Campaign: "Tanzania imara" ndio imani na dini niipendayo, ukiniunga mkono wewe ni rafiki mwema

Status
Not open for further replies.

Kyamkwikwi

JF-Expert Member
Oct 28, 2012
441
146
Hata kama mtu hampendi Dr. W. Slaa lakini nafikiri amefungua ukuras mpya wa kuijenga Tanzania iliyoharibiwa. Naomba tumuunge mkono wote kutokomeza wavuruga amani kwa siasa nyepesi za udini na uimani. Kuanzia sasa tuwazomee wote hawa wenye kuchumia matumbo kwa kuzitaka kafara damu za Watanzania - kuharibu ustawi wa watoto na wajukuu wetu. Mimi ni mfuasi wa dini na Imani ya "TANZANIA IMARA". Kinyume na hapo nitakuzomea hiloooooooooooooooooohilooooooooooohiloooooooooooo lijiiiingaaaaaaaa hiloooooooooo halijui misingi ya dini na imani ni nini......bila kujali uko CDM, CUF, NCCR, CCM, DP n.k. NITAKUZOMEA TU SAA ZOTE.

Naipenda dini na imani yangu nzuri yenye kuelekeza AMANI na USITAWI wa Jamii bora - "TANZANIA IMARA".
___________________________________________________________


icon1.png
Re: Annur:vurugu za waislam na wakiristo geita. Kiongozi wa juu chadema chato akamatwa
quote_icon.png
By kyamkwikwi
wilbrod slaa


uchonganishi kwa kutumia dini ni mbinu chafu na ya mwisho ya utawala unaotapatapa kwa kushindwa kutekeleza mambo mengine ya msingi zaidi kwa wananchi wake.

Wananchi lazima kutambua hilo na kukumbuka kwamba umaskini na ukosefu wa mahitaji ya msingi si matokeo ya tofauti za dini au makabila bali utawala mbovu.

Huyo ndiye adui wa taifa letu na ndiye wa kwanza tunayetakiwa kukamilisha harakati za kumuondoa zinazokaribia kushinda.



quote_icon.png
By Dar hadi moro
yanatoka mdomoni au myoyoni mwako? Kama moyoni siwezi kuamini hasa ukiwa wewe umasimama kwa kanisa dhidi ya uislam



"Duu!! Kweli ukikariri jambo kuelewa kunakuwa pembeni kabisa, yaani mtu anajilazimisha kukataa maneno ya hekima na busara ili mradi tu amesikia propabaganda na kuziamini na kuzishikilia - mtu unakubali kushikilia misimamo fulani ya kukuangamiza wewe, jirani, rafiki, shemeji, mjomba, mtoto na bado unaona uko sawa, unajiona eti ni mtetezi wa IMANI fulani. Mimi sitetei imani ya mtu hapa ila ustawi wa jamii iliyostaarabika, na kama nitaonekana natetea imani basi IMANI hiyo ni ya DINI inayoitwa TANZANIA, full stop. Namkubali Dr. W. Slaa si kwa imani au dini yake bali kwa umahiri na umakini wake unaoshawishi akili na ufahamu wangu kuwa ni kiongozi anayefaa kuivusha Tanzania katika mapinduzi ya kimaendeleo, si lazima mtazamo huo uwe sawa kwa wote. Lakini tuache kuwatazama watu kwa imani na dini zao bali kwa uwezo wao na misimamo waliyo nayo kama wao kimaendeleo - huko ndiko kujitambua na kujisimamia kama binadamu uliyekamilika. Imani na dini zetu zenye misingi inayotugawa, kupigana na kuuana zina mafunzo gani - nategemea mkristo au mwislamu au yeyote mwenye imani hayakatae hayo badala ya kuwa ndo mahubiri na hoja za mihadhara na sisi kwa uji.g.a tu tuko tunawashangilia na kuwaona watu wa hivyo eti ndo mahiri.

Jamani Watanzania ebu tubadilike tukiambiwa propaganda fulani basi tujaribu na sisi kutumia akili zetu kutafiti sio tunabeba mbereko....!!!"
 
Kama angalau tungewapata Watanzania mahiri 50 tu wenye fikra pevu kama huyu mzee, hii nchi ingekuwa mbali sana na hakika Elimu, Afya, Miundombinu, Nishati, Rasilimali n.k. vingeimarika sana na kuwastawisha Watanzania lakini wengi wako kwenye siasa za maji taka na kwa bahati mbaya sana Watanzania wengi ni bendera fuata upepo ndo wamezibeba siasa uchwara vichwani mwao wawe kwenye chai, kahawa, kwenye sehemu za kujadili mambo ya kimaendeleo kama humu JF lakini wengi akili imeamia huko hata rasilimali zinazoibiwa hawana habari nazo. Elimu duni, afya duni, kila kitu hovyo lakini watu eti wanapigana na kuuana. Sijui huyo Mungu mnayemwabudu ni Mungu yupi maana inabidi awaandalie mapanga na mikuki na virungu huko peponi ili mkamalizane vizuri - eti mnahubiri mnaenda peponi. Hivi niwaulize bila Afya ya maana, Elimu imara, Lishe bora, maendeleo ya maana katika nyanja mbali mbali mnafikiri hata hizo imani na dini zenu zitakuwa na ustawi wowote wa maana zaidi ya kunyanganyana mikate na swadaka tu huko makanisani na misikitini mwenu. Kwa msigombane kwa mambo ya maana angalau kila mtu akajua ee kweli watu wana uchungu na maendeleo.
 
Dar hadi Moro naomba nikuulize swali jepesi sana,Je,unaweza kujua mtu afikiriacho au kilichopo ndani ya moyo wake?Usimtuhumu mtu kulingana na dini yake jiangalie vidole vingapi vinaelekea kwako wakati unamnyooshea Dr.Slaa kidole.Acha udini anza sasa,safisha ubongo wako,pigana vita ya kukosa elimu na maendeleo.Acha udini ndugu yangu haueleweki.Unaudhi.
 
mimi nailaani selikali ya kichovu kwa atua iliyochukuwa kwenda mwanza kujadili nani achinje nani asichinje ni serikali isiyojiweza inayonadi haina dini kisha inaenda kwenye midaalo ya nani achinje nani asichinje midaalo ya kuwakwamua watatnzania kutoka kwa maadui zetu wanne ujinga, maradhi, umasikini ,na ufisadi; wanaikimbia midaalo ya kuchinja wanapeleka masabuli yao shem on them
 
Hata kama mtu hampendi Dr. W. Slaa lakini nafikiri amefungua ukuras mpya wa kuijenga Tanzania iliyoharibiwa. Naomba tumuunge mkono wote kutokomeza wavuruga amani kwa siasa nyepesi za udini na uimani. Kuanzia sasa tuwazomee wote hawa wenye kuchumia matumbo kwa kuzitaka kafara damu za Watanzania - kuharibu ustawi wa watoto na wajukuu wetu. Mimi ni mfuasi wa dini na Imani ya "TANZANIA IMARA". Kinyume na hapo nitakuzomea hiloooooooooooooooooohilooooooooooohiloooooooooooo lijiiiingaaaaaaaa hiloooooooooo halijui misingi ya dini na imani ni nini......bila kujali uko CDM, CUF, NCCR, CCM, DP n.k. NITAKUZOMEA TU SAA ZOTE.

Naipenda dini na imani yangu nzuri yenye kuelekeza AMANI na USITAWI wa Jamii bora - "TANZANIA IMARA".
___________________________________________________________


icon1.png
Re: Annur:vurugu za waislam na wakiristo geita. Kiongozi wa juu chadema chato akamatwa
quote_icon.png
By kyamkwikwi
wilbrod slaa


uchonganishi kwa kutumia dini ni mbinu chafu na ya mwisho ya utawala unaotapatapa kwa kushindwa kutekeleza mambo mengine ya msingi zaidi kwa wananchi wake.

Wananchi lazima kutambua hilo na kukumbuka kwamba umaskini na ukosefu wa mahitaji ya msingi si matokeo ya tofauti za dini au makabila bali utawala mbovu.

Huyo ndiye adui wa taifa letu na ndiye wa kwanza tunayetakiwa kukamilisha harakati za kumuondoa zinazokaribia kushinda.



quote_icon.png
By Dar hadi moro
yanatoka mdomoni au myoyoni mwako? Kama moyoni siwezi kuamini hasa ukiwa wewe umasimama kwa kanisa dhidi ya uislam



"Duu!! Kweli ukikariri jambo kuelewa kunakuwa pembeni kabisa, yaani mtu anajilazimisha kukataa maneno ya hekima na busara ili mradi tu amesikia propabaganda na kuziamini na kuzishikilia - mtu unakubali kushikilia misimamo fulani ya kukuangamiza wewe, jirani, rafiki, shemeji, mjomba, mtoto na bado unaona uko sawa, unajiona eti ni mtetezi wa IMANI fulani. Mimi sitetei imani ya mtu hapa ila ustawi wa jamii iliyostaarabika, na kama nitaonekana natetea imani basi IMANI hiyo ni ya DINI inayoitwa TANZANIA, full stop. Namkubali Dr. W. Slaa si kwa imani au dini yake bali kwa umahiri na umakini wake unaoshawishi akili na ufahamu wangu kuwa ni kiongozi anayefaa kuivusha Tanzania katika mapinduzi ya kimaendeleo, si lazima mtazamo huo uwe sawa kwa wote. Lakini tuache kuwatazama watu kwa imani na dini zao bali kwa uwezo wao na misimamo waliyo nayo kama wao kimaendeleo - huko ndiko kujitambua na kujisimamia kama binadamu uliyekamilika. Imani na dini zetu zenye misingi inayotugawa, kupigana na kuuana zina mafunzo gani - nategemea mkristo au mwislamu au yeyote mwenye imani hayakatae hayo badala ya kuwa ndo mahubiri na hoja za mihadhara na sisi kwa uji.g.a tu tuko tunawashangilia na kuwaona watu wa hivyo eti ndo mahiri.

Jamani Watanzania ebu tubadilike tukiambiwa propaganda fulani basi tujaribu na sisi kutumia akili zetu kutafiti sio tunabeba mbereko....!!!"

Kaka utatoka mapovu mengi kwa kumtetea Padri Slaa,lakini uwezi kumsafisha na Udini.Mwaka 2010 Maaskofu walitoa walaka maalumu wa kumpigia kampeni Padri Slaa,je huo sio udini?Katika mahojiona yake na gazeti la Raia mwema la wiki hii Padri Slaa mwenyewe amekiri kwamba yeye ni kiongozi wa Kanisa katoliki na bado anatoa komonio na sekarament na kukubaliwa na mungu yesu kwa sababu yeye bado ni kiongozi wa kiroho wa kanisa hilo.

Padri Slaa ni kiongoziwa kanisa hafai kuwa kiongozi katika taifa lenye mchanganyiko wa watu wenye Imani mbalimbali,tumechoka kusikia kelele za udini hapa tz hatutaka viongozi wenye historia kama ya Padri Slaa au shekhe yoyote yule.

Watu wenye historia za kidini ni rahisi san kuliingiza taifa katika machafuko,uwezi kufuta hisia za mwanadamu za udini hata ufanye nini,tena watu waliolelewa na kanisa kama Padri Slaa ndio kabisa.

Tumeona hapa Nyerere amalaumiwa na waislamu kuwapendelea wakristo,Mwinyi amelaumiwa na wakristo kuwapendelea waislamu,Mkapa amelaumiwa na waislamu kuwapendelea wakristo,na sasa Kikwete analaumiwa na wakristo kuwapendelea waislamu,sasa naimbie pale Padri au shekhe atakapokuwa raisi hali itakuwaje?

Udini upo hapa tz tokea tupate uhuru,kama taifa tuache porojo za kupinga ukweli na badala yake tuangalie namna ya kumaliza tatizo kabla hali haijakuwa mbaya zaidi.

Padri Slaa hafai kuwa kiongozi wa Chama wala Nchi na badala yake arudi kanisani akaongoze kondoo wa bwana waliopotea,hatutaki machafuko zaidi hapa,haya yaliyopo yanatosha jamani,ebu tujionee huruma kidogo
 
Asante kwa hoja nzuri japo kidogo una jaziba kweli kweli.
Ila nashindwa kuelewa unachotaka kueleza ni nini?? Kwamba mtu akiwa skhehe, askofu, padri, mchungaji, Imam n.k. ndo anakuwa na hisia za udini..?? Sikuwaona mashehe, wachungaji, mapadri n.k. wakipigana na kuuana huko buseresere, pia sijawaona wakimpa mtu panga au rungu akapige mwingine. Shehe, padri, askofu hawa ni viongozi wa dini si lazima wawe na udini kwa kuitwa vyeo hivyo. Wewe hapo au mimi tunaweza kuwa na udini bila hata ya kuwa na hivyo vyeo...tafakari vizuri. Na je hauoni kuwa wewe hapo tayari umeathiriwa na udini kwa kiasi kikubwa? Ok, tuseme Dr. Slaa ni mdini, je nini kinakufanya uyapinge maoni yake aliyotoa? Alichokisema, niambie kina kasoro gani ambayo inakukwaza kiasi cha kutokukubali kuunga mkona angalau alichokisema tu kwa muktadha wa maudhui yake?? Sasa kati yako wewe na yeye nani mwenye udini...? TAFAKARI.

Pili unajichangananya, Nyerere alilaumiwa (unasema) - alikuwa askofu..? Mwinyi - alikuwa shehe? Mkapa - alikuwa mchungaji? Kikwete - ni shehe? jiulize sasa ni kwa nini kuna huu upuuzi wa propaganda vichwani mwenu? Na kwa nini wewe unafikiri kuwa na udini maanake ni shehe, askofu na padri n.k. Unaweza ukawa na kiongozi na hana hivyo vyeo na bado akawa mshabiki wa mambo ya kidinidini tu au hata asiwe na dini (mpagani) akaipendelea dini fulani kwa sababu inamuunga mkono au anaona ana maslahi nayo.

Kwa hiyo Dr. Silaa kusema yeye ni Padri hilo ndo wewe unaona linamfanya mtu kuwa mdini? Je, wewe ulikuwa hujui siku zote kwamba Dr. Slaa ni Padri na ni Mkatoliki mpaka uliposoma Raia Mwema?

Je kwa mtazamo wako huo hauoni kuwa umepotoka sana, maana utafika mahala uone kuwa kiongozi Mkristo atakuwa mdini wa ukristo kwa hiyo asiwe kiongozi wa nchi, na mtu ambaye ni mwislamu kwa mjibu wako utasema hafai kuwa kiongozi kwa sababu atakuwa na udini wa kiislam, na mpagani (asiye na dini) utasema aka huyu atakuja afute dini zetu au kuzipiga marufuku kwa sababu na yeye atakuja na udini wa upagani n.k. Au unataka malaika ndo waje sasa wawe viongozi lakini ninavyokusoma na wao aidha utasema huyo ni malaika wa kikristo au wa kiislam. Udini unao wewe, na hilo lazima ulitabue ndipo utakuwa na mawazo mapya yenye tija vinginevyo utaendelea kuwaza huo upotovu tu badala ya mambo ya msingi.


Kaka utatoka mapovu mengi kwa kumtetea Padri Slaa,lakini uwezi kumsafisha na Udini.Mwaka 2010 Maaskofu walitoa walaka maalumu wa kumpigia kampeni Padri Slaa,je huo sio udini?Katika mahojiona yake na gazeti la Raia mwema la wiki hii Padri Slaa mwenyewe amekiri kwamba yeye ni kiongozi wa Kanisa katoliki na bado anatoa komonio na sekarament na kukubaliwa na mungu yesu kwa sababu yeye bado ni kiongozi wa kiroho wa kanisa hilo.

Padri Slaa ni kiongoziwa kanisa hafai kuwa kiongozi katika taifa lenye mchanganyiko wa watu wenye Imani mbalimbali,tumechoka kusikia kelele za udini hapa tz hatutaka viongozi wenye historia kama ya Padri Slaa au shekhe yoyote yule.

Watu wenye historia za kidini ni rahisi san kuliingiza taifa katika machafuko,uwezi kufuta hisia za mwanadamu za udini hata ufanye nini,tena watu waliolelewa na kanisa kama Padri Slaa ndio kabisa.

Tumeona hapa Nyerere amalaumiwa na waislamu kuwapendelea wakristo,Mwinyi amelaumiwa na wakristo kuwapendelea waislamu,Mkapa amelaumiwa na waislamu kuwapendelea wakristo,na sasa Kikwete analaumiwa na wakristo kuwapendelea waislamu,sasa naimbie pale Padri au shekhe atakapokuwa raisi hali itakuwaje?

Udini upo hapa tz tokea tupate uhuru,kama taifa tuache porojo za kupinga ukweli na badala yake tuangalie namna ya kumaliza tatizo kabla hali haijakuwa mbaya zaidi.

Padri Slaa hafai kuwa kiongozi wa Chama wala Nchi na badala yake arudi kanisani akaongoze kondoo wa bwana waliopotea,hatutaki machafuko zaidi hapa,haya yaliyopo yanatosha jamani,ebu tujionee huruma kidogo
 
Asante kwa hoja nzuri japo kidogo una jaziba kweli kweli.
Ila nashindwa kuelewa unachotaka kueleza ni nini?? Kwamba mtu akiwa skhehe, askofu, padri, mchungaji, Imam n.k. ndo anakuwa na hisia za udini..?? Sikuwaona mashehe, wachungaji, mapadri n.k. wakipigana na kuuana huko buseresere, pia sijawaona wakimpa mtu panga au rungu akapige mwingine. Shehe, padri, askofu hawa ni viongozi wa dini si lazima wawe na udini kwa kuitwa vyeo hivyo. Wewe hapo au mimi tunaweza kuwa na udini bila hata ya kuwa na hivyo vyeo...tafakari vizuri. Na je hauoni kuwa wewe hapo tayari umeathiriwa na udini kwa kiasi kikubwa? Ok, tuseme Dr. Slaa ni mdini, je nini kinakufanya uyapinge maoni yake aliyotoa? Alichokisema, niambie kina kasoro gani ambayo inakukwaza kiasi cha kutokukubali kuunga mkona angalau alichokisema tu kwa muktadha wa maudhui yake?? Sasa kati yako wewe na yeye nani mwenye udini...? TAFAKARI.

Pili unajichangananya, Nyerere alilaumiwa (unasema) - alikuwa askofu..? Mwinyi - alikuwa shehe? Mkapa - alikuwa mchungaji? Kikwete - ni shehe? jiulize sasa ni kwa nini kuna huu upuuzi wa propaganda vichwani mwenu? Na kwa nini wewe unafikiri kuwa na udini maanake ni shehe, askofu na padri n.k. Unaweza ukawa na kiongozi na hana hivyo vyeo na bado akawa mshabiki wa mambo ya kidinidini tu au hata asiwe na dini (mpagani) akaipendelea dini fulani kwa sababu inamuunga mkono au anaona ana maslahi nayo.

Kwa hiyo Dr. Silaa kusema yeye ni Padri hilo ndo wewe unaona linamfanya mtu kuwa mdini? Je, wewe ulikuwa hujui siku zote kwamba Dr. Slaa ni Padri na ni Mkatoliki mpaka uliposoma Raia Mwema?

Je kwa mtazamo wako huo hauoni kuwa umepotoka sana, maana utafika mahala uone kuwa kiongozi Mkristo atakuwa mdini wa ukristo kwa hiyo asiwe kiongozi wa nchi, na mtu ambaye ni mwislamu kwa mjibu wako utasema hafai kuwa kiongozi kwa sababu atakuwa na udini wa kiislam, na mpagani (asiye na dini) utasema aka huyu atakuja afute dini zetu au kuzipiga marufuku kwa sababu na yeye atakuja na udini wa upagani n.k. Au unataka malaika ndo waje sasa wawe viongozi lakini ninavyokusoma na wao aidha utasema huyo ni malaika wa kikristo au wa kiislam. Udini unao wewe, na hilo lazima ulitabue ndipo utakuwa na mawazo mapya yenye tija vinginevyo utaendelea kuwaza huo upotovu tu badala ya mambo ya msingi.

Acha ushabiki wako kwa Padri Slaa na uiache akili yako kuwa huru kufikiri.Ikiwa Maraisi wanne waliongoza nchi hawakuwa maaskofu wal mashekhe wamelaumiwa kwa udini,vipi siku atakapokuwa raisi Padri aliyelelewa na kanisa na kuwa kiongozi wa juu wa kanisa hisia za watu wa dini nyingine zitakuwaje?

Nasema hatuwezi kuondoa hisia zetu za dini hata tufanye nini,hii ndio nature ya mwanadamu,na udini katika nchi upo tokea tupate uhuru kupinga ni unafiki na kuzidanganya nafsi zetu,sote tupo maofisini na hali tunaziona.

Nasema taifa hili halifai kuongozwa na mtu yoyote yule mwenye historia kama ya Padri Slaa,kama sisi ni wabishi na tujaribu kumuingiza huyo Padri Slaa ikulu tuone mambo yatakuwaje.Sasa hivi tunalalamikia hali ya udini katika taifa letu basi akiingia huyu Padri Slaa hali atakuwa mbaya zaidi mungu atuepushie mbali na mabalaa tunayiyataka wenyewe
 
Acha ushabiki wako kwa Padri Slaa na uiache akili yako kuwa huru kufikiri.Ikiwa Maraisi wanne waliongoza nchi hawakuwa maaskofu wal mashekhe wamelaumiwa kwa udini,vipi siku atakapokuwa raisi Padri aliyelelewa na kanisa na kuwa kiongozi wa juu wa kanisa hisia za watu wa dini nyingine zitakuwaje?

Nasema hatuwezi kuondoa hisia zetu za dini hata tufanye nini,hii ndio nature ya mwanadamu,na udini katika nchi upo tokea tupate uhuru kupinga ni unafiki na kuzidanganya nafsi zetu,sote tupo maofisini na hali tunaziona.

Nasema taifa hili halifai kuongozwa na mtu yoyote yule mwenye historia kama ya Padri Slaa,kama sisi ni wabishi na tujaribu kumuingiza huyo Padri Slaa ikulu tuone mambo yatakuwaje.Sasa hivi tunalalamikia hali ya udini katika taifa letu basi akiingia huyu Padri Slaa hali atakuwa mbaya zaidi mungu atuepushie mbali na mabalaa tunayiyataka wenyewe

Mzee, Uko huru kufikiri...?? Don't think.
Kama haujanielewa hautanielewa ....... tatizo ulilo nalo ni kubwa mno kwa sababu nimengudua unaenda kwa hisia za dini na mimi naenda kwa tafakuri ya hoja ..... hapo ni ngumu kunielewa.....hasa pale ambapo hisia supersedes akili ya mtu - ndo ghafula mtu uamua kujininginiza kwenye kitanzi, katika namna hiyo ni ngumu kujadili naye jambo la maana kwani hisia hazithibitiwa externally.

Kaa na hisia Mzee....!! Bye.
 
Kaka utatoka mapovu mengi kwa kumtetea Padri Slaa,lakini uwezi kumsafisha na Udini.Mwaka 2010 Maaskofu walitoa walaka maalumu wa kumpigia kampeni Padri Slaa,je huo sio udini?Katika mahojiona yake na gazeti la Raia mwema la wiki hii Padri Slaa mwenyewe amekiri kwamba yeye ni kiongozi wa Kanisa katoliki na bado anatoa komonio na sekarament na kukubaliwa na mungu yesu kwa sababu yeye bado ni kiongozi wa kiroho wa kanisa hilo.

Padri Slaa ni kiongoziwa kanisa hafai kuwa kiongozi katika taifa lenye mchanganyiko wa watu wenye Imani mbalimbali,tumechoka kusikia kelele za udini hapa tz hatutaka viongozi wenye historia kama ya Padri Slaa au shekhe yoyote yule.

Watu wenye historia za kidini ni rahisi san kuliingiza taifa katika machafuko,uwezi kufuta hisia za mwanadamu za udini hata ufanye nini,tena watu waliolelewa na kanisa kama Padri Slaa ndio kabisa.

Tumeona hapa Nyerere amalaumiwa na waislamu kuwapendelea wakristo,Mwinyi amelaumiwa na wakristo kuwapendelea waislamu,Mkapa amelaumiwa na waislamu kuwapendelea wakristo,na sasa Kikwete analaumiwa na wakristo kuwapendelea waislamu,sasa naimbie pale Padri au shekhe atakapokuwa raisi hali itakuwaje?

Udini upo hapa tz tokea tupate uhuru,kama taifa tuache porojo za kupinga ukweli na badala yake tuangalie namna ya kumaliza tatizo kabla hali haijakuwa mbaya zaidi.

Padri Slaa hafai kuwa kiongozi wa Chama wala Nchi na badala yake arudi kanisani akaongoze kondoo wa bwana waliopotea,hatutaki machafuko zaidi hapa,haya yaliyopo yanatosha jamani,ebu tujionee huruma kidogo

Tanzania kama nchi serikali yake haina dini isipokuwa watu wake wapo na dini aidha mkristo,mwislamu au mpagani,viongozi watakaoongoza serikali watatoka kwenye dini hizo tatu,kwa nn ww umdiscolify dr.slaa?tunabaki kuwa ni propaganda za kuwachonganisha watanzania hatuzitaki.Naomba nikozomee hiloo!hiloo!
 
Mzee, Uko huru kufikiri...?? Don't think.
Kama haujanielewa hautanielewa ....... tatizo ulilo nalo ni kubwa mno kwa sababu nimengudua unaenda kwa hisia za dini na mimi naenda kwa tafakuri ya hoja ..... hapo ni ngumu kunielewa.....hasa pale ambapo hisia supersedes akili ya mtu - ndo ghafula mtu uamua kujininginiza kwenye kitanzi, katika namna hiyo ni ngumu kujadili naye jambo la maana kwani hisia hazithibitiwa externally.

Kaa na hisia Mzee....!! Bye.
Ina maana CHADEMA hakuna mtu mwingine mwenye uwezo wa kusimamia kiti cha uraisi na ukatibu mkuu isipokuwa ni Padri Slaa?kama ni hivyo basiCDM ni porokia ya kanisa katoliki,na kama yupo kwanini asipewe huyo na kuachana na mtu mwenye historia za kidini kama Padri Slaa?

CDM in chama imara lakini hili lazima lilekebishwe,na mbegu za ukanda ziishe kabisa ili kiwe chama cha kitaifa.Vinginevyo tusubiri mabalaa makubwa zaidi huko mbele,maana kanisa katoliki na wachaga waliosoma zaidi katika nchi hii wakihamua kumuingiza ikulu huyu Padri slaa wanaweza,lakini lazima tuangalie outcome itakuwa nini,tukijfanya hatuna masikio na lazima malengo yetu yatimie basi na tusubiri kuuwana huko mbele,nyinyi leteni ushabiki wenu tu bila ya kuangalia hali halisi ya nchi hii
 
Tanzania kama nchi serikali yake haina dini isipokuwa watu wake wapo na dini aidha mkristo,mwislamu au mpagani,viongozi watakaoongoza serikali watatoka kwenye dini hizo tatu,kwa nn ww umdiscolify dr.slaa?tunabaki kuwa ni propaganda za kuwachonganisha watanzania hatuzitaki.Naomba nikozomee hiloo!hiloo!

Tuongozwe na waumini wa kawaida tu wa dini,sio viongozi wakubwa wa kidini kama Padri Slaa,acheni kucheza mchezo wa kitoto ndani ya nchi hii.
Nchi hii ni ya kwetu sote sio ya kanisa katoliki.Wawe viongozi wakatoliki wa kawaida,haiwezekani mtu awe kiongozi mkubwa wa kanisa kisha aje kuongoza nchi.hii ni hatari tunaitaka wenyewe na tusubiri tu maana wenzetu mmejaaliwa kibri,kejeli na dharau zidi ya wengine,mnajiona nyinyi ni vipanga na wengine ni vilaza hawawezi kufanya lolote ndini ya nchi hii.
 
What a c.rap....!!

Na mimi ngoja nikuzomee kwanza, Hiloooooo...!! Hilooooo......! Halijitambui hiloooooo....!!

Kwani umeambiwa Ikulu ni Parokiani, CDM imeundwa na wanachama makini wenye dini na imani zao na wasio na dini pia wote ni wanachama au wafuasi wa CDM, hoja yao kuu ni ujenzi wa Taifa makini na mapinduzi ya kimaendeleo sio Siasa za sijui kilimo kwanza, sijui mapinduzi ya kijani, mara njano mwishowe itakuwa kijivu.

Kuwa na mtu mwingine sio hoja, huyo mtu mwingine kwa nini asiwe yeye...?? Leta hoja ya msingi ueleweke acha hisia zitakuua, ona sasa unawaza kufa na kuua - tatizo la kuishi kwa hisia hilo, mtu akipiga mwayo tu unakuwa na hisia kakucheka. Angalia usije ukafa kwa kiholo wakati haujafika hata huko mbele unapotaka kuona watu wanauana, hivi umeingiliwa nini mbona kama hauko katika hali yako ya ubinadamu, kama umekata tamaa vile, tatizo nini.

Ina maana CHADEMA hakuna mtu mwingine mwenye uwezo wa kusimamia kiti cha uraisi na ukatibu mkuu isipokuwa ni Padri Slaa?kama ni hivyo basiCDM ni porokia ya kanisa katoliki,na kama yupo kwanini asipewe huyo na kuachana na mtu mwenye historia za kidini kama Padri Slaa?

CDM in chama imara lakini hili lazima lilekebishwe,na mbegu za ukanda ziishe kabisa ili kiwe chama cha kitaifa.Vinginevyo tusubiri mabalaa makubwa zaidi huko mbele,maana kanisa katoliki na wachaga waliosoma zaidi katika nchi hii wakihamua kumuingiza ikulu huyu Padri slaa wanaweza,lakini lazima tuangalie outcome itakuwa nini,tukijfanya hatuna masikio na lazima malengo yetu yatimie basi na tusubiri kuuwana huko mbele,nyinyi leteni ushabiki wenu tu bila ya kuangalia hali halisi ya nchi hii
 
What a c.rap....!!

Na mimi ngoja nikuzomee kwanza, Hiloooooo...!! Hilooooo......! Halijitambui hiloooooo....!!

