Sista
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,206
- 1,029
OMG, its a natural death. Nimebaki na moderm tu. No data. Vocha niliweka za mwezi mzima. Hakuna connection. Najaribu kuangalia salio - no response. Mweee customer care je, hakuna majibu. Nikaenda masaki makao makuu naambiwa hawajalipia minara haina mafuta, kiruuuu. haya nimebaki na mawazo ninunue moderm ya kampuni nyingine. Sasa vocha yangu inakuwaje? wiki na nusu sasa, hakuna data connection. niwasubiri wapate pesa za kuweka mafuta kwenye minara yote? matawi yako wapi, nabaini yamefungwa yote. kiruuuuuu nipeni pole mwenzenu