TanzActive
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 367
- 73
Kwa kipindi cha Miaka mitano iliyopita, serikali ya JK ilishindwa kuudhibiti mfumuko wa bei kabisa
kwa mfano , katika zili bidhaa muhimu kila siku kwa maisha ya Mtanzania wa kawaida zimepanda toka 2005 hadi 2010 kama ifuatavyo:
kodi ya chumba chenye umeme na dari : 20,000/= to 50,000/=
Gunia la mkaaa 10,000/= to 35,000/=
Mchele kg 1 500/= t0 1,500/=
sukari 600/= to 1,800/=
mafuta ya kula Alizeti 3Ltrs 3,500/= to 10,00/=
unga wa Sembe 1kg 250/= to 700/=
Nyama 1kg 3500/= to 5000/=
umeme unit 1 80/= to 156/=
Ukiangalia hapo juu bei zimepanda zaidi ya mara 3 kwa kipindi cha miaka 5 , mimi sielewi wale wanaosema mfumuko wa bei ni below 5%
Ukilinganisha na kipindi cha BM mambo yalikuwa shwali , mishahara ilikuwa na nguvu kabisa
Ninaamini ni ushauri mbovu wa Mkulo and co ndio unaoleta hii tabu
Serikali ya JK isipoangalia hili jambo, maisha yataendelea kuwa magumu na wananchi watapiga kura against CCM 2015
kwa mfano , katika zili bidhaa muhimu kila siku kwa maisha ya Mtanzania wa kawaida zimepanda toka 2005 hadi 2010 kama ifuatavyo:
kodi ya chumba chenye umeme na dari : 20,000/= to 50,000/=
Gunia la mkaaa 10,000/= to 35,000/=
Mchele kg 1 500/= t0 1,500/=
sukari 600/= to 1,800/=
mafuta ya kula Alizeti 3Ltrs 3,500/= to 10,00/=
unga wa Sembe 1kg 250/= to 700/=
Nyama 1kg 3500/= to 5000/=
umeme unit 1 80/= to 156/=
Ukiangalia hapo juu bei zimepanda zaidi ya mara 3 kwa kipindi cha miaka 5 , mimi sielewi wale wanaosema mfumuko wa bei ni below 5%
Ukilinganisha na kipindi cha BM mambo yalikuwa shwali , mishahara ilikuwa na nguvu kabisa
Ninaamini ni ushauri mbovu wa Mkulo and co ndio unaoleta hii tabu
Serikali ya JK isipoangalia hili jambo, maisha yataendelea kuwa magumu na wananchi watapiga kura against CCM 2015