Bwana W. J. Malecela - Mwisho wa Uchaguzi Huu ni Mwanzo wa Maandalizi ya Uchaguzi Ujao

Mkuu umepoteza mda wako kumuelekeza huyu Willy, nadhani umeona majibu yake yalivyokosa credit.
You can not teach an old dog the new tricks.
 
- Well, mkuu heshima sana kwenye maisha na kwenye siasa kila kitu ni lazima kupima risks, JF haikuhusika in anyway na kushindwa kwangu, naomba nikwambia tena knowing all the FACTS za uchaguzi nilioshiriki, ninasema tena JF had nothing to do with anything, My Facebook had nothing nasema tena absolutely nothing.

- Nimeshindwa na wagombea wenye uzoefu wa muda mrefu sana na chaguzii, wameshindwa na wamewahi kushinda sana, as opposed na mimi na miezi mitatu tu kwenye siasa za bongo, siamini kwamba walioshindwa wote jana ni members wa hapa JF'

- JF na Facebook zimenisaidia sana, hasa na hizi kampeni, isipokuwa nimeshindwa tu na waliokuwa na akili za kampeni kuliko mimi na wenye uzoefu mkubwa sana kuliko wangu, ingawa nimekusikia sana!

Again, JF has absolutely nothing to do with it!

Willie @Dodoma City!
wewe jamaa ha! ha! ha! ha! ha! bana......yaani nilijua tu na great analysis aliokusaidia keil yaani mwenye akili angetulia na kuchukua muda na kujibu kwa akili na si kama ulivyosema.....

..afu hujui hapo n dio tusiokupenda tunapokushindia.......

wakuu wana JF huyu mtu msimpe mbinu mwacheni hivi hivi ni raha kwetu tusiomkubali.....

BTW nimeona facebook ume update new employer university of dodoma.....aisee unafundisha ubahariaDom??? nchi hii kali eeh? ubaharia gani unafanyika dodoma jamani?? ha! ha! ha! ha! ha!
 
LOL ... hapa inabidi umbane na Makamba Jr. maana na yeye anasema kuna wabunge wa upinzani pia wamepokea mshiko, so anasema ni aibu ya Bunge zima na sio CCM tu!

Mkuu hapo ndipo panapokuja suala la maneno kibao bila vitendo. Kama tutaishia kulalama tuu kuwa rushwa ilikuwepo bila kuchukua hatua hatutafika tunakotaka kwenda. Hawa akina Makamba na Zitto kama walikuwa wanajua kuwa rushwa imetembea kwa nini waliendelea kuwepo bungeni na hata kupiga kura?

Makamba anasema ni aibu ya Bunge zima. Lakini hii aibu sio mpya. Tunajua jinsi wabunge wengi wanavyohonga kupata hizo nafasi. Ni aibu kwa Makamba na wenzake kwa sababu pamoja na kujua kuwa uchaguzi ulikuwa na vitendo vya rushwa kwa kiasi cha kulitia aibu bunge bado waliendelea kushiriki na kuwapigia kura wagombea.

Kama alivyosema Mwanakijiji Facebook:

Sitakikusikia mbunge au kiongozi yeyote wa kitaifa akituambia ati kulikuwa na rushwa kwenye kampeni ya EALA.
a. Kama waliona kuna rushwa nani aliita PCCB?
b. Kama rushwa ilikuwepo walifanya jitihada gani kuwakamata kwa nguvu ya raia (citizen's arrest) watoa rushwa hao?
c. kama watu wanawajua watoa rushwa na wapokeaji rushwa walifanya nini kuwazuia? Haitusaidi sisi kama taifa kutuambia "kulikuwa na rushwa".
Sote - i hope sote - tunajua rushwa ni dhambi na aibu ya taifa na uchaguzi wa EALA siyo wa kwanza kwa viongozi kutaka kutumia rushwa!! Lakini hadi leo hii hakuna kiongozi yeyote wa maana aliyetegwa akakamatwa akitoa au kupokea rushwa!!!

KIMSINGI HAKUKUWA NA RUSHWA KAMA ILIKUWEPO WATU WANGEKAMATWA AU KUJULIKANA!! Next time, msisubiri hadi uchaguzi uishe ndio mtuambie kuna rushwa! .

Habari za watu kutoa rushwa zilikuwa zinajulikana kwa wiki kadhaa na najina yanajulikana lakini hakuna aliyethubutu kuwatega au kuwaumbua wahalifu hawa!! Watajeni kama mnawajua ili taifa lijue nani katoa na nani kapokea!!! rushwa ni rushwa kwa sababu inawapokeaji - quote me
 
kama watu walimchoka baba yake ambaye alikuwa Bulldozer wakamtupa. Kwa upepo wa siasa sasa hivi ambapo watu hawataki kusikia mnyama anayeitwa CCM mtoto angeweza vipi?. tatizo la wenzetu hawasomi alama za nyakati na wanafikiri kuwa Tanzania itasimama milele haitabadilika. Namshauri atafute ushauri kwa mama yake wa kambo bingwa wa kubwabwaja.
 
LOL ... hapa inabidi umbane na Makamba Jr. maana na yeye anasema kuna wabunge wa upinzani pia wamepokea mshiko, so anasema ni aibu ya Bunge zima na sio CCM tu!

huu ni ujinga wataendelea mpaka lini kuchafua majina ya watu bila kuwataja wahusika!?
Tunataka tuwahukumu kwa kura tena kama wapo wachadema tunawataka sasa hivi awataje!
 
Mkuu umepoteza mda wako kumuelekeza huyu Willy, nadhani umeona majibu yake yalivyokosa credit.
You can not teach an old dog the new tricks.

- Mkuu ninarudia hivi tunajifunza kutoka kwa waliojaribu, yaliyotokea kwenye huu uchaguzi hayana anything to do na hiyo Articvle ya Keil, infact absolutely nothing ni wajibu wangu kukubali ushauri unaofaa lakini sio ushauri ambao hauko karibu na ukweli, tatizo ni kwamba wengi hapa tunadhani hizi chaguzi zinaendeshwa kama Ughaibuni, no way hizi chaguzi zinaenda kibongo bongo.

Willie! Dar City!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom