Why are you always on our backyard? Don't you have some work to do?
Kwa hili naona serikali iendelee na ujenzi wa hii barabara. Mikumi barabara inakatiza katikati na hatujaona madhara yake.
Bara2 ingekatiza route ya hao nyumbu; jaribuni kutembelea mbuga za wanyama ndipo mtambua umuhimu wa vivitio hivyo! Na uzuri wa biashara ya utalii; mtaji wako (natural resources) inabaki pale pale!
Mikumi hakuna hiyo migration ya milions of wanyama at per! Mbona western Tanzania hakuna barabara; kwanini huko tu? Naanza kuamini michango ya hapo juu (madini); kwani suala la kusogeza maendeleo W Tz ndio wanahitaji zaidi!
????? didnt grasp what you blubbered out, you mean you want Jamii forum to be exclusively Tanzanian? sijui hio ni adhari ya ujamaa ama ni kutosoma, whichever one it is it seriously boxed you to a one dimensional view of life.
Why are you always on our backyard? Don't you have some work to do?
????? didnt grasp what you blubbered out, you mean you want Jamii forum to be exclusively Tanzanian? sijui hio ni adhari ya ujamaa ama ni kutosoma, whichever one it is it seriously boxed you to a one dimensional view of life.
Nipo mkuu ila hua sijivinjari sana hapa, hiyo avatar yako siku za nyuma ilinifanya niangalie mara mbilimbili nikajiuliza, hivi ujumbe wake hasa ni nini?chamoto is my first time to see u!!!!!!how a u sir!1
Kwanini watuamulie mambo yetu? wao walipoharibu mazingira yao walitarajia wayatumie ya kwetu. This time wameliwa hatutawasikiliza, barabara itajengwa
Kwa hili naona serikali iendelee na ujenzi wa hii barabara. Mikumi barabara inakatiza katikati na hatujaona madhara yake.
hapa tatizo sio vifo vya wanyama tu bali ni uharibifu wa ecolojia nzima ya Serengeti-Massai-Mara ecosystem.You seems not to know the importance of this ecology to the people of North Tz and south Kenya.Kwa hili naona serikali iendelee na ujenzi wa hii barabara. Mikumi barabara inakatiza katikati na hatujaona madhara yake.