CALL FOR SUPPORT: To Build or not To Build - The Serengeti Highway saga

mmeshindwa kuweka hivyo vifaa vya kisasa kuokoa maelfu ya binadamu wanakufa kwa ajali....leo hii unasema mtaweka vifaa hivyo kuokoa WANYAMAPORI......

Kutokana na hiyo sensitivity mnayotumia kuzuia ujenzi huo haitakuwa vigumu kuwa na speed detectors cameras katika eneo hilo kwa sababu hata hivyo huwa linalindwa na maafisa wanyama pori. Kwanza kutakuwa na maafisa wanaoukusanya ushuru wa kuingia katika mbuga hizo kwa pande zote mbili za mbuga.

Kutokea kwa ajali sehemu nyinginezo za nchi siyo kielelezo kuwa sehemu hiyo askari wanyama pori watashindwa kulinda madereva wasizidishe speed; vinginveyo unakuwa una-stereotype bila kuwa na sababu ya msingi. Unasahau kuwa sehemu kubwa ya ajali hizo hutokea kwa sababu ya barabara kuwa mbovu.


kuhusu kugonga wanyama, kama umeshawahi kupita barabara ya Mwanza-Bunda saa za jioni utakutana na makundi makubwa sana ya wanyama wanaotoka au kwenda kunywa maji ziwani lakini hawajawahi kugongwa au kuzuiwa wasiendelee kunywa maji.

Petitioners wote niliowaona ambao wamekuwa recruited na na wakenya ni watu walioko nje ya nchi (Marekani na Ulaya) wengine wakiwa hawajahai hata kufika tanzania. Wanachukulia kuwa highway hiyo itakuwa inachukua magari mengi kama yalivyo huko kwao, jambo ambalo siyo sahihi.
 
Bwana Kichuguu,

Kumbuka hiyo barabara ikipitia Karatu yani nje ya mbuga itapita vijiji vingi zaidi na itakuwa na manufaa zaidi kwa watu zaidi ya million moja na kulinda hifadhi yetu! Ikumbukwe mbuga kuwa under World Heritage Site kuna manufaa zaidi ya kujenga hiyo barabara ambayo 54 km zitakatiza Serengeti na kuifanya itolewe kwenye List of World Heritage Sites!

Halafu fikiria athari za magari mengi makubwa na mazito kupita hapo kwa maana majirani zetu wengi ni landlocked yaani Uganda, Rwanda, Burundi na DRC na njia hii itafupisha umbali kwao! Jifikirie malori mazito ya mizigo yenye kubeba chemicals na mafuta yatakayopita huko na ajali zitakazokuwa zinatokea kwa msongamano huo!

Ikumbukwe Serengeti kama 7th Wonder inaleta over 1US$ bilion na ina potentials ya kuleta zaidi katika hali yake ya sasa na si baada ya kuweka barabara ya lami! Si muda mrefu tutaanza kuona negative publicity on CNN, CBS, CNBS, Bloomberg news kuhusu hili na itaharibu kila tuliyofanikiwa! Hata hao highly paying tourists wataacha kuja!
Hivi watalii walianza lini kuja Tanzania na mebuga hizo zilikuwa listed world heritage lini?

Sijawahi kusikia hata siku moja kuna positive publicity CNN, CBS, CNBS, na Bloomberg News kuwataka watalii waende Tanzania eti kwa sababu Serengeti ni world heritage, mara nyingi tunasikia negative news za uchafu, rushwa na barabara mbovu; watalii hawaji pale kwa sababu tuna world heritage. Watalii wengi walioanza kuja Tanzania kutokea Marekani ilikuwa ni baada ya ziara ya George Bush, na vurugu za kisasa zilzofuata huko Kenya.

Kuna watu pale Kenya wanataka kutumia hii nafasi kui-discredit Tanzania ili kuwavuta watalii tena kwenda huko kwao tena kama ilivyokuwa zamani.
 