Kwani umeambiwa Ikulu ni Parokiani, CDM imeundwa na wanachama makini wenye dini na imani zao na wasio na dini pia wote ni wanachama au wafuasi wa CDM, hoja yao kuu ni ujenzi wa Taifa makini na mapinduzi ya kimaendeleo sio Siasa za sijui kilimo kwanza, sijui mapinduzi ya kijani, mara njano mwishowe itakuwa kijivu.

Kuwa na mtu mwingine sio hoja, huyo mtu mwingine kwa nini asiwe yeye...?? Leta hoja ya msingi ueleweke acha hisia zitakuua, ona sasa unawaza kufa na kuua - tatizo la kuishi kwa hisia hilo, mtu akipiga mwayo tu unakuwa na hisia kakucheka. Angalia usije ukafa kwa kiholo wakati haujafika hata huko mbele unapotaka kuona watu wanauana, hivi umeingiliwa nini mbona kama hauko katika hali yako ya ubinadamu, kama umekata tamaa vile, tatizo nini.

Neno kujitambua ni flexible,acha wewe unione sijitambui,nami pia nakuona wewe hujitambui ndio maana unashabikia Padri awe raisi wa nchi hii bila kujali madhala yatokanayo na huo ushabiki wako.

Unaweza ukajona una fikira pevu kumbe huna lolote ni mshabiki tu wa kundi lako,wewe ni mnafiki na unajua unachokifanya,wajinga wataamini pumba zako,lakini wenye akili timamu wanajua huu ni mchezo mchafu kuwai kutokea katika nchi hii.

Ni kweli mimi ni mkata tamaa wa hizo mbinu chafu za kanisa katoliki,na muogope mtu aliyekata tamaa
 
Nashukuru kwa kuendelea kuchangia mawazo yenu, lakini naomba tuzingatie mada kuu - Mtazamo wa kimawazo wa Dr. W. Slaa kwa Watanzania kuhusu chokochoko za siasa za udini.

Mpaka leo hii Dr. Slaa bado hajathibitishwa kama mgombea urais wa CDM, pamoja na kwamba anazo sifa za kuwa mgombea na kuwa urais wa nchi na katiba ya nchi inampa haki hiyo - hatuwezi kumdhulumu hiyo haki na pia yuko hata Mchungaji mtikila amewahi kugombea nfasi ya urais na hakuna tatizo kwa sababu katiba inaruhusu, tuna viongozi wa dini wachungaji, mashehe ni wabunge wala hilo halina tatizo wanaruhusiwa hata Dr. Slaa amewahi kuwa mbunge mzuri tu na wala Jimbo lake halijawahi kuwa na matatizo ya udini au kuitwa parokia fulani kwa hiyo nayafafanua haya ili kuwekana sawa na kuruhusu mjadala mzuri kuendelea ukilenga hoja ya msingi inayotokana na msimamo wa kimaudhui ya kauli yake Dr. W. Slaa kwa Watanzania kama ilivyonukuliwa hapo chini. Je, ni vibaya kuiunga mkono hii kauli kama Mtanzania?? Nafikiri kila Mtanzania mzalendo atakubali kwamba hii ni busara na hekima ya hali ya juu kupata kusikia kutoka kwa viongozi wetu tulio nao, mimi naiunga mkono asilimia mia na nitaiedeleza na kuienzi siku zote.

quote_icon.png
By kyamkwikwi
wilbrod slaa


uchonganishi kwa kutumia dini ni mbinu chafu na ya mwisho ya utawala unaotapatapa kwa kushindwa kutekeleza mambo mengine ya msingi zaidi kwa wananchi wake.

Wananchi lazima kutambua hilo na kukumbuka kwamba umaskini na ukosefu wa mahitaji ya msingi si matokeo ya tofauti za dini au makabila bali utawala mbovu.

Huyo ndiye adui wa taifa letu na ndiye wa kwanza tunayetakiwa kukamilisha harakati za kumuondoa zinazokaribia kushinda.


Tuongozwe na waumini wa kawaida tu wa dini,sio viongozi wakubwa wa kidini kama Padri Slaa,acheni kucheza mchezo wa kitoto ndani ya nchi hii.
Nchi hii ni ya kwetu sote sio ya kanisa katoliki.Wawe viongozi wakatoliki wa kawaida,haiwezekani mtu awe kiongozi mkubwa wa kanisa kisha aje kuongoza nchi.hii ni hatari tunaitaka wenyewe na tusubiri tu maana wenzetu mmejaaliwa kibri,kejeli na dharau zidi ya wengine,mnajiona nyinyi ni vipanga na wengine ni vilaza hawawezi kufanya lolote ndini ya nchi hii.
 
Hello my motion is on supporting and embracing the implication of Dr. Slaa's view stand and not about his presidency. Kama wewe haumtaki kwa cheo chake cha dini, hiyo sio mada hapa nafikiri ni bora ukatafuta sehemu yake. Madhumuni ya uzi huu ni kutokomeza mawazo potofu yenye kuendeleza na kujenga chuki za kipu.uzi zinazo husiana na imani na dini bila hata sababu za msingi. So please, come back to your senses and stick to the main point of discussion.


quote_icon.png
By kyamkwikwi
wilbrod slaa


uchonganishi kwa kutumia dini ni mbinu chafu na ya mwisho ya utawala unaotapatapa kwa kushindwa kutekeleza mambo mengine ya msingi zaidi kwa wananchi wake.

Wananchi lazima kutambua hilo na kukumbuka kwamba umaskini na ukosefu wa mahitaji ya msingi si matokeo ya tofauti za dini au makabila bali utawala mbovu.

Huyo ndiye adui wa taifa letu na ndiye wa kwanza tunayetakiwa kukamilisha harakati za kumuondoa zinazokaribia kushinda.


Neno kujitambua ni flexible,acha wewe unione sijitambui,nami pia nakuona wewe hujitambui ndio maana unashabikia Padri awe raisi wa nchi hii bila kujali madhala yatokanayo na huo ushabiki wako.

Unaweza ukajona una fikira pevu kumbe huna lolote ni mshabiki tu wa kundi lako,wewe ni mnafiki na unajua unachokifanya,wajinga wataamini pumba zako,lakini wenye akili timamu wanajua huu ni mchezo mchafu kuwai kutokea katika nchi hii.

Ni kweli mimi ni mkata tamaa wa hizo mbinu chafu za kanisa katoliki,na muogope mtu aliyekata tamaa
 
Hello my motion is on supporting and embracing the implication of Dr. Slaa's view stand and not about his presidency. Kama wewe haumtaki kwa cheo chake cha dini, hiyo sio mada hapa nafikiri ni bora ukatafuta sehemu yake. Madhumuni ya uzi huu ni kutokomeza mawazo potofu yenye kuendeleza na kujenga chuki za kipu.uzi zinazo husiana na imani na dini bila hata sababu za msingi. So please, come back to your senses and stick to the main point of discussion.

quote_icon.png
By kyamkwikwi
wilbrod slaa


uchonganishi kwa kutumia dini ni mbinu chafu na ya mwisho ya utawala unaotapatapa kwa kushindwa kutekeleza mambo mengine ya msingi zaidi kwa wananchi wake.

Wananchi lazima kutambua hilo na kukumbuka kwamba umaskini na ukosefu wa mahitaji ya msingi si matokeo ya tofauti za dini au makabila bali utawala mbovu.

Huyo ndiye adui wa taifa letu na ndiye wa kwanza tunayetakiwa kukamilisha harakati za kumuondoa zinazokaribia kushinda.


Mleta thread acha kukimbia kivuli chako,Padri Slaa amezungumzia udini,nami nachangia katika issue hiyo hiyo ya udini.Sasa ili kuutokomeza udini ambao Padri Slaa kwa kauli ya kinafiki anaupinga hatuna budi kuweupuka viongozi wote wa kitaifa wenye historia za kidini kama alivyo Padri Slaa.

Ili nimuone Padri Slaa ni mkweli aache ukatibu mkuu na fikira za kugombea uraisi na badal yake arudi kanisana akaongoze kondoo wa bwana waliopotea.
 
Padri Slaa aache kauli za kinafiki,mbona hakuwakemea maaskofu wenzie waliotoa walaka maalumu wa kumpigia kampeni mwaka 2010.

Wanasiasa wa nchi hii waache unafiki udini wanauona baada ya kwisha kampeni,wakati wa kampeni hawauoni udini na wanautumia kwa maslahi yao.

Sote tunajua kwamba Pro.Lipumba alikuwa anapigiwa kampeni msikitini,Padri Slaa alipigiwa kampeni makanisani,na Dhaifu Kikwete mwaka 2010 baadamya maaskofu kumuona sio chaguo la mungu tena,dhaifu akakimbilia misikitini na mashekhe kwa ujinga wao wakampigia kampini misikitini.

Kupingana na ukweli ni sawa sawa na kupigana na ukuta,Padri slaa acha unafiki
 
Are you on his view stand point or ......?? Sijakuelewa..!! Umesema umesikia "amezungumzia udini, nami nachangia katika issue hiyo hiyo................Ili nimuone Padri Slaa ni mkweli aache ukatibu mkuu na fikira za kugombea uraisi na badal yake arudi kanisana akaongoze kondoo wa bwana waliopotea."

Vipi wewe umeelewa ulichoandika, mimi sijakuelewa.....nisaidie,tafadhali ili twende pamoja.

Mleta thread acha kukimbia kivuli chako,Padri Slaa amezungumzia udini,nami nachangia katika issue hiyo hiyo ya udini.Sasa ili kuutokomeza udini ambao Padri Slaa kwa kauli ya kinafiki anaupinga hatuna budi kuweupuka viongozi wote wa kitaifa wenye historia za kidini kama alivyo Padri Slaa.

Ili nimuone Padri Slaa ni mkweli aache ukatibu mkuu na fikira za kugombea uraisi na badal yake arudi kanisana akaongoze kondoo wa bwana waliopotea.
 
Kutumia dini ili kupata populality ya kisiasa ni mbinu chafu na ya mwisho inayotumiwa na wanasiasa uchwara mfano wa Padri Slaa,Pro.Lipumba na Dhaifu kikwete.

Hatutaki kusikia kauli zao za kinafiki wakikemea udini baada ya kampeni huku wakijua ya kwamba wakati wa kampeni walitumia udini
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom