Can Islam coexist with non Muslims? Ni kawaida waislam kuwa huru nchi yenye wakristo 99%, kwanini wao wakiwa wengi huminya imani nyingine?

Kama chanzo cha makanisa Africa ni ukoloni je Na chanzo cha misikiti Africa ni nini ?
Dini Africa ilisambaa sio kwa lazima kama walivyofanya wakoloni hawakupi elimu mpaka uwe mkristo kwanza.

Pia jiulize misikiti mikongwe india na china imetokea wapi?

Jiulize kama Ukristo ulianzia mashariki ya kati inakuwaje unakosa domination kule tena unapotea ,nchi nyingi ukristo ni sumu..


Ukweli ni kwamba hiyo ni dini ya wazungu wnajatahidi kuonyesha wapo sawa na mafundisho ya yesu ila wapo tofauti kabisa
 
Dini Africa ilisambaa sio kwa lazima kama walivyofanya wakoloni hawakupi elimu mpaka uwe mkristo kwanza.

Pia jiulize misikiti mikongwe india na china imetokea wapi?

Jiulize kama Ukristo ulianzia mashariki ya kati inakuwaje unakosa domination kule tena unapotea ,nchi nyingi ukristo ni sumu..


Ukweli ni kwamba hiyo ni dini ya wazungu wnajatahidi kuonyesha wapo sawa na mafundisho ya yesu ila wapo tofauti kabisa

Maelezo marefu ila hujajibu swali nililokuuliza.

Kama chanzo cha makanisa Africa ni ukoloni je Na chanzo cha misikiti Africa ni nini ?

Jibu swali tujue kama misikiti ama uislam uliletwa africa na wakoloni ama sio wakoloni ?
 
Maelezo marefu ila hujajibu swali nililokuuliza.

Kama chanzo cha makanisa Africa ni ukoloni je Na chanzo cha misikiti Africa ni nini ?

Jibu swali tujue kama misikiti ama uislam uliletwa africa na wakoloni ama sio wakoloni ?

According to many historical sources, Islam came to Africa through Muslim refugees fleeing persecution in the Arabian peninsula.


Islam also came along the East African coast around the same time in the 8th century, as part of continuing dialogue between the people on the East coast and traders from the Persian Gulf and Oman.


Some sources say the first migration of Muslims was from Arabia to Abyssinia where they were accepted by a Christian king. Two years later, in 615 CE, the larger migration took place with well-known companions who stayed there until 629 CE.


The earliest concrete evidence of Islam and Muslims in eastern Africa is a mosque foundation in Lamu where gold, silver, and copper coins dated AD 830 were found during an excavation in 1984. The oldest intact building in eastern Africa is a functioning mosque at Kizimkazi in southern Zanzibar Island dated AD 1007. It also appears that Islam was common in the Indian Ocean by AD 1300.


When Ibn Batuta of Morocco visited the East African coastlands in 1332, all the way down to the present border between Mozambique and South Africa, most of the coastal settlements were Muslim, and Arabic was the common literary and commercial language is spoken all over the Indian Ocean – Batuta even worked as a Kadhi, a supreme Muslim jurist, in the Maldives’ Islands for one year using Arabic as his working language.
 
Uliziweka kwa ufupi ili kutwist maana haukuwa na nia njema. Tukiweka hapa aya za Qoran kwa ufupi itakuwa vichekesho
hayo ni mawazo yako na bado hujaleta hoja ya kupinga zile aya , bado zinasema Mungu haonekani , Yesu si Mungu
 
hayo ni mawazo yako na bado hujaleta hoja ya kupinga zile aya za kumfanya yesu ni mungu
Sitaki kuanzisha mada mpya ya kama Yesu ni Mungu kwenye thread ya mtu inayohoji kama nyie Waislam mnaweza kuishi na jamii nyingine. Kama unataka nikujibu hilo swali anzisha huo uzi. Nitafurahi kukujibu huko. Acha huu uzi ustick kwenye lengo lake

Tunawajua mnapenda sana kupanua magoli. Na mimi sitaenda unakotaka
 
Sitaki kuanzisha mada mpya ya kama Yesu ni Mungu kwenye thread ya mtu inayohoji kama nyie Waislam mnaweza kuishi na jamii nyingine. Kama unataka nikujibu hilo swali anzisha huo uzi. Nitafurahi kukujibu huko. Acha huu uzi ustick kwenye lengo lake

Tunawajua mnapenda sana kupanua magoli. Na mimi sitaenda unakotaka

Mbona umekuja kunijibu kuniambia nimetwist kama vile niliongeza neno langu , au nilianzisha uzi hapo ??
:p :p
 
Uli quote hiyo verse nusu. Mimi nikakuwekea yote. Ulikuwa na nia ovu
Nime quote nusu jee haikuthibitisha kuwa Yesu si Mungu ?? wewe uliye quote nzima ndiyo imemfanya Yesu kuwa ni mungu ?? hiyo nia yako nzuri iko wapi ??
 
Nilishaisoma na nikaona haina haja ya kuiweka nzima , au Yesu alikuwa akidanganya aliposema Mungu haonekani ??
Soma tena vizuri.
Yohana 6:46
"Si kwamba mtu amemwona Baba, ila yeye atokaye kwa Mungu; huyo ndiye aliyemwona Baba."

Hivi Muhamad alipowafundisha mseme hakuna Mungu ila Allah? Alikuwa muongo? Alimaanisha kweli hakuna mungu?
 
Soma tena vizuri.
Yohana 6:46
"Si kwamba mtu amemwona Baba, ila yeye atokaye kwa Mungu; huyo ndiye aliyemwona Baba."

Hivi Muhamad alipowafundisha mseme hakuna Mungu ila Allah? Alikuwa muongo? Alimaanisha kweli hakuna mungu?

ndiyo Yesu kaonekana hapo ndiye Mungu ??

Kwani wewe umetoka kwa nani ??
 
ndiyo Yesu kaonekana hapo ndiye Mungu ??

Kwani wewe umetoka kwa nani ??
Kwa wazazi wangu nimetoka. Na wazazi wangu nimewaona. Na sijawahi kumuona Mungu.
Yesu kasema mwenyewe ametoka kwa Mungu na hivyo amemuona Mungu. Kipi hakieleweki?
 
Kwa wazazi wangu nimetoka. Na wazazi wangu nimewaona. Na sijawahi kumuona Mungu.
Yesu kasema mwenyewe ametoka kwa Mungu na hivyo amemuona Mungu. Kipi hakieleweki?

Nilijuwa utasema umetoka kwa wazazi wako , na wao walijitoa wenyewe ??

kasema mwenyewe wapi ?? kiswahili kinakupiga chenga ?? isome tena hiyo aya

" ila yeye atokaye kwa Mungu; huyo ndiye aliyemwona Baba."

hajasema ila mimi niliyetoka kwa Mungu hapo

By the way ametoka wapi ulisema ??
 
Nilijuwa utasema umetoka kwa wazazi wako , na wao walijitoa wenyewe ??
Ulitaka niseme nimetoka wapi? Au wewe nawe umetoka kwa mungu kama Yesu?

kasema mwenyewe wapi ?? kiswahili kinakupiga chenga ?? isome tena hiyo aya
We ndiye kinakupiga chenga au hautaki kuelewa. Siwezi kukulaumu.

" ila yeye atokaye kwa Mungu; huyo ndiye aliyemwona Baba."

Sahihi kabisa. Yeye Yesu kasema qazi ametoka kwa Mungu. Ni mwanadamu gani mwingine amewahi kudai katoka kwa Mungu?
 
Back
Top Bottom