Bwana Kichuguu,

Kumbuka hiyo barabara ikipitia Karatu yani nje ya mbuga itapita vijiji vingi zaidi na itakuwa na manufaa zaidi kwa watu zaidi ya million moja na kulinda hifadhi yetu! Ikumbukwe mbuga kuwa under World Heritage Site kuna manufaa zaidi ya kujenga hiyo barabara ambayo 54 km zitakatiza Serengeti na kuifanya itolewe kwenye List of World Heritage Sites!

Halafu fikiria athari za magari mengi makubwa na mazito kupita hapo kwa maana majirani zetu wengi ni landlocked yaani Uganda, Rwanda, Burundi na DRC na njia hii itafupisha umbali kwao! Jifikirie malori mazito ya mizigo yenye kubeba chemicals na mafuta yatakayopita huko na ajali zitakazokuwa zinatokea kwa msongamano huo!

Ikumbukwe Serengeti kama 7th Wonder inaleta over 1US$ bilion na ina potentials ya kuleta zaidi katika hali yake ya sasa na si baada ya kuweka barabara ya lami! Si muda mrefu tutaanza kuona negative publicity on CNN, CBS, CNBS, Bloomberg news kuhusu hili na itaharibu kila tuliyofanikiwa! Hata hao highly paying tourists wataacha kuja!

Uamuzi wa kujenda barabara au mradi mwingine mkubwa huwa hautekelezwi bila kufanyia uchambuzi kuona faida na madhara yake kupitia feasibilty studies. Kama feasibilty study zitakubalina na mawazo yako basi hiyo ni sawa, ila kama feasibility study itaonyesha kuwa kuna faida kubwa zaidi kwa kuipitisha Loliondo, basi tuache ifanyike. Watu hapa wanapinga tu kabla hata hawajaona matokeo ya feasibility studies; zaidi wanatoa hisia zao tu. Kilichoniudhi ni ile kampein iliyoanziwsha na wakenya kupinga mradi huu hata kabla haujatangazwa rasmi na serikali.
 
Uamuzi wa kujenda barabara au mradi mwingine mkubwa huwa hautekelezwi bila kufanyia uchambuzi kuona faida na madhara yake kupitia feasibilty studies. Kama feasibilty study zitakubalina na mawazo yako basi hiyo ni sawa, ila kama feasibility study itaonyesha kuwa kuna faida kubwa zaidi kwa kuipitisha Loliondo, basi tuache ifanyike. Watu hapa wanapinga tu kabla hata hawajaona matokeo ya feasibility studies; zaidi wanatoa hisia zao tu. Kilichoniudhi ni ile kampein iliyoanziwsha na wakenya kupinga mradi huu hata kabla haujatangazwa rasmi na serikali.
ask yourself feasibility study imefanywa na nani? na wakati inafanywa sasa ikitarajiwa kukamilika December, Kikwete ashaipa project a go ahead na tutaambiwa imefanwa na wizara au some uchwara consultancy na sio internationally accredited! Why ili kupata green light! Kwa project kama hiyo inahitaji not only EIA but SEA also the way that ecosystem is sensitive
 
ask yourself feasibility study imefanywa na nani? na utaambiwa na wizara au some uchwara consultancy na sio internationally accredited! Why ili kupata green light! Kwa project kama hiyo inahitaji not only EIA but SEA also the way that ecosystem is sensitive


Study ya kwanza iliyokuwa inapitia palipo barabara ya sasa ilionyesha kuwa kuwa kutakuwa na bughudha sana kwa wanyama pori na siyo salama kwa watumia barabara wakipita katika mbuga hiyo kwa muda mrefu na kwa bahati mbaya wakaharibikiwa ndani ya mbuga, ingawa ujenzi ungekuwa na gharama ndogo. Study ya pili imeonyesha kuwa madhara kwa wanyama yatapungua sana iwapo barabara hiyo itapitia Loliondo na kukatisha sehemu ndogo sana ya mbuga ingawa ujenzi huo ni ghali kidogo kuliko kupitisha barabara sehemu ilipo sasa hivi.


Politiks za namna hii ndizo zinazofanya eti watanzania tusitumie maji ya ziwa victoria kumwagilia mashamba na kutuacha tunakufa kwa njaa wakati wa ukame eti kwa sababu ya international agreement kuhakikisha kuwa Misri inapata maji ya kwenye mto nile. Kwa nini maisha ya watanzania yawe so denigrated kiasi hicho? Ninasubiri nione watu wa Musoma watalichukuliaje jambo hili kwa sababu limesumbua kwa muda mrefu na wengine tuliwahi kupoteza ndugu zetu hapo kwenye barabara mbovu ya serengeti.
 
Kati ya comments zote kwenye hiyo article ya NY Times nimeipenda hii:

When I read the title of this article, I was instinctively outraged - how dare we Westerners lambast a poor nation for putting the interests of its people before its animals! How do you think the US got to where it is today and why doesn't every human being deserve what we have? But then I noticed the author was Olivia Judson, who is an unusually thorough and fair science writer, and I took pause. Ms. Judson has delivered a fair analysis of the development, but I feel the emphasis is misplaced. At heart, this is not an environmental problem.

How do the Tanzanians living in the region feel about the road? Is this public works project long overdue for connecting important trading hubs? It seems not. So is it more like America's monstrous national highway program in the 1950's, which ushered in a whole new era in transportation and commerce? Either way, one cannot argue that making commerce and travel easier has ever hurt a nation in the long run. But one cannot argue, either, that most public works projects of this magnitude meet much opposition in the short run.

But is this road really ever intended to be built? The Tanzanian government has much to gain from convincing wealthy international individuals and organizations that it seeks to destroy the precious wildlife for the sake of improving people's livelihoods (assuming ecotourism is not the sustainable economic backbone many Westerners hope it could be). It is only when the Tanzanian government appears to be interested in destroying the wildebeest that conservationists appear to be interested in forking over large sums to protect the wildebeest. Mr. Mike Norton-Griffiths, of Kenya, mentions that the road is proposed every decade or so, but no land has ever been cleared. 'captaintent', of Tanzania, mentions a hedge fund billionaire, Paul Tudor Jones, who has an equally strong hand and strong will in promoting this 'northern pass'.

No one has all the answers. My only concern is that, when we only see this as a 'protect the environment vs. destroy the environment' issue, the most important element - the human element - is lost. Is this just a government ploy? Is it important to the Tanzanians living in the region? I urge all of you who are desperate to save the wildebeest to investigate India's crumbling rail infrastructure, a topic of numerous recent NYT articles. Putting off crucial transportation projects for politics' sake seems only to amplify environmental degradation (and unnecessary human suffering) in the long-run, when overcrowding and overuse begin to set in. Although those of us living in the West have long been lifted from the clenches of poverty, it is a reality for the people in Tanzania, a reality far more important for us to work to overcome than the preservation of the Westerner's ability to gauk at the wildebeest, however beautiful it might be.
 
magari mengi makubwa na mazito kupita hapo kwa maana majirani zetu wengi ni landlocked yaani Uganda, Rwanda, Burundi na DRC na njia hii itafupisha umbali kwao!

Mkuu can you pls be specific kwa mifano halisi as to where haya magari makubwa yatakuwa yanatoka na kuelekea wapi hadi yapite njia hii? Otherwise I see this as to general na infact hakuna njia fupi na gharama nafuu at the expense of "landlockedness" kupitia Serengeti.
 
(1) Ingawa lingekuwa jambo la maana kutokujenga barabara katika eneo lile, kwa bahati mbaya sana mbuga zile ni kubwa sana na zinatenganisha semehu mbili za nchi zinazotegemeana sana kiuchumi. Kwa tanzania maskini kama ilivyo kutaa mtu azunguke toka Musoma kwenda hadi Singida ili aweze kufika Arusha ni upuuzi unaovumiliwa tu na watu wasiofikiri kwa kina.

(2) Wanyama hawaogopi magari, na ndiyo maana watalii wanakwenda kuwaona kwa kutumia magari. Barabara ya kutoka Musoma kwenda Arusha ipo siku nyingi na magari yamekuwa yanapita miaka neda rudi. Kinachofanyika ni kuiwekea lami; sasa nani alisema kuwa wanyama hawaishi mahali kuliko na barabara ya lami? Wanyama hawa wapa wako wapi kama siyo barabara za lami?

attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php


Katika hizo picha unajua kwanini Kruger National Park haipo kwenye World Heritage List? Ni kwa sababu ya hiyo barabara! Kutuonyesha hizo picha maana yake unataka Serengeti ifuate hilo wazo na kuondolewa katika list ambapo we will loose big time
 
magari mengi makubwa na mazito kupita hapo kwa maana majirani zetu wengi ni landlocked yaani Uganda, Rwanda, Burundi na DRC na njia hii itafupisha umbali kwao![/QUOTE]

Mkuu can you pls be specific kwa mifano halisi as to where haya magari makubwa yatakuwa yanatoka na kuelekea wapi hadi yapite njia hii? Otherwise I see this as to general na infact hakuna njia fupi na gharama nafuu at the expense of "landlockedness" kupitia Serengeti.
Kama unafuatilia mambo Mkuu utajua hiyo barabara itaungana na ile ya Tanga-Moshi-Arusha au ile ya Mombasa-Voi-Arusha na both Tanga and Mombasa are port cities na kuna mpango wa kujenga mpya at Mwambani Tanga! so its obvious the road aims at transporting cargo mpk Musoma then a ferry will transport them across the lake to Uganda or through a ring road that goes around lake Victoria to other land locked countries!
 
Geza Ulole,
Alichosema Mwalimu ni kwamba nchi zilizoendelea zina barabara za kisasa katika mbuga za hifadhi na hii si nongwa. Na hawa hawana haki ya kutuambia sisi tusiweke barabara za kisasa katika hifadhi zetu. Na uamuzi wa maendeleo yetu tunaufanya sisi, sio World Bank. Do you have an issue with that?

Mwl. nae alikuwa binadamu tu na hakuwa expert wa mazingira! alikuwa na mapungufu yake pia! Jamani sikatai barabara kujengwa ila nakataa ku-cross Serengeti hiyo barabara ipitie Karatu na itafika Musoma na itakuwa na manufaa kwa wtu wengi zaidi (over 1 mio.)!
 
Acheni kupiga logolongo.
Tangu lini barabara ikazuia wanyama? tena wanyama wanapenda barabara kama nini?

Mbona hamjapigia kelele ile barabara ya mwanza -musoma ambayo inapita kati kati ya serengenti. Na tena barabara ile inasaidia wanyama kama nyani kujipatia chakula kutoka kwa wasafiri.

achani longo longo, barabara haiharibu kitu.
 
Acheni kupiga logolongo.
Tangu lini barabara ikazuia wanyama? tena wanyama wanapenda barabara kama nini?

Mbona hamjapigia kelele ile barabara ya mwanza -musoma ambayo inapita kati kati ya serengenti. Na tena barabara ile inasaidia wanyama kama nyani kujipatia chakula kutoka kwa wasafiri.

achani longo longo, barabara haiharibu kitu.
kaka sikulaumu kwa uelewa mdogo naona tena umeenda mbali ku-mention the disadvantages za barabara! Unajua wanyama kupewa chakula hairuhusiwi na kuona nyani wanakaa barabarabi ni mazoea mabaya ya wananchi kutosikiliza na hii husababisha kugongwa na wapita njia! Maelekezo ya kutowapa hao wanyama chakula hutolewa na wataalam wa wanyama yaani watu wa Wildlife ambao husoma tabia za wanyama na ku-analyze risks that come along! mara nyingi huwa kuna alama zinazosema "don't give food to animals" kwenye zoos au mbuga! wakijua kitu ambacho kitakachotokea yaani utegemezi wa wanyama hawa kwa wapita njia kwa lishe yao mbali na uharibifu wa ecosystems (uoto asilia wa sehemu husika) nyinginezo!

Ushawahi jiuliza kwanini basi Wataalam wanasema nyani wasipewe chakula? maana kitabia nyani wale wataacha kufuata utaratibu wao wa kawaida wa kujitafutia chakula yaani kuparamia miti na kula matunda nyikani na kuranda barabarani kusubiri kupewa chakula yaani kuwa tegemezi! na siku wakikosa chakula wataanza kutisha, kuiba na kung'ata wanadamu kinguvu ili wapewe chakula! Je unaweza vurugu za nyani mia wakivamia gari lako? au wakivamia kijiji chako? au shamba lako la mahindi? na jee wakikung'ata uko tayari kuchomwa sindano 40 wewe za kitovu? na jee uwezekano wa kupata magonjwa unaujua?
 
kaka sikulaumu kwa uelewa mdogo naona tena umeenda mbali ku-mention the disadvantages za barabara! Unajua wanyama kupewa chakula hairuhusiwi na kuona nyani wanakaa barabarabi ni mazoea mabaya ya wananchi kutosikiliza na hii husababisha kugongwa na wapita njia! Maelekezo ya kutowapa hao wanyama chakula hutolewa na wataalam wa wanyama yaani watu wa Wildlife ambao husoma tabia za wanyama na ku-analyze risks that come along! mara nyingi huwa kuna alama zinazosema "don't give food to animals" kwenye zoos au mbuga! wakijua kitu ambacho kitakachotokea yaani utegemezi wa wanyama hawa kwa wapita njia kwa lishe yao mbali na uharibifu wa ecosystems (uoto asilia wa sehemu husika) nyinginezo!

Ushawahi jiuliza kwanini basi Wataalam wanasema nyani wasipewe chakula? maana kitabia nyani wale wataacha kufuata utaratibu wao wa kawaida wa kujitafutia chakula yaani kuparamia miti na kula matunda nyikani na kuranda barabarani kusubiri kupewa chakula yaani kuwa tegemezi! na siku wakikosa chakula wataanza kutisha, kuiba na kung'ata wanadamu kinguvu ili wapewe chakula! Je unaweza vurugu za nyani mia wakivamia gari lako? au wakivamia kijiji chako? au shamba lako la mahindi? na jee wakikung'ata uko tayari kuchomwa sindano 40 wewe za kitovu? na jee uwezekano wa kupata magonjwa unaujua?

Haha haha
Nyani tangu lini wakaacha kufuata binadamu walipo? ama kuvamia mashamba ya watu ya mahindi? teh teh teh ulishawahi jiuliza kwanini nyani wanaoishi karibu na mashamba ya binadamu hua hawaombi na wale wa pale serengeti kwa nini wanaomba?

Maisha ya wanyama ni mzunguruko kila mnyama anategemea kiumbe hai kuishi kwa msaada ama kwa uvamizi. Pia mwanadamu yumo ndani umasikini umetuzinga ndo maana tunaomba misaada kama ilivyo kwa nyani wa serengeti.

wewe unategemea nyani atapata wapi matunda kwenye vile vijimiti vya miiba vya serengeti ktk baadhi ya maeneo yake? unaongea theory zisizo ktk matendo, na uhakika nyani wale wasipopewa msaada pale barabarani watavamia binadamu wa jirani ya mbunga kwa sababu zilizo nje wa uwezo wa nyani.
 
Geza Ulole,
Hivi kuwa kwenye orodha ya World Heritage List ni big deal kuliko kuwaletea binadamu maendeleo? Afadhali tuwe kama Kruger lakini tupate
usafiri wa hakika hadi Musoma kuliko kuwekwa kwenye World Heritage list na kuendelea kubangaiza kwenye mavumbi. Jengeni hiyo barabara and damn the torpedoes.
 
Haha haha
Nyani tangu lini wakaacha kufuata binadamu walipo? ama kuvamia mashamba ya watu ya mahindi? teh teh teh ulishawahi jiuliza kwanini nyani wanaoishi karibu na mashamba ya binadamu hua hawaombi na wale wa pale serengeti kwa nini wanaomba?

Maisha ya wanyama ni mzunguruko kila mnyama anategemea kiumbe hai kuishi kwa msaada ama kwa uvamizi. Pia mwanadamu yumo ndani umasikini umetuzinga ndo maana tunaomba misaada kama ilivyo kwa nyani wa serengeti.

wewe unategemea nyani atapata wapi matunda kwenye vile vijimiti vya miiba vya serengeti ktk baadhi ya maeneo yake? unaongea theory zisizo ktk matendo, na uhakika nyani wale wasipopewa msaada pale barabarani watavamia binadamu wa jirani ya mbunga kwa sababu zilizo nje wa uwezo wa nyani.
Kaka nanawa mikono maana sijui nianzie wapi kukufundisha? tabia ya wanyama hunogewa ndo maana hata chui au simba akiuwa ng'ombe au mbuzi zizini siku ya kwanza hurudi tena maana ni vya mteremko na wanyama hawa wakiuwa binadamu afisa wanyama pori huwasaka mpaka wawauwe maana wanajua the sequence will repeat itself! watarudi tena na tena! yaani ni kama sudden addiction sort of! sasa wewe unavyosema huko serengeti hamna chakula cha nyani sasa wanaishije? unawalisha? nielewe nilichomaanisha kuwapa wanyama vyakula hairuhusiwi maana hubadilika behaviour zao na kuwa wategemezi! Kaka naongea kisayansi hapa!
 
yes ni big deal Serengeti as a World Heritage Site brings over US$ 1.3 bio. that account up to 15% of your foreign exchange yearly and has a potential to bring more and more at its current state than after a road is constructed ndo mana unaona tourists wanakuja Serengeti badala ya Kruger for those nature lovers na wako willingly kulipa zaidi ukilinganisha na Kruger na Masai Mara! na ndio maana unaona conservation funds nyingi ziko allocated hapo kwa vile Serengeti ni one of very few parks at its pristine nature! hiyo barabara ndani ya Serengeti haina maana ni White elephant at the moment kwa vile Kwa sasa hamna watu wengi wanaoishi humo ukilinganisha na nje ya park though ofcourse idadi yao itaongezeka kama wakijenga hiyo barabara kitu ambacho si kizuri maana ujangili utaongezeka na uvunaji wa mazao ya misitu pia utaongezeka! na karaha nyinginyingi!
 
Thats good news for tz....we don't need to listen what the tribalists cry about it!
ndugu yangu... ungejua impact ya hiyo move kwa migration ya mwanyama wetu na utalii in general usingesema uliyosema

nafananisha hii move na ile ya jamaa aliyetoboa MV bukoba upande wa boya kuokoa mtu mmoja!!!.. hatuwezi kufanya kama shouth au marekani kwani wanyama waliopo hapa wana pattern fulani... linganisha na ile ya wale ndege wanaokuja ku-breed manyara na kurudi mediterranean

I WISH DR. NZUKI NAYE ANGEKUA ANATOA SHULE KAMA DR. PETER KAFUMU KWENYE MAMBO YA MADINI NA JIOLOJIA

WE NEED THAT KNOWLEDGE
 
yes ni big deal Serengeti as a World Heritage Site brings over US$ 1.3 bio. that account up to 15% of your foreign exchange yearly and has a potential to bring more and more at its current state than after a road is constructed ndo mana unaona tourists wanakuja Serengeti badala ya Kruger for those nature lovers na wako willingly kulipa zaidi ukilinganisha na Kruger na Masai Mara! na ndio maana unaona conservation funds nyingi ziko allocated hapo kwa vile Serengeti ni one of very few parks at its pristine nature! hiyo barabara ndani ya Serengeti haina maana ni White elephant at the moment kwa vile Kwa sasa hamna watu wengi wanaoishi humo ukilinganisha na nje ya park though ofcourse idadi yao itaongezeka kama wakijenga hiyo barabara kitu ambacho si kizuri maana ujangili utaongezeka na uvunaji wa mazao ya misitu pia utaongezeka! na karaha nyinginyingi!

Geza Ulole husemi ukweli kwenye discussion hii. Hebu angalia


  1. Kwa kuwa kwenye world heritage list, Tanzania iliwahi kupata jumla ya $ 1,300,892 ambazo ni nyingi kuliko nchi nyingine yoyote duniani. Hela hizo zilitoltea na UNSECO kwa kipindi cha miaka 30 kuanzia mwaka 1979 hadi mwaka 2009, wastani wa $43,000 kwa mwaka. Tena katika kipindi hicho chote, serengeti ilipewa dota $30,000 mara moja tu mwaka 1990 kwa ajili ya kununulia gari. Angalia hapa.
  2. Kujenga barabara ile hakutafanya watu wajenge kwenye mbuga za wanyama kwa sababu inajulikana kuwa hiyo ardhi ni mali ya national park. Vile vile barabara ile itakayokuwa inaenea umbali wa km 50 tu hawezi kufanya mbuga yote isivutie wapenda nature kwa vile eneo lote la Serengeti ni kubwa sana na linakaliwa na wanyama wengi sana katika natural habitats zao kuliko unavyotaka watu waamini.
  3. Kujenga barabara ya lami au reli ndani ya mbuga siyo sababu tosha ya kuifanya mbuga hiyo isiwe katika list ya world heritage
    .
    • Tulishakuambia kuwa reli ya TAZARA inapita ndani ya Selous Game Reserve lakini bado site ile iko listed kwenye world heritage tena ilishapewa hela nyingi na UNESCO zaidi ya Serengeti kama utapitia listi hiyo hapo juu vizuri. Ona list hii hapa chini.
      attachment.php

      WHTZ.JPG
    • Marekani ina world heritage sites nyingi sana kuliko Tanzania kama ilivyoonyeshwa hapa.


      attachment.php

      WHUSA.JPG

      Nitazungumzia site ambayo niliwahi kutembelea, nayo ni ile ya Yellowstone National Park ambayo inaanzia Wyoming na kuishia Montana ikienea hadi Idaho. Ndani ya park hii kuna US highway nyingi sana kama unavyoweza kuziona kwenya ramani. Kwa mfano, ukitaka kusafiri kati ya miji ya Gillette Wyoming na Idaho Falls Idaho, itabidi uchukue US-14 highway ambayo inbapita katikati ya Yellowstone National Park umbali za zaidi ya kilomita 300 kama nilivyoonesha hapa chini; umbali huo ni karibu mara sita ya umbali utakaopitia barabara ya serengeti ambazo zitakuwa ni km 50 tu.


      attachment.php

      US14.JPG
    • Chini hapa nakuonyesha picha mbalimbali kuhusu Yellowstone National Park na bado iko kwenye list ya world heritage sites.

  4. Pamoja na kuwa Kruger National Park haiko kwenye list world heritage sites, bado inapata watalaii wengi kwa mwaka kuliko Serengeti. Mwaka jana South Africa ilikuwa na watalii 5,437,000 wakati Tanzania ilikuwa na watalii 347,000. Kwa hiyo kuwa kwenye world heritage list hakuchangii lolote katika kuvuta watalii. Angalia list yote hapa
  5. Labda nifahamishe tena kuwa, Kruger haiko kwenye list ya world heritage sites kwa sababu za kihistoria siyo kwa sababu ya kuwa na barabara za lami. Kaburu Paul Kruger alifukuza watu weusi waliokuwa wakikaa katika eneo lile kwa ajili ya kutengeneza hifadhi ya wanyama. Kwa hiyo UNESCO imeshindwa kuiweka site ile kwenye list ya world heritage kwa vile haiko kwenye natural form yake; naturally ilitakiwa wanyama na binadamu wawe wanaishi pamoja na au binadamu wawe wameondoka pale kwa natural processes siyo kwa kuuwawa na kuhamishwa kwa nguvu kama ilivyofanyika Kruger.
 
Kichuguu,
Naona umepiga msumari kwenye mjadala huu. Jengeni hiyo barabara ya Serengeti.
 
Back
Top Bottom