C.C.M tukiri udhaifu!!

Mwana CCM.

Member
Jan 4, 2011
83
10
Mimi ni mwanachama wa C.C.M, na kiongozi ndani ya Chama katika ngazi ya Wilaya lakini kwa mara ya kwanza nalazimika kusema ukweli, Malalamiko ya viongozi wetu ngazi ya Taifa kuhusiana na maandamano ya CHDEMA yalenge katika ukweli, tujiulize hawa watu wanalaumu nini? na wanawaambia nini wananchi? kuna ukweli ndani yake? kama hakuna ukweli kwa yale wanayoyasema tuwashitaki haraka iwezekanavyo, nahisi kama hatuwatendei haki kusema wana dhamira ya kumwaga damu, so far sijaona kosa walilofanya na ndo maana hawajapelekwa mahakamani na wakapatikana na hatia hizo, unajua kwa haya malalamiko yetu inaonyesha hatutaki changamoto za kweli na hatupendi vyama vya upinzani viwe strong. Nadhani sisi kama chama tuwe wa kweli wananchi wamechoka na maisha duni yanayozidi kuwa makali kila kukicha nadhani umefika wakati sasa viongozi wetu kutekeleza ilani zetu kwa vitendo na tusifanye siasa katika hili, tukiri katika utawala huu mambo yamekuwa tofauti sana ukilinganisha na vipindi vilivyopita kwa mfano itakuwa ni busara sana tukitumia muda mwingi kujibu maswali yanayoulizwa kwa mifano hai ya utekelezaji wa tuliyo waahidi kuliko kulaumu tu na umefika wakati sasa tuwe na ahadi chache na zinazotekelezeka ni hatari kuahidi maisha bora kwa kila mtu ilihari hata nchi tajiri zinapata changamoto kubwa sana kufikia hiyo hatua, tunatakiwa tujipange vinginevyo watatushinda kwa hoja mbele ya wananchi.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
 
Huu ndio upevu wa kisiasa, umenena kweli. Ila sidhani kama utasikika nao, mbiu umeipaza...
 
Mimi ni mwanachama wa C.C.M, na kiongozi ndani ya Chama katika ngazi ya Wilaya lakini kwa mara ya kwanza nalazimika kusema ukweli, Malalamiko ya viongozi wetu ngazi ya Taifa kuhusiana na maandamano ya CHDEMA yalenge katika ukweli, tujiulize hawa watu wanalaumu nini? na wanawaambia nini wananchi? kuna ukweli ndani yake? kama hakuna ukweli kwa yale wanayoyasema tuwashitaki haraka iwezekanavyo, nahisi kama hatuwatendei haki kusema wana dhamira ya kumwaga damu, so far sijaona kosa walilofanya na ndo maana hawajapelekwa mahakamani na wakapatikana na hatia hizo, unajua kwa haya malalamiko yetu inaonyesha hatutaki changamoto za kweli na hatupendi vyama vya upinzani viwe strong. Nadhani sisi kama chama tuwe wa kweli wananchi wamechoka na maisha duni yanayozidi kuwa makali kila kukicha nadhani umefika wakati sasa viongozi wetu kutekeleza ilani zetu kwa vitendo na tusifanye siasa katika hili, tukiri katika utawala huu mambo yamekuwa tofauti sana ukilinganisha na vipindi vilivyopita kwa mfano itakuwa ni busara sana tukitumia muda mwingi kujibu maswali yanayoulizwa kwa mifano hai ya utekelezaji wa tuliyo waahidi kuliko kulaumu tu na umefika wakati sasa tuwe na ahadi chache na zinazotekelezeka ni hatari kuahidi maisha bora kwa kila mtu ilihari hata nchi tajiri zinapata changamoto kubwa sana kufikia hiyo hatua, tunatakiwa tujipange vinginevyo watatushinda kwa hoja mbele ya wananchi.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.


Huu ndo ukomavu wa kisiasa
 
Jamani haya maandamano ya CDM na maneno yanayotolewa kwenye mikutano ni uchochezi ili wananchi waichukie Serikali. Uchaguzi umefanyika miezi mitatu tu iliyopita. Si msubiri basi kidogo muone kasi zaidi na ari zaidi itatoa matunda gani? Viongozi ndio kwanza wamechaguliwa (Mawaziri, wabunge n.k.). Si muwape muda basi muone watafanya nini? Kama kuna makosa ndani ya Chama na Serikali ni dhahiri yameshaonekana, kwani wao wajinga kuendelea na makosa hayo? Naamini wako katika harakati za kuyarekebisha makosa na kutafuta ufumbuzi wa kuleta mabadiliko na maendeleo kwa wananchi na kuondoa kero. Hii mikutano sioni kama inalenga kuleta maendeleo, ni kuleta uvunjaji wa amani tu. Mimi sio mwanasiasa na siko upande wowote, lakini naipenda nchi yangu na napenda Amani. Tusimuandame Rais wetu na Serikali yetu kwa mambo ambayo yako katika mchakato wa kutekelezwa. Mabomu, umeme, ukali wa maisha n.k. vinatakiwa kutafutiwa ufumbuzi, sio kuandamana na kutoa lawama tu.
 
unafikiri hawalijui hilo unalosema? chama kina watu wenye ufahamu wa kutosha lakini wanataka watumie njia ya mkato kunyamazisha wapinzani na sio kutatua matatizo ya msingi ya watanzania.sote tu mashahidi walivyokiandama chama cha nccr cha mrema enzi hizo baada ya kufanya vizuri kwenye uchaguzi.hivyo wananchi tuwe macho hawana nia nzuri nasi maana badala ya kututatulia shida zetu wao wanapambana na cdm safari hii hatudanganyiki
 
Mhh sidhani kama wewe kweli ni kiongozi wa ngazi ya wilaya wa CCM. Naona kama watupiga changa la mawe vile!!!!!!
 
Mimi ni mwanachama wa C.C.M, na kiongozi ndani ya Chama katika ngazi ya Wilaya lakini kwa mara ya kwanza nalazimika kusema ukweli, Malalamiko ya viongozi wetu ngazi ya Taifa kuhusiana na maandamano ya CHDEMA yalenge katika ukweli, tujiulize hawa watu wanalaumu nini? na wanawaambia nini wananchi? kuna ukweli ndani yake? kama hakuna ukweli kwa yale wanayoyasema tuwashitaki haraka iwezekanavyo, nahisi kama hatuwatendei haki kusema wana dhamira ya kumwaga damu, so far sijaona kosa walilofanya na ndo maana hawajapelekwa mahakamani na wakapatikana na hatia hizo, unajua kwa haya malalamiko yetu inaonyesha hatutaki changamoto za kweli na hatupendi vyama vya upinzani viwe strong. Nadhani sisi kama chama tuwe wa kweli wananchi wamechoka na maisha duni yanayozidi kuwa makali kila kukicha nadhani umefika wakati sasa viongozi wetu kutekeleza ilani zetu kwa vitendo na tusifanye siasa katika hili, tukiri katika utawala huu mambo yamekuwa tofauti sana ukilinganisha na vipindi vilivyopita kwa mfano itakuwa ni busara sana tukitumia muda mwingi kujibu maswali yanayoulizwa kwa mifano hai ya utekelezaji wa tuliyo waahidi kuliko kulaumu tu na umefika wakati sasa tuwe na ahadi chache na zinazotekelezeka ni hatari kuahidi maisha bora kwa kila mtu ilihari hata nchi tajiri zinapata changamoto kubwa sana kufikia hiyo hatua, tunatakiwa tujipange vinginevyo watatushinda kwa hoja mbele ya wananchi.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Najua wako wengi wa aina yako ila uwoga wa kuweka hadharani mambo. Si wengi wanaopenda shida na maisha magumu na vifo vivyozuilika kwa wananchi.
Iko siku mambo yatakuwa fresh, pole pole wanaccm wanaanza kuamka.
 
Jamani haya maandamano ya CDM na maneno yanayotolewa kwenye mikutano ni uchochezi ili wananchi waichukie Serikali. Uchaguzi umefanyika miezi mitatu tu iliyopita. Si msubiri basi kidogo muone kasi zaidi na ari zaidi itatoa matunda gani? Viongozi ndio kwanza wamechaguliwa (Mawaziri, wabunge n.k.). Si muwape muda basi muone watafanya nini? Kama kuna makosa ndani ya Chama na Serikali ni dhahiri yameshaonekana, kwani wao wajinga kuendelea na makosa hayo? Naamini wako katika harakati za kuyarekebisha makosa na kutafuta ufumbuzi wa kuleta mabadiliko na maendeleo kwa wananchi na kuondoa kero. Hii mikutano sioni kama inalenga kuleta maendeleo, ni kuleta uvunjaji wa amani tu. Mimi sio mwanasiasa na siko upande wowote, lakini naipenda nchi yangu na napenda Amani. Tusimuandame Rais wetu na Serikali yetu kwa mambo ambayo yako katika mchakato wa kutekelezwa. Mabomu, umeme, ukali wa maisha n.k. vinatakiwa kutafutiwa ufumbuzi, sio kuandamana na kutoa lawama tu.
CCM mnachekesha saana, mnasahau kuwa Chadema ni chama cha upinzani ambacho daima dumu hakitageuka kuwasifia ninyi. Hiyo ndio nature ya vyama vyote vya upinzani. Tumeona USA, Obama aliposhinda tu na Demokrats wake Republican wakaanza kumshughulikia on the sport, na tumeona hali ilivyokuwa katika kupitisha budget kwa ajili ya kuwasaidia watu wa chini, na matokeo yake ikabidi Obama atafute muafaka na Republican. Lakini hatukusikia hata siku moja Demokrats wanalalamika na kusema wanahujumiwa. Lakini CCM ya kwetu kulia lia kama watoto wadogo kiasi kuwa mtu unashindwa kuelewa ni nani anaongoza nchi. Badala ya CCM kuongoza na CDM kujibu mapigo hali ni kinyume CDM inaongoza na CCM inajibu kwa kulalamika tu kuwa inaonewa ati kwa sababu dunia nzima uchumi umedolola. Kwa nini basi msiachie madaraka??? Hii ndio dhambi ya kuiba kura!!!!
 
Mimi ni mwanachama wa C.C.M, na kiongozi ndani ya Chama katika ngazi ya Wilaya lakini kwa mara ya kwanza nalazimika kusema ukweli, Malalamiko ya viongozi wetu ngazi ya Taifa kuhusiana na maandamano ya CHDEMA yalenge katika ukweli, tujiulize hawa watu wanalaumu nini? na wanawaambia nini wananchi? kuna ukweli ndani yake? kama hakuna ukweli kwa yale wanayoyasema tuwashitaki haraka iwezekanavyo, nahisi kama hatuwatendei haki kusema wana dhamira ya kumwaga damu, so far sijaona kosa walilofanya na ndo maana hawajapelekwa mahakamani na wakapatikana na hatia hizo, unajua kwa haya malalamiko yetu inaonyesha hatutaki changamoto za kweli na hatupendi vyama vya upinzani viwe strong. Nadhani sisi kama chama tuwe wa kweli wananchi wamechoka na maisha duni yanayozidi kuwa makali kila kukicha nadhani umefika wakati sasa viongozi wetu kutekeleza ilani zetu kwa vitendo na tusifanye siasa katika hili, tukiri katika utawala huu mambo yamekuwa tofauti sana ukilinganisha na vipindi vilivyopita kwa mfano itakuwa ni busara sana tukitumia muda mwingi kujibu maswali yanayoulizwa kwa mifano hai ya utekelezaji wa tuliyo waahidi kuliko kulaumu tu na umefika wakati sasa tuwe na ahadi chache na zinazotekelezeka ni hatari kuahidi maisha bora kwa kila mtu ilihari hata nchi tajiri zinapata changamoto kubwa sana kufikia hiyo hatua, tunatakiwa tujipange vinginevyo watatushinda kwa hoja mbele ya wananchi.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

mkuu huwezi kuzuia gari linaloanguka ili hali wewe mwenyewe ni abiria umo ndani ya gari hilo hilo. Na huwezi kutoka bila kupakaa kinyesi ukitumbukia kwenye choo cha shimo.
Huko uliko si kwako, hama. Hata mwenyekiti wako wa kitaifa wa chama chako hana mawazo kama yako.
 
Kaka mimi nilikuwa kiongozi wa ngazi hiyo hiyo na bado ni kiongozi lakini nimechoshwa, naendelea tu ili wanangu waweze kula lakini not promising at all.
 
Mhh sidhani kama wewe kweli ni kiongozi wa ngazi ya wilaya wa CCM. Naona kama watupiga changa la mawe vile!!!!!!

Najua unachokitaka nikwambie wilaya gani, japo haita saidia sana. Sita ondoka katika chama nitabaki humu humu ila sitakuwa mnafiki from now onward inasikitisha sana kama kiongozi kuunga mkono hata pale tunapokosea. Kwa mfano hivi ni kipi naweza kujivunia katika ahadi zetu za awamu iliyopita kama utakuwa makini nenda kazisome vizuri na utekelezaji wake una-ripotiwa kisiasa zaidi. Mimi binafsi maisha yangu siyo mabaya sana lakini nina ushahidi wa watu wanaonizunguka.
 
Katika maisha yangu,naamini hakuna msafi ccm.ww umetokea wapi?kama kweli(hayo usemayo)kwa nini usiondoke huko.Njoo Cdm kabla mlango haujafungwa.
 
Mimi ni mwanachama wa C.C.M, na kiongozi ndani ya Chama katika ngazi ya Wilaya lakini kwa mara ya kwanza nalazimika kusema ukweli, Malalamiko ya viongozi wetu ngazi ya Taifa kuhusiana na maandamano ya CHDEMA yalenge katika ukweli, tujiulize hawa watu wanalaumu nini? na wanawaambia nini wananchi? kuna ukweli ndani yake? kama hakuna ukweli kwa yale wanayoyasema tuwashitaki haraka iwezekanavyo, nahisi kama hatuwatendei haki kusema wana dhamira ya kumwaga damu, so far sijaona kosa walilofanya na ndo maana hawajapelekwa mahakamani na wakapatikana na hatia hizo, unajua kwa haya malalamiko yetu inaonyesha hatutaki changamoto za kweli na hatupendi vyama vya upinzani viwe strong. Nadhani sisi kama chama tuwe wa kweli wananchi wamechoka na maisha duni yanayozidi kuwa makali kila kukicha nadhani umefika wakati sasa viongozi wetu kutekeleza ilani zetu kwa vitendo na tusifanye siasa katika hili, tukiri katika utawala huu mambo yamekuwa tofauti sana ukilinganisha na vipindi vilivyopita kwa mfano itakuwa ni busara sana tukitumia muda mwingi kujibu maswali yanayoulizwa kwa mifano hai ya utekelezaji wa tuliyo waahidi kuliko kulaumu tu na umefika wakati sasa tuwe na ahadi chache na zinazotekelezeka ni hatari kuahidi maisha bora kwa kila mtu ilihari hata nchi tajiri zinapata changamoto kubwa sana kufikia hiyo hatua, tunatakiwa tujipange vinginevyo watatushinda kwa hoja mbele ya wananchi.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
nitahakikisha unafukuzwa uanachama
HUTUFAI KABISA WEWE
 
Mtazidiwa hoja kwa wananchi mara ngapi??
Pili na wewe angalia usikekuwa kama alberto wa CDM, haya mambo kayaeleze kwenye vikao nyenu na communique zeni ndani ya chama ili mkiboreshe chama chenu.

We kwanza umeniuzi sana wewe, unasema ni mwana CCM alafu unatuletea usanii wa eti msema kweli ni Mpenzi wa Mungu, Mnafiki mkubwa wewe. wewe wakati unasimamia harakati za kuiba kura kwenye uchaguzi mkuu ulikuwa haujui matokeo yake??

Umeshiriki, kushadidia, na kuisikima kinyume na matakwa ya wananchi uongozi wa serikali katika mikono michafu. wewe unachotakiwa kusema hapa ni kwamba haufurahishwi na namna ambayo chama chako kinaiendesha serikali na hivyo umeamua kuachana nacho. usituletee unafiki kama wa Lowasa pumbaaafuuuu.
 
Mimi ni mwanachama wa C.C.M, na kiongozi ndani ya Chama katika ngazi ya Wilaya lakini kwa mara ya kwanza nalazimika kusema ukweli, Malalamiko ya viongozi wetu ngazi ya Taifa kuhusiana na maandamano ya CHDEMA yalenge katika ukweli, tujiulize hawa watu wanalaumu nini? na wanawaambia nini wananchi? kuna ukweli ndani yake? kama hakuna ukweli kwa yale wanayoyasema tuwashitaki haraka iwezekanavyo, nahisi kama hatuwatendei haki kusema wana dhamira ya kumwaga damu, so far sijaona kosa walilofanya na ndo maana hawajapelekwa mahakamani na wakapatikana na hatia hizo, unajua kwa haya malalamiko yetu inaonyesha hatutaki changamoto za kweli na hatupendi vyama vya upinzani viwe strong. Nadhani sisi kama chama tuwe wa kweli wananchi wamechoka na maisha duni yanayozidi kuwa makali kila kukicha nadhani umefika wakati sasa viongozi wetu kutekeleza ilani zetu kwa vitendo na tusifanye siasa katika hili, tukiri katika utawala huu mambo yamekuwa tofauti sana ukilinganisha na vipindi vilivyopita kwa mfano itakuwa ni busara sana tukitumia muda mwingi kujibu maswali yanayoulizwa kwa mifano hai ya utekelezaji wa tuliyo waahidi kuliko kulaumu tu na umefika wakati sasa tuwe na ahadi chache na zinazotekelezeka ni hatari kuahidi maisha bora kwa kila mtu ilihari hata nchi tajiri zinapata changamoto kubwa sana kufikia hiyo hatua, tunatakiwa tujipange vinginevyo watatushinda kwa hoja mbele ya wananchi.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
kwa niaba yangu binafsi napenda nikupongeze mwana ccm kwa kuonyesha umekomaa kweli kweli kisiasa uliyoyasema inaonesha kwanza umekwenda shule pili hufuati mkumbo.
wanayoyasema chadema ni yakweli kabisa hakuna ubishi .kama ni ya uuongo siwangekuwa wamepelekwa mahakamani. sasa serekali inaona aibu inasingizia damu itamwagika hivi kweli damu itamwagika kwa watu kusema ukweli?
ccm mnahitaji kubadilika acheni ubabe.
chadema endeleeni na moto huohuo mpaka kieleweke
tunataka viongozi wenye vipaji vya kuongoza sio wakuwekwa na mafisadi
mungu ibariki tanzania.
 
Mkuu,
This sounds like a threat vile..
wewe ni ccm damudam na huitakii mema CDM(UMMA) kwa nini usiwaache hao CCM Taifa waendelee hivyohivyo ili kukoleza chuki ya wanainchi dhidi ya serikali?
CCM endelezeni madowans na maugumu ya maisha ili kasi ya wanainchi kuwachukia uvuke mpaka.Nataman Makamba adumu zaidi pale CCM kwani akili zake zimewafaa sana kuwakuza CDM
 
Jamani haya maandamano ya CDM na maneno yanayotolewa kwenye mikutano ni uchochezi ili wananchi waichukie Serikali. Uchaguzi umefanyika miezi mitatu tu iliyopita. Si msubiri basi kidogo muone kasi zaidi na ari zaidi itatoa matunda gani? Viongozi ndio kwanza wamechaguliwa (Mawaziri, wabunge n.k.). Si muwape muda basi muone watafanya nini? Kama kuna makosa ndani ya Chama na Serikali ni dhahiri yameshaonekana, kwani wao wajinga kuendelea na makosa hayo? Naamini wako katika harakati za kuyarekebisha makosa na kutafuta ufumbuzi wa kuleta mabadiliko na maendeleo kwa wananchi na kuondoa kero. Hii mikutano sioni kama inalenga kuleta maendeleo, ni kuleta uvunjaji wa amani tu. Mimi sio mwanasiasa na siko upande wowote, lakini naipenda nchi yangu na napenda Amani. Tusimuandame Rais wetu na Serikali yetu kwa mambo ambayo yako katika mchakato wa kutekelezwa. Mabomu, umeme, ukali wa maisha n.k. vinatakiwa kutafutiwa ufumbuzi, sio kuandamana na kutoa lawama tu.

Kama ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya hazijaleta maisha bora kwa kila mtanzania kwa muda wote wa miaka mitano, unategemea ari zaidi na kasi zaidi zilete haya maisha bora? CCM mnaleta slogan za kuwafurahisha watu wakati mnajua hamna dhamira ya kweli ya kufanya hivyo zaidi ya kuwakumbatia mafisadi na kuwatelekeza wananchi. Masuala yote ambayo CHADEMA wame-raise sio ya jana wala juzi ni ya muda mrefu kwahiyo haina mantiki kusema kwamba serikali iko kwenye madaraka kwa miezi 3 tu toka uchaguzi. Rais ni yule yule na mawaziri wake wengi ni wale wale kama Ngeleja! Halafu mnasema CHADEMA wanatakiwa kuzungumzia hayo bungeni mkijua wazi kwamba huko mna wabunge wengi kwa hiyo mtawadhibiti kama mlivyochakachua kanuni kwa maslahi yenu. Kwa watu makini hilo lazima liwe fundisho kuwa bungeni ni mahali pa uwakilishi wa wananchi kwahiyo kama CCM wanatumia uwingi wao kuzuia hoja basi CHADEMA watazipeleka moja kwa moja kwa wananchi kama wanavyofanya sasa! CCM lazima mjue kuwa ule mtaji wenu wa kuwafanya wananchi ni wajinga na kuwa treat mnavyotaka hauna nafasi tena!!
 
Jamani haya maandamano ya CDM na maneno yanayotolewa kwenye mikutano ni uchochezi ili wananchi waichukie Serikali. Uchaguzi umefanyika miezi mitatu tu iliyopita. Si msubiri basi kidogo muone kasi zaidi na ari zaidi itatoa matunda gani? Viongozi ndio kwanza wamechaguliwa (Mawaziri, wabunge n.k.). Si muwape muda basi muone watafanya nini? Kama kuna makosa ndani ya Chama na Serikali ni dhahiri yameshaonekana, kwani wao wajinga kuendelea na makosa hayo? Naamini wako katika harakati za kuyarekebisha makosa na kutafuta ufumbuzi wa kuleta mabadiliko na maendeleo kwa wananchi na kuondoa kero. Hii mikutano sioni kama inalenga kuleta maendeleo, ni kuleta uvunjaji wa amani tu. Mimi sio mwanasiasa na siko upande wowote, lakini naipenda nchi yangu na napenda Amani. Tusimuandame Rais wetu na Serikali yetu kwa mambo ambayo yako katika mchakato wa kutekelezwa. Mabomu, umeme, ukali wa maisha n.k. vinatakiwa kutafutiwa ufumbuzi, sio kuandamana na kutoa lawama tu.

utasemaje huna chama wakati unaitetea ccm kwa uongozi wao mbovu?kipi ni uvunjifu wa amani?kuwaambia wananchi serikali imeshindwa kucontrol mfumuko wa bei??kuilipa dowans?kuua watu arusha?pinda kuongopa bungeni?rostam.lowassa,chenge,mkapa,kikwete,mkono,mengi ni mafisadi???think twice
 
Back
Top Bottom