasio waislam wafate sheria za kiislam na ataekiuka wananona wana haki ya kumuadhibu,
Huyu kakutwa katulia anajinywea zake bia zake huko Zanzibar, wakaanza kumpiga bakora bila kujali kama imani yake inamruhusu kunywa,
View attachment 2909278
taasisi za elimu kama vyuo vya kikristo wala haviingilii uhuru wa wanafunzi wa kislam lakini kwa upande wa vyuo vya kiislam hali ni tofauti, mfano chuo cha kiislam cha Morogoro hairuhusiwi kwa mwanafunzi kutembea au kukaa wawili mwanamke na mwanaume hata kufanya discussion isipokuwa awepo mtu wa tatu, kuna video iliwahi kuvuja ikionyesha watu wazima wa chuo hicho wakidhibiwa kwa viboko.
View attachment 2910122
Nchi kadhaa zimepitisha sharia (sheria kwa mujibu wa uislam) zenye mahakama zake, inatakiwa wote mfuate sharia hata kama si muumini wa dini ya kiislam, Mfano nchi kama Malaysia, Ukiwa mwislam ukitaka kuhama dini inabidi utoe maelezo ya kina kwenye mahakama ya kiislam kisha usubiri uamuzi wao kama utakubaliwa
hivi unajua maana ya pombe? Unaelewa nini ukiambiwa kinywaji hiki ni pombe?
Fungua hiyo bandage kichwani... Joto Kali sana kichwa kipate hewa kisha ndo unijibu.....
Jehova ni Mungu wa dunia nzima tofauti na Allah mungu wa makureshi.Jehova ni Mungu wa kiyahudi,tafuteni Mungu wenu
Wakiristo 65% kwa sensa ipi!?..halafu wapi kwenye waislam wengi wakiristo wamenyanyaswa!?..Kuna makanisa Iran, Syria,Lebanon,Iraq,misri nk..huko ulaya hakuna wakiristo,walishaacha dini,wanafuata ulahidi,ndiyo maana kuoana jinsia moja hawana shida naloMkuu naomba tuhusike na maada ya mezani inayojikita kujua ni sababu gani zinapelekea kwamba nchi ikiwa na wakristo wengi kuzidi waislam bado waislam wanakuwa huru lakini ikiwa kinyume chake wakiristo wanaanza kuminywa,
Mfano tu kwa hapa Tanzania wakristo ni kama asilimia 65 laini tunaishi vizuri tu na waislam
hio ndio mada iliyopo mezani
Njia ni moja ukiona unakaa mtaa waislam wengi hama ukiona una mishe zanzibar hama ...usiende uarabuniUzi huu sio tuhuma au tetesi, ni uhalisia wenye shahidi / evidence za kutosha
Kwa lugha nyepesi, Ni kwanini nchi ikijaa wakristo huwa kuna uhuru wa kiimani kwa waislam lakini ikiwa kinyume kunakuwa hakuna tolerance kwa ukristo ?
Nchi inaweza kuwa majority wakristo lakini waislam wakapewa uhuru wa kiimani kuanzia kujenga misikiti bila figisu, kuweka spika za adhana, kuvaa hijab, kufunga barabara wakisali, n.k.
mifano tunaweza kuzitizama nchi jirani Ghana na Nigeria, kwa upande wa Ghana wakristo ni wengi imani za waislam, zinaheshimiwa lakini nchi jirani ya Nigeria waislam wapo 53% lakini kumekuwa na matukio ya kuukandamiza ukristo, pia hapa kwetu Tanzania Bara wakristo ni wengi zaidi huku imani za kiislam zikishimiwa lakini hapo jirani Zanzibar hali ni tofauti
Nchi zilizojaa uislam ni kawaida sana kusikia makanisa yamechomwa, yamebomolewa, n.k. wala sio jambo la kushangaza
Mfano ni hapo Zanzibar mwaka 2022 Kanisa pamoja na makazi ya Mchungaji wake, yalibomolewa kwa kisingizio cha hali ya hewa
View attachment 2909299
Hii ni juzi tu hapo jumamosi iliyopita kanisa la katoliki lilishambuliwa.
View attachment 2909578
Nchi hizi nyingi kikifika kipindi cha mfungo, huwa hakuna kula hadharani, ukikamatwa unaweza kufungwa, kupigwa, n.k. hakuna uhuru kabisa wa kiimani. Cha ajabu ni kwamba wanashindwa kufata sheria zilizoainishwa kwenye Quran kwamba mfungo ni wa watu maalum tu, sio kila mtu inabidi afunge,
Kwa Zanizbar mfungo wa Ramadhani ukikutwa unakula hadharani utapigwa na hata kufungwa rumande wiki kadhaa, Pichani ni wakristo wakipigwa baada ya kukutwa wanakula mchana huko Pemba.
View attachment 2909283
Biashara za pombe zinaminywa sana tena kwa maksudi kabisa, mfano Zanzibar wanaofungua Bar huwa wanafanyiwa figisu za kutosha, sheria ya nchi inakuruhusu lakini itapuuzwa
Huko Nigeria kuna maeneo yana mpaka askari wa kiislam, ukikutwa unauza bia ni tatizo, hapa wanazivunja vunja
View attachment 2909277
Eneo likijaa waislam kuna uwezekano mkubwa watataka watu wa eneo hilo hata wasio waislam wafate sheria za kiislam na ataekiuka wananona wana haki ya kumuadhibu,
Huyu kakutwa katulia anajinywea zake bia zake huko Zanzibar, wakaanza kumpiga bakora bila kujali kama imani yake inamruhusu kunywa,
View attachment 2909278
taasisi za elimu kama vyuo vya kikristo wala haviingilii uhuru wa wanafunzi wa kislam lakini kwa upande wa vyuo vya kiislam hali ni tofauti, mfano chuo cha kiislam cha Morogoro hairuhusiwi kwa mwanafunzi kutembea au kukaa wawili mwanamke na mwanaume hata kufanya discussion isipokuwa awepo mtu wa tatu, kuna video iliwahi kuvuja ikionyesha watu wazima wa chuo hicho wakidhibiwa kwa viboko.
View attachment 2910122
Nchi kadhaa zimepitisha sharia (sheria kwa mujibu wa uislam) zenye mahakama zake, inatakiwa wote mfuate sharia hata kama si muumini wa dini ya kiislam, Mfano nchi kama Malaysia, Ukiwa mwislam ukitaka kuhama dini inabidi utoe maelezo ya kina kwenye mahakama ya kiislam kisha usubiri uamuzi wao kama utakubaliwa
Jehova ni Mungu wa kiyahudi tafuteni Mungu wenuJehova ni Mungu wa dunia nzima tofauti na Allah mungu wa makureshi.
Allah ni mungu wa wakureshi, tafuteni Mungu wenuJehova ni Mungu wa kiyahudi,tafuteni Mungu wenu
Masjidi gani ulienda ukasikia wanaambiwa hivyo!?..nyi walokole mna nyege Sana za udini,utasema vurugu mnaziweza vileUkiwaona wametulia sehemu,kwenye wakristo wengi, jua wanapanga jambo Lao, nguvu yao IPO kwenye wingi,kijana wa ki Islam hujisikia shujaa akioa binti wa kikristo na kumbadilisha dini! Hili ni, takwa wanaambiwa huko Masjid, oeni ma binti wa kikristo muongeze wa Islam, tuwe wengi,
Kwa ufupi, islam mi huwa ona kama watu wenye hila vile.
Allah Mungu wa waislam,si mmesema wenyewe, wakiristo Mungu wenu yule msela aliyekua anamla maria magdalenaAllah ni mungu wa wakureshi, tafuteni Mungu wenu
Allah Mungu wa waislam,si mmesema wenyewe, wakiristo Mungu wenu yule msela aliyekua anamla maria magdalena
Ungewahi kwanza wewe kutibiwa mfuasi wa yule kichaa mudiUsisahau kuwa ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sana
Acha kudanganya watu bwana, lini hiyo sensa imefanywa. Waislam wengi wako mijini na asilimia kubwa ya watanzania bado wanaishi vijijini ambako waislam unaweza kuwatafuta kwa tochi.Source yako?
Tanzania mkithubutu kufanya sensa ya dini mtaonyesha wapi sura zenu enyi msiokua waislamu! Mbona mliikwepa sensa mlijua waislamu ni wengi zaidi ya UPAGANI sioI! Kwa tathmini ya haraka Waislamu ni wengi sio chini ya asilimia 70.
Dar👉The largest religion in Dar es Salaam is Islam, comprising around 70% of its total population.
Bagamoyo na pwani yote kwa ujumla
Lindi, Kilwa, mafia kote huko walikopita Uisilamu umesambaa, ukija jiji la tanga, singida, tabora, kigoma, bukoba, na hata kanda ya ziwa Uisilamu unazidi kung'ara kila kukicha.
Zanzibar 👉About 99 percent of the population in Zanzibar is Muslim.
Mikoa ambayo haina waislamu wengi labda ni Mbeya na Mara kidogo.
So, endeleeni tu kujipa moyo.
Nani auchukie uislamu?,uislamu umeleta maafa na majanga duniani ndio maana hata bin Salman ameanza kufuta Hadith za kigaidi nchini mwake.Ndio maana waislamu hawawezi kukaa na wapumbavu kama nyinyi
Mnauchukia sana uislamu,
Ukijaribu kuangalia comments za humu ndio utaona uhalisia
"Angola 'bans' Islam, Muslims, becomes first country to do so - India Today" Angola 'bans' Islam, Muslims, becomes first country to do soUkiwaona wametulia sehemu,kwenye wakristo wengi, jua wanapanga jambo Lao, nguvu yao IPO kwenye wingi,kijana wa ki Islam hujisikia shujaa akioa binti wa kikristo na kumbadilisha dini! Hili ni, takwa wanaambiwa huko Masjid, oeni ma binti wa kikristo muongeze wa Islam, tuwe wengi,
Kwa ufupi, islam mi huwa ona kama watu wenye hila vile.
Kumbe mnaweza vurugu imekuwaje gaza mnalia lia kila kukicha ndugu zetu katika imani?Masjidi gani ulienda ukasikia wanaambiwa hivyo!?..nyi walokole mna nyege Sana za udini,utasema vurugu mnaziweza vile
Ufilipino.Pamoja na kuwa sikusudii kubadilisha mada yako
Naomba unitajie Nchi walau 5 zenye Wakristo kwa asilimia 90 (hata sio hiyo 99% uliyo iliyotaja) kwani nikisema 99% unaweza ukaambulia sifuri
Tafuta Mungu, Jehova, Yahweh, hosanna ni Mungu wa waisrael