Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,677
- 26,998
Yanga ingekuwepo yasingekuwa bonaza, sio.?Aliyesema hayo mashindano ni bonanza ajakosea hapo Caf wameyumba sana wanawatengenezea waarabu mazingira wazi wazi
Yanga ingekuwepo yasingekuwa bonaza, sio.?Aliyesema hayo mashindano ni bonanza ajakosea hapo Caf wameyumba sana wanawatengenezea waarabu mazingira wazi wazi
Wewe Yanga unatakiwa uingie huko kwa kigezo kipi.?Hili lipo wazi
Hebu tuwalinganishe Rivers na Enyimba kwa hii miaka mitano kwenye mashindano ya CAF, Rivers kaizidi nini ENYIMBA..?Yaani at least kwa miaka ya hivi karibuni Wangesema Rivers kidogo ingeingia akilini.
Haya mashindano ni bonanza
Hoja yako ni ipi? Ulitamani wewe Kwa mawazo yako, ziingie timu zipi kwenye haya mashindano?Kwenye CAF 5 years ranking Enyimba ni wa ngapi na ana point ngapi hadi sasa?
Kuwa makini,umeshaonywa na mhusika,ukitolewa roho,usiende kulalamika kwenye ulimwengu mwingine.Heshimu watu.Labda unikatie bibuno 😀
Simba wamependelewa. Wamegawa bahasha. Kazi ya babra kabla hajasepa.
Hili lipo wazi
Yaani at least kwa miaka ya hivi karibuni Wangesema Rivers kidogo ingeingia akilini.
Haya mashindano ni bonanza
Sasa si ndo kinachoongelewa amaTunazungumzia Vigezo na Ubora...
Nimeona mmebishana kuhusu Enyimba na moja ya hoja yako ni kwamba umesema Enyimba amefanya vizuri katika mashindano ya CAF. Swali langu kwako ni je Enyimba ana point ngapi katika ranking ya CAF?Hoja yako ni ipi? Ulitamani wewe Kwa mawazo yako, ziingie timu zipi kwenye haya mashindano?
Dah najua basiNani alitakiwa aende nafasi ya Simba akanyimwa?. Maana kwa CECAFA Simba ndio yupo juu ya wote.
Wakati Barbara anagawa bahasha Senzo alikuwa wapiSimba wamependelewa. Wamegawa bahasha. Kazi ya babra kabla hajasepa.
Sijui hataWakati Barbara anagawa bahasha Senzo alikuwa wapi
Dah bangi bana
Huyo ni mwehu, usibishane na mwehuUtapata majibu endelea kuwa bingwa wa keyboard
Vigezo si unetajiwa. Ranks za CAF na USHIRIKI KTK CHAMPION. Hio timu yako s toka ALI KAMWE AKIWA PRIMARYTunazungumzia Vigezo na Ubora...
SawaVigezo si unetajiwa. Ranks za CAF na USHIRIKI KTK CHAMPION. Hio timu yako s toka ALI KAMWE AKIWA PRIMARY
😂😂😂🙌Wameangalia timu ambazo hazilalamiki